Saturday, 5 April 2025

NELSON MANDELA KUNADI TAFITI ZAKE USWISI

Balozi wa Uswisi nchini Mhe. Nicole Providoli ( mwenye suti nyeupe) akipata maelezo kuhusu Kompyuta ya Kuchakata Taarifa kwa kasi kubwa ( HPC) kutoka kwa Afisa Tehama Bw. Mdoe Mwamunyange ( kulia) wakati wa ziara ya kikazi , wa kwanza kushoto ni Makamu Mkuu Taasisi ya Afrika Sayansi na Teknolojia...
Share:

MASHINDANO YA KATAMBI U-17 CUP YAHITIMISHWA KWA KISHINDO! KATUNDA FC MABINGWA

Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Julius Mtatiro akikabidhi zawadi ya fedha kwa washindi wa mashindano hayo. Na Marco Maduhu,SHINYANGA MSHINDANO ya Katambi U-17 CUP yametamatika rasmi,huku Timu ya Katunda FC wakiibuka washindi wa michuano hiyo,baada ya kuifunga Busulwa Sec kwa mikwaju ya penati,na...
Share:

Friday, 4 April 2025

MBINU SHIRIKISHI NI MUHIMU KUHAKIKISHA WATU WENYE ULEMAVU WANAJUMUISHWA KATIKA NYANJA ZOTE– MHE. NDERIANANGA

NA. MWANDISHI WETU BERLIN – UJERUMANI Naibu Waziri katika Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge, na Uratibu, Mheshimiwa Ummy Nderiananga amesema ni muhimu kuwa na mbinu shirikishi ili kuhakikisha watu wenye ulemavu wanajumuishwa kikamilifu katika juhudi za maendeleo kitaifa...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger