Friday, 30 October 2020

Dr Mwinyi Ashinda Urais Zanzibar kwa Asilimia 76

  Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imemtangaza mgombea wa urais wa Zanzibar kupitia CCM, Dk Hussein Mwinyi kuwa mshindi wa kiti hicho kwa kupata kura 380,402 sawa na asilimia 76.27 ya kura zote. Akitangaza matokeo hayo mwenyekiti wa ZEC, Jaji Hamid Mahamoud Hamid amesema  wagombea urais...
Share:

Thursday, 29 October 2020

AHMED SALUM ASHINDA KWA KISHINDO UCHAGUZI JIMBO LA SOLWA

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Solwa Ahmed Salum akizungumza na wakazi wa Kata ya Didia Halmashauri ya Shinyanga wakati akifunga kampeni za uchaguzi Oktoba 27,2020. Na Marco Maduhu - Shinyanga  Mgombea wa Jimbo la Solwa mkoani Shinyanga Ahmed Salum (CCM) ametangazwa kuwa mshindi wa kiti cha Ubunge...
Share:

Angalia Picha : MAELFU WAJITOKEZA KATAMBI AKIWASHUKURU WANANCHI KUMCHAGUA KUWA MBUNGE SHINYANGA MJINI

...
Share:

Ester Bulaya apoteza ubunge Bunda Mjini

Ester Bulaya amepoteza jimbo la Bunda Mjini baada ya kushindwa na Robert  Maboto wa CCM  aliyepata kura 31,129 huku Bulaya akipata kura 13,25...
Share:

Zitto Kabwe Apoteza Ubunge Kigoma Mjini.....CCM washinda

Msimamizi wa Uchaguzi katika Jimbo la Kigoma Mjini amemtangaza Kirumbe Ng'enda wa CCM kuwa Mshindi wa Ubunge wa Jimbo hilo kwa kupata kura 27,638 akifuatiwa na Zitto Kabwe wa ACT Wazalendo  aliyepata kura 20,600...
Share:

Lazaro nyalandu Aangushwa Ubunge Singida....CCM Washinda

Mgombea ubunge kupitia Chadema Lazaro Nyalandu ameshindwa ubunge katika jimbo la Singida Kaskazini baada ya kushindwa na mgombea wa CCM, Rashid Mandoa aliyepata kura 43,847. ...
Share:

Profesa Jay apoteza Jimbo la Mikumi, CCM washinda

  Aliyekuwa Mbunge anayeongoza watu na wanyama Jimbo la Mikumi Joseph Haule maarufu kama Prof Jay wa Chama cha Demokrasi na Maendeleo (CHADEMA) ameshindwa kutetea nafasi ya Ubunge baada ya kupitwa na Denis Lazaro wa Chama cha Mapinduzi (CCM). Kwa mujibu wa Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Mikumi...
Share:

Mchungaji Peter Msigwa Aangushwa Iringa Mjini.....Aliyeshinda Ubunge ni Jesca Msambatavangu

 Msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Iringa Mjini amemtangaza Jesca Msambatavangu wa CCM kuwa mshindi wa ubunge wa jimbo hilo kwa kupata kura 36,034 dhidi ya mpinzani wake Peter Msigwa Chadema aliyepata kura 19,331 . Mchungaji Peter Msigwa alikuwa akilitetea Jimbo hilo la Iringa aliloliongoza kwa...
Share:

KATAMBI ASHINDA UBUNGE SHINYANGA MJINI....CCM YANYAKUA KATA ZOTE ...SALOME MAKAMBA AKAMATWA

Patrobas Katambi Na Damian Masyenene, Shinyanga MGOMBEA Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Patrobas Katambi ametangazwa mshindi wa ubunge baada ya kupata kura 31,831. Katambi ametangazwa mshindi wa kinyang'anyiro hicho leo Oktoba 29, 2020 na Msimamizi wa Uchaguzi...
Share:

Ester Matiko Aangushwa....Michael Kembaki wa CCM Ashinda Ubunge Tarime Mjini

 Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Tarime Mjini, Ester Matiko ameshindwa kutetea nafasi yake baada ya kushindwa na mshindani wake, Michael Kembaki wa Chama cha Mapinduzi. Msimamizi wa uchaguzi katika jimbo hilo, Elias Ntiruhungwa amesema kuwa Kembaki ameshinda kwa kupata kura 18,235 huku Matiko...
Share:

🔴LIVE: Tume ya Uchaguzi ikitangaza matokeo ya awali ya urais Nchini Tanzania

🔴LIVE: Tume ya Uchaguzi ikitangaza matokeo ya awali ya urais Nchini Tanzani...
Share:

CCM Yashinda Ubunge Mtwara Mjini

 Hassan Seleman  wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ameshinda ubunge Mtwara Mjini kwa kupata kura 22,411 akifuatiwa na mgombea wa Chama cha Wananchi (CUF), Abdallah Nachuma aliyepata kura 13,586. Hassani Abdallah wa Chama cha ACT-Wazalendo amepata kura 1,113....
Share:

CCM Yashinda Ubunge Jimbo la Handeni

  Reuben Kwagilwa CCM ametangazwa kushinda ubunge jimbo la Handeni kwa kura 15,241 sawa na asilimia 67 dhidi ya wapinzani wake Sonia Magogo CUF amepata kura 6,713 ADC Twaha Said amepata kura 310, James Stima Chadema amepata kura 296 na Makame Semndili TLP amepata kura 3...
Share:

John Heche Aangushwa....Mwita Waitara Ashinda Ubunge Tarime Vijijini

Mwita Waitara CCM ameshinda ubunge Jimbo la Tarime Vijijini kwa kupata kura 35,758 dhidi ya mpinzani wake Heche John aliyepata kura 18,757 Msimamizi wa uchaguzi amemtangaza Waitara kushinda kwa asilimia 95 dhidi ya mpinzani wake Heche aliyepata asilimia 10...
Share:

Hawa Ghasia (CCM) Ashindwa Ubunge.....CUF Yaibuka Kidedea

Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Mtwara Mjini amemtangaza Hassan Mtenga wa CCM kuwa Mshindi wa Ubunge Jimbo la Mtwara Mjini kwa kupata kura 22,411 akifuatiwa na Mgombea wa CUF, Maftaha Abdallah Nachuma aliyepata kura 13,586...
Share:

Sebastian Kapufi (CCM) Ashinda Ubunge Mpanda mjini

Mpanda Mjini:  Mgombea wa nafasi ya ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Sebastian Kapufi ameshinda nafasi ya Ubunge kwa kupata kura 24,020, akifuatiwa na Rhoda Kunchela wa Chadema aliyepata kura 13,611. ...
Share:

George Mkuchika Atangazwa Mshindi Kiti cha Ubunge Newala Mjini

 Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Newala Mjini Mkoani Mtwara amemtangaza George Huruma Mkuchika wa CCM kuwa Mshindi wa kiti cha Ubunge Newala Mjini kwa kupata kura 18,705 akifuatiwa na Issa Juma Chilindima (CHADEMA) mwenye kura 12,546...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger