Thursday, 2 January 2025

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO IJUMAA JANUARI 3, 2025

Magazeti         &nbs...
Share:

KAYA 16,275 KUNUFAIKA NA MAJIKO YA GESI YA RUZUKU MKOANI MTWARA

-Wananchi wahamasishwa kuchangamkia fursa -Wamshukuru Rais Samia kwa programu hiyo Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Kanali Patrick Sawala amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kupeleka mradi wa majiko ya gesi (LPG) ya kilo sita kwa bei ya ruzuku ya 50%...
Share:

Ngoma Mpya : NYANDA MALIGANYA - NOMA

Hii hapa kazi mpya ya Nyanda Maliganya inaitwa Noma!...
Share:

Wednesday, 1 January 2025

WATENDAJI NGAZI YA MKOA WA RUVUMA WAPATIWA MAFUNZO YA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

Na Regina Ndumbaro, Ruvuma Watendaji wa ngazi ya Mkoa wa Ruvuma kutoka Wilaya za Mbinga, Nyasa, na Songea wamepatiwa mafunzo ya jinsi ya kusimamia zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika maeneo yao. Mafunzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa Jeshi la Wananchi, Chandamali, na...
Share:

WAZIRI KOMBO AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA MAHAKAMA YA WILAYA YA MAGHARIBI B

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amesema kuimarika kwa miundombinu ya Mahakama ni hatua muhimu itakayowawezesha wananchi kupata huduma katika mazingira mazuri, salama na rafiki. Ameyasema hayo leo Januari 1, 2025 wakati akiweka Jiwe...
Share:

BENKI YA CRDB YAFUNGUA MATAWI MAPYA MUGANGO, SIRARI MKOANI MARA

  Katika kuufunga mwaka 2024 kwa huduma bora, Benki ya CRDB imefungua matawi mapya mawili mkoani Mara yaliyopo Mugango katika Wilaya ya Musoma Vijijini na Sirari wilayani Tarime. Afisa Mkuu wa Biashara wa Benki ya CRDB, Boma Raballa amesema uzinduzi wa matawi hayo ni sehemu ya jitihada za...
Share:

MBUNGE WA TARIME MJINI ACHUKIZWA NA MBUNGE WA NCHINI KENYA KUHAMASISHA KATIBA MPYA AOMBA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA KUCHUKUA HATUA

  Na Helena Magabe - Tarime MBUNGE wa Jimbo la Tarime mjini Michael Kembaki amesema ulinzi na usalama Tarime uko vizuri licha ya kuwa amekerwa na Mbunge wa Kurya Magharibi Nchini Kenya Matias Rhobi kuhamasisha katiba mpya nchini katika Jimbo lake na kuleta uchochezi kwa wananchi. Akizungumza...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger