
Balozi wa Uswisi nchini Mhe. Nicole Providoli ( mwenye suti nyeupe) akipata maelezo kuhusu Kompyuta ya Kuchakata Taarifa kwa kasi kubwa ( HPC) kutoka kwa Afisa Tehama Bw. Mdoe Mwamunyange ( kulia) wakati wa ziara ya kikazi , wa kwanza kushoto ni Makamu Mkuu Taasisi ya Afrika Sayansi na Teknolojia...