Sunday, 8 December 2024

WANANCHI ZAIDI YA 2,300 WAMPONGEZA RAIS SAMIA KUWAJENGEA SHULE MPYA YA NYAMAGOMA - NGARA

Elimu ni ufunguo wa maisha, Wakati kwako wewe linaweza kuwa jambo la kawaida kuona shule zikiwa karibu yako, kwa wakazi wa Ngara Kata ya Nyamagoma wanafunzi walilazimika kutembea umbali mrefu wa zaidi ya KM 40 kila siku kufata elimu ya Sekondari ili waweze kutimiza ndoto zao za maisha ya baadae. Jitihada...
Share:

TAWA YAANZA UTEKELEZAJI WA MAAGIZO YA SERIKALI MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU

Na.Joyce Ndunguru, Morogoro Kuelekea maadhimisho ya miaka 63 ya Uhuru wa Tanganyika, leo Desemba 7, 2024 Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imefanya usafi wa mazingira katika kituo cha Afya Kingolwira kilichopo Mkoani Morogoro. Akizungumza baada ya kumalizika kwa usafi wa kituo...
Share:

MHANDISI JAMES JUMBE AANDIKA HISTORIA: AHITIMU SHAHADA YA UZAMILI KATIKA USIMAMIZI NA UONGOZI NA KUPATA MAFANIKIO MAKUBWA

**Mhandisi James Jumbe Ahitimu Shahada ya Uzamili kwa Mafanikio Makubwa** Mhandisi James Jumbe ameandika historia kwa kuhitimu Shahada ya Uzamili (Masters) ya Usimamizi na Uongozi wa Miradi kutoka Chuo cha Tanzania Institute of Project Management  akiwa na mafanikio ya kipekee.  Akifurahia...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI DESEMBA 8,2024

  Magazeti      ...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger