Saturday, 30 January 2021

AGIZO LA WAZIRI NDAKI LATEKELEZWA... WATATU MBARONI

Na. Edward Kondela Jeshi la polisi Mkoa wa Arusha kwa kushirikiana na Wizara ya Mifugo na Uvuvi pamoja na vyombo vingine vya ulinzi na usalama tarehe 27.01.2021 limewakamata watuhumiwa watatu kwa tuhuma za wizi na utoroshaji wa mifugo maeneo ya mipakani. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa mwishoni...
Share:

WAZIRI JAFO ATANGAZA SIKU 7 ZA WATANZANIA KUPIGA NYUNGU KUCHUKUA TAHADHARI YA CORONA

Waziri wa Tamisemi, Seleman Jafo ametangaza kuanzia Februari mosi hadi 7, 2021 zitakuwa siku saba za kupiga nyungu kwa Watanzania ili kuchukua tahadhari ya ugonjwa wa corona. Akizungumza mkoani Tabora leo Jumamosi Januari 30, 2021 katika ziara ya Rais John Magufuli, waziri huyo amesema wananchi...
Share:

Naibu Waziri Ummy- Watu Wenye Ulemavu Changamkieni Asilimia 2 Ya Mikopo Inayotolewa Na Serikali

Na: Mwandishi Wetu Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Watu wenye Ulemavu Mhe. Ummy Nderiananga amewataka Watu wenye Ulemavu kuchangamkia fursa ya mikopo ya asilimia 2 inayotolewa na Halmashauri zilizopo nchini kupitia asilimia 10 ya mapato ya ndani ya halmashauri (4%...
Share:

Serikali Kuwachukulia Hatua Watumishi Wanaofanya Kazi Vituo Binafsi Katika Muda Wa Kazi

 Na WAMJW- Kilimanjaro SERIKALI kupitia Wizara ya Afya Afya imeanza kufuatilia Watumishi walioajiriwa na Serikali wanaofanya kazi katika vituo vya kutolea huduma za Afya binafsi katika muda wanaotakiwa kuwa katika vituo vyao vya Serikali. Hayo yamesemwa jana na Mganga Mkuu wa Serikali Prof....
Share:

Kampuni Nane Za Tanzania Kuingiza Samaki Nchini Saudi Arabia

...
Share:

Rais wa Zanzibar Dr Mwinyi Aendelea kuwasisitiza viongozi aliowateua kwenda kuwasikiliza wananchi changamoto walizonazo.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi ameendelea kuwasisitiza viongozi aliowateua kwenda kuwasikiliza wananchi changamoto walizonazo. Alhaj Dk. Hussein Mwinyi ameyasema hayo jana wakati akitoa salamu zake kwa wananchi wa kijiji cha Nungwi mara baada...
Share:

Serikali kushirikiana na wadau kuikuza Bongo Fleva nchini

 Na Eleuteri Mangi-WHUSM, Dar es Salaam Mashindano ya Bongo Star Search yamehitimishwa usiku wa kuamkia Januari 30, 2021 jijini Dar es Salaam ambapo Msanii wa muziki wa Kizazi kipya Yusuph Nizar ameibuka kidedea na kujinyakulia kitita cha Sh. Milioni 20 na kukabidhiwa mfano wa hundi yenye thamani...
Share:

Majaliwa: Viongozi Wa Sekta Ya Umma Na Binafsi Waendelezwe

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema viongozi wote wa Sekta za umma na binafsi wanatakiwa waendelezwe kitaaluma kwa ajili ya kukuza weledi, ubunifu na maadili ili waweze kusimamia ipasavyo maendeleo na kuongeza tija na mapato ya Taifa. Amesema katika kipindi hiki ambacho nchi imeingia katika uchumi...
Share:

MIGODI YA BUZWAGI NA BULYANHULU YALIPA USHURU BIL 2.3 KWA AJILI YA MAENDELEO MANISPAA YA KAHAMA NA HALMASHAURI YA MSALALA

...
Share:

Waziri mkuu wa DRC ajiuzulu

Sylvestre Ilunga Ilunkamba amejiuzulu rasmi kama waziri mkuu wa Jamuhuri ya kidemokrasi ya Congo, na kuwasilisha barua yake kwa Rais Félix Tshisekedi. Bw Ilunga, ambaye ni mshirika mkuu wa mtangulizi wa Rais Tshisekedi, Joseph Kabila, ameongoza baraza la mawaziri la serikali ya Muungano kwa miezi...
Share:

Delivery Sales Driver at Frostan Limited Tanzania

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content job Title: Delivery Sales Driver Reports To: Logistics and Inventory Manager Department: Transport and logistics Location: Dar es Salaam Key Responsibilities Transport and Deliver Goods, sales driver is responsible for moving materials along his/her assigned route and bring these goods...
Share:

Civil Works Coordinator at Anotech Energy

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content Civil Works Coordinator   Tanzania Reference : ANO/0421/CWC/MBE/EFR   Scope of work We are currently looking for a Civil Works Coordinator. The main missions will be to:   Follow Early Civil Works (ECW) contracts and coordinate the activities from point of view planning...
Share:

Education M&E Officer at International Rescue Committee (IRC)

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content Education M&E Officer Kibondo, Tanzania Requisition ID: req12094 Job Title: Education M&E Officer Sector: Education Employment Category: Fixed Term Employment Type: Full-Time Open to Expatriates: No Location: Kibondo, Tanzania Job Description The International Rescue Committee...
Share:

Sales Manager at ViewMedia

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content Sales Manager   ViewMedia Dar es Salaam, Tanzania About The Company ViewMedia provides global distribution services to a variety of both Television and Radio channels. From start-up companies to larger organisations, we can provide a full TurnKey solution for whatever your requirements...
Share:

WAZIRI MKUU WA DRC AJIUZULU

Sylvestre Ilunga Ilunkamba amejiuzulu rasmi kama waziri mkuu wa Jamuhuri ya kidemokrasi ya Congo, na kuwasilisha barua yake kwa Rais Félix Tshisekedi. Bw Ilunga, ambaye ni mshirika mkuu wa mtangulizi wa Rais Tshisekedi, Joseph Kabila, ameongoza baraza la mawaziri la serikali ya Muungano kwa miezi...
Share:

WAZIRI BASHUNGWA KUPOKELEWA KWA WIMBO MAALUMU KONGAMANO LA WANAMUZIKI

  Wasanii wa Kikundi cha Sanaa cha Dofa kilichopo Karatu mkoani Arusha wakifanya mazoezi ya  wimbo maalumu watakao muimbia Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Innocent Bashungwa  wakati wa kumpokea katika  kongamano la wanamuziki. Waziri wa Habari Utamaduni...
Share:

Call Centre Operators 10 Job Opportunities at Job Junction Tanzania

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content CALL CENTRE OPERATORS (10)   EMPLOYER:Job Junction Tanzania LOCATION:Dar Es Salaam PURPOSE: Serves customers by determining requirements answering inquiries resolving problems fulfilling requests maintaining database. Call Center Operator Job Duties:   Determines requirements...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger