Monday, 30 January 2023

UWT SHINYANGA WAADHIMISHA MIAKA 46 YA CCM KISHAPU, WAWAJULIA HALI VIJANA WALIOSHAMBULIWA NA FISI

Mjumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Taifa, Helen Bugoye (kulia) akimjulia hali mmoja wa wakazi wa Kishapu waliojeruhiwa kwa kushambuliwa na fisi ambapo sasa wanaendelea kupata matibabu katika Hospitali ya  Jakaya Mrisho Kikwete ya Wilaya ya Kishapu. UWT...
Share:

DKT MABULA ATAKA MAFUNZO YA MAADILI KWA MADALALI

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya muda mfupi ya Mawakala wa Mali Zisizohamishika yanayofanyika kwenye Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) Dar es Salaam tarehe 30 Januari 2023. Sehemu ya washiriki wa ufunguzi wa mafunzo ya...
Share:

VIJANA WANNE WA FAMILIA MOJA WANUSURIKA KUFA KWA KUSHAMBULIWA NA FISI KISHAPU,... MAMA MWENYE PANGA ATISHA

Mnyama Fisi Na Sumai Salum - Kishapu Wanaume wanne wa familia moja katika kijiji cha Mwalata Kata ya Shagihilu wilayani Kishapu mkoani Shinyanga wamejeruhiwa sehemu mbalimbali za miili yao kwa kushambuliwa na mnyama Fisi wakiwa wanalinda mbuzi na ng'ombe nyumbani kwao.  Mganga mfawidhi wa...
Share:

WAKANDARASI WA REA SHINYANGA WAPEWA MWEZI MMOJA KUKAMILISHA MIRADI YA UMEME

 Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Joseph Modest Mkude akizungumza kwenye kikao cha Tathmini ya utekelezaji wa miradi ya kusambaza umeme vijijini mkoani Shinyanga. Na Mwandishi Wetu - Shinyanga Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Joseph Modest Mkude ametoa muda wa mwezi mmoja na nusu...
Share:

EFTA KUWEZESHA WAKULIMA ZAIDI YA 200 KUPATA MIKOPO YA MATREKTA BILA DHAMANA

Wakulima nchini wametakiwa kuchangamkia fursa za upatikanaji wa mikopo ya mashine za kilimo inayotolewa bila dhamana na kampuni ya Equity for Tanzania Limited (EFTA), Hatua ambayo imeelezwa kuwa itasaidia katika kuongeza uzalishaji wa mazao ya kilimo pamoja na pato la taifa. Wito huo umetolewa...
Share:

Sunday, 29 January 2023

MGODI WA BARRICK BULYANHULU WAZIDI KUBORESHA MAISHA YA WANANCHI WA NYANG'HWALE

Meneja Mkuu wa Mgodi wa Barrick Bulyanhulu,Cheick Sangare (Kushoto) akibadilishana nyaraka za makubaliano na Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Nyang’hwale, Bw.John Isaac John muda mfupi baada ya kusaini mkataba wa makubaliano katika hafla iliyofanyika katika Mgodi wa Bulyanhulu. Meneja Mkuu...
Share:

WANAFUNZI WAHUNI WALIOMDHALILISHA MTANDAONI MWANAFUNZI WA CHUO CHA CDTI WAKAMATWA

Na. Abel Paul wa Jeshi la Polisi Jeshi la Polisi mkoani Arusha limesema kuwa limefanikiwa kuwakamata wanafunzi wawili wa chuo cha Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru kwa tuhuma za unyanyasaji wa kijinsia kwa mwanafunzi wa chuo hicho kwa njia ya mtandao na wanafunzi wenzake. Akitoa taarifa hiyo...
Share:

WAKURUGENZI WA HALMASHAURI WAHIMIZWA KUSIMAMIA MIRADI YA TASAF KIKAMILIFU

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi (katikati) akizungumza na Watendaji wa Halmashauri ya Mji Geita na Halmashauri ya Wilaya ya Geita wakati wa ziara yake ya kikazi iliyolenga kuhimiza uwajibikaji na kukagua utekelezaji wa miradi ya...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger