
Na Mwandishi wetu - Malunde 1 blog
Taasisi ya HolySmile imetoa tuzo kwa wadau mbalimbali wanaofanya vizuri katika utoaji wa huduma na utekelezaji wa miradi yenye manufaa kwa jamii ya Shinyanga katika kutoa hamasa kwa taasisi na kuchagiza uwajibikaji.
Hafla hiyo imefanyika Februari 1, 2025 katika...