
Na. Anangisye Mwateba-Bungeni Dodoma
Kituo cha Mafunzo ya Misitu na Viwanda vya Misitu (FWITC) kilichopo Wilayani Mafinga mkoani Iringa ambacho kiko chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii ni fursa muhimu kwa vijana kupata maarifa ya kuongeza thamani mazao ya misitu hususan mikoa ya Nyanda za Juu...