Sunday, 2 February 2025

DC MTATIRO AONGOZA UTOAJI TUZO USIKU WA WADAU SHUPAVU SHINYANGA 2025, AIPONGEZA HOLYSMILE!

Na Mwandishi wetu - Malunde 1 blog Taasisi ya HolySmile imetoa tuzo kwa  wadau mbalimbali wanaofanya vizuri katika utoaji wa huduma na utekelezaji wa miradi yenye manufaa kwa jamii ya Shinyanga katika kutoa hamasa kwa taasisi na kuchagiza uwajibikaji. Hafla hiyo imefanyika Februari 1, 2025 katika...
Share:

Wimbo Mpya : NG'WANA MARIA - NATHUTOLELA MCHALO

 ...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI FEBRUARI 2,2025

        &nbs...
Share:

Saturday, 1 February 2025

KAMATI YA BUNGE YAPONGEZA UENDESHAJI WA KIWANDA CHA KMTCL

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo,akizungumza wakati wa Waziri wa Viwanda na Biashara akiwasilisha Taarifa ya Utendaji wa Kiwanda cha KMTC Manufacturing Limited kilichosajiliwa Kampuni Tanzu ya NDC mwezi Machi, 2023 kilichojulikana kama Kilimanjaro Machine...
Share:

MADIWANI MBINGA WASIMAMISHA KAZI WATENDAJI WA VIJIJI KWA UBADHIRIFU WA MILIONI 28

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma Desderius Haule akizungumza kwenye kikao cha Baraza la Madiwani Baadhi ya Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mkoani Ruvuma wakiwa kwenye kikao Na Regina Ndumbaro - Mbinga.  Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger