Tuesday, 4 February 2025

FWITC MAFINGA NI FURSA YA VIJANA KUPATA UJUZI WA KUONGEZA THAMANI MAZAO YA MISITU

Na. Anangisye Mwateba-Bungeni Dodoma Kituo cha Mafunzo ya Misitu na Viwanda vya Misitu (FWITC) kilichopo Wilayani Mafinga mkoani Iringa ambacho kiko chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii ni fursa muhimu kwa vijana kupata maarifa ya kuongeza thamani mazao ya misitu hususan mikoa ya Nyanda za Juu...
Share:

BAADA YA MTWARA NI ZAMU YA KILIMANJARO, WIZARA YA KATIKA NA SHERIA HAIPOI

Na Dotto Kwilasa, KILIMANJARO Wizara ya Katiba na Sheria imeanzisha kambi mkoani Kilimanjaro kwa lengo la kutoa mafunzo ya uraia na utawala bora, huku ikielekeza juhudi zake katika kutoa elimu ya masuala ya sheria kwa wananchi. Mafunzo haya ni sehemu ya mpango wa Wizara wa kufikisha huduma...
Share:

Monday, 3 February 2025

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMANNE FEBRUARI 4, 2025

...
Share:

CCM KUWATAMBULISHA RASMI WAGOMBEA URAIS, MAKAMU KWA WANACHAMA WAKE JANUARY 5 MWAKA HUU DODOMA

Na Dotto Kwilasa,Dodoma Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM Taifa CPA.Amos Makalla amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM)kikiwa kinatarajia kuadhimisha miaka 48 tangu kuanzishwa kwake kinatarajia kuwatambulisha Rasmi wagombea wake kwa wanachama katika nafasi ya ngazi ya Urais na Makamo kwa...
Share:

AZMA YA SERIKALI NI KUHAKIKISHA WANANCHI WANAPATA UMEME WA UHAKIKA WAKATI WOTE- MHE. KAPINGA

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko akijadiliana jambo na Naibu Waziri Nishati, Mhe. Judith Kapinga Bungeni Jijini Dodoma wakati wa kipindi cha maswali na majibu leo Februari 03, 2025. 📌 Serikali yafuatilia kwa karibu upatikanaji umeme Lushoto 📌 Vijiji vyote Nkasi vyafikiwa...
Share:

WANANCHI WA WILAYA YA URAMBO WASHAURIWA KUFUGA NYUKI KATIKA HIFADHI YA MSITU

Na Anangisye Mwateba-Bungeni Dodoma Wananchi wa Wilaya ya urambo wameshauriwa kutumia maeneo ya hifadhi za Msitu za Mpanda Line wenye ukubwa wa Hekta 427,363.2, Msitu wa Hifadhi Ulyankulu wenye ukubwa wa Hekta 239,841.4 na Msitu wa Hifadhi wa vijiji vya Kangeme, Itebulanda na Utenge (KIU) wenye...
Share:

WAZIRI JAFO AUNDA KAMATI YA WATU 15 KUCHUNGUZA MALALAMIKO YA WAFANYABIASHARA KARIAKOO

WAZIRI wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Selemani Jafo, akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dar es salaam wakati akitangaza timu ya watu 15 kwa ajili ya kutatua changamoto mbalimbali zilizopo katika Soko la Kariakoo ili kuliwezesha kufanya kazi kwa ufanisi. .......... Waziri wa Viwanda na...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger