
Na. Edward Kondela
Serikali imesema katika kuboresha na kuondoa migogoro ya wakulima na wafugaji katika maeneo mbalimbali nchini ukiwemo Mkoa wa Morogoro, inasisitiza uwepo wa miradi ambayo itakuwa na manufaa makubwa kwa makundi yote mawili.
Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia...