
Elimu ni ufunguo wa maisha, Wakati kwako wewe linaweza kuwa jambo la kawaida kuona shule zikiwa karibu yako, kwa wakazi wa Ngara Kata ya Nyamagoma wanafunzi walilazimika kutembea umbali mrefu wa zaidi ya KM 40 kila siku kufata elimu ya Sekondari ili waweze kutimiza ndoto zao za maisha ya baadae.
Jitihada...