Saturday, 30 March 2019

KINDOKI AGEUKA SHUJAA!! APANGUA PENALTI MBILI KUIPELEKA YANGA NUSU FAINALI

Kipa Klaus Kindoki amepangua penalti mbili na kuiwezesha Yanga SC kwenda Nusu Fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), au Azam Sports Federation Cup (ASFC) kwa ushindi wa penalti 4-3 dhidi ya wenyeji, Alliance FC kufuatia sare ya 1-1 ndani ya dakika 90 jioni ya leo Uwanja...
Share:

Picha : SHIRIKA LA AGAPE LATOA MSAADA WA MBUZI NA KONDOO 40 KUKABILIANA NA MIMBA NA NDOA ZA UTOTONI DIDIA

Shirika la Agape AIDS Control Programme limetoa msaada wa mbuzi na kondoo 40 kwa familia 10 duni katika kata ya Didia Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga ili kuwasaidia watoto wa kike wanaosoma kutoka familia hizo wanaoishi katika mazingira hatarishi ili kuepuka mimba na ndoa za utotoni.  Msaada...
Share:

Mchungaji Aonya Wachungaji Kuwa Upande Wa Adui

Mchungaji Mwangalizi Mkuu wa makanisa ya Presbyterian Tanzania, Mchungaji Sylvester Ng’welemi   ameonya tabia ya wachungaji kusemana vibaya katika huduma zao, kitu ambacho kinawafanya wawe upande wa adui wao Shetani.  Onyo hilo amelitoa leo tarehe 30.03.2019 alipokuwa katika ibada...
Share:

Picha : SHIRIKA LA AGPAHI LATOA MAFUNZO YA SAIKOLOJIA KWA WATUMISHI WA AFYA MWANZA

Shirika la Ariel Glaser Pediatric AIDS Healthcare Initiative (AGPAHI) limetoa mafunzo kwa watoa huduma za afya kutoka Vituo vya Afya mkoani Mwanza, yanayolenga kuwajengea uwezo katika kutoa msaada na huduma za kisaikolojia kwa watoto na vijana wanaoishi na maambukizi ya Virusi Vya...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger