Monday, 4 November 2024

SHUWASA YASAINI MKATABA WA BILIONI 9 NA GOPA INFRA KUIJENGEA UWEZO KUBORESHA HUDUMA ZA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA

Mkurugenzi Mtendaji wa SHUWASA, Mhandisi Yusuph Katopola (kushoto) na Mkurugenzi Mkaazi wa Kampuni ya Gopa Infra, Stefan Doerner wakionesha Mkataba wa Kuijengea Uwezo SHUWASA  baada ya kutia saini. Na Kadama Malunde- Malunde 1 blog Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira...
Share:

TANZANIA YATAJWA KATI YA MATAIFA 10 BORA BARANI AFRIKA KWA MIUNDOMBINU YA BARABARA

Tanzania imetajwa kuwa kati ya mataifa 10 bora barani Afrika ambayo yana miundombinu bora zaidi ya barabara. Taarifa hizi zinakuja ikiwa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan imewekeza fedha nyingi katika ujenzi wa miundombinu ya barabara...
Share:

Sunday, 3 November 2024

URAIA PACHA NI HATARI KWA USALAMA WA TAIFA LETU

John Francis Haule ****  Wengi tuliofika elimu ya sekondari tumejifunza  kwa kiasi maana ya uraia na dhana ya uraia pacha( dual citizenship)  na katika nchi yetu Tanzania    uraia wa Tanzania unasimamiwa na sheria  ya mwaka 1995 sura no 357 na imerekebishwa mwaka...
Share:

TPDC YACHANGIA MILIONI 50 KUSAIDIA WATOTO WENYE UHITAJI WA MATIBABU JKCI

Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limechangia kiasi cha shilingi milioni 50 kwa Taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) kwa lengo la kusaidia watoto wenye uhitaji wa Matibabu ya moyo. TPDC imechangia fedha hizo kwenye hafla ya uchangishaji fedha kusaidia watoto 1500 wenye matatizo...
Share:

Ni Leo!! USIKU WA WADAU SHUPAVU NA TUZO ZA MDAU SHUPAVU KAHAMA MSIMU WA NNE

  Habari Wadau Shupavu! Mimi ni Sir Bweichum HolySmile, Mkurugenzi wa Taasisi ya HolySmile na Mwanzilishi wa Jukwaa la Mdau Shupavu. Nina furaha kubwa kuwaalika kwenye hafla yetu maalum ya USIKU WA WADAU SHUPAVU WILAYA YA KAHAMA, itakayofanyika tarehe 3 Novemba 2024 katika ukumbi wa kifahari,...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI NOVEMBA 3,2024

    &nbs...
Share:

Saturday, 2 November 2024

DC MKUDE AAGIZA ELIMU YA ULIMAJI WA PAMBA KWA WANACHAMA WA AMCOS KISHAPU

Mkuu wa Wilaya ya Kishapu, Mkoani Shinyanga, Mhe. Joseph Mkude Na Sumai Salum - Kishapu Mkuu wa Wilaya ya Kishapu, Mkoani Shinyanga, Mhe. Joseph Mkude, amevitaka Vyama vya Msingi vya Ushirika (AMCOS) wilaya ya Kishapu kutoa elimu kwa wanachama kuhusu ulimaji sahihi na kanuni bora za utunzaji wa...
Share:

SERIKALI YATOA SHILINGI BILIONI 2 KUENDELEZA MIRADI YA REA

Na mwandishi wetu, Njombe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameipa kipaumbele sekta binafsi kutekeleza miradi ya nishati ya umeme kwa kuwekeza katika sekta hiyo na kuwezesha fedha ili wananchi waendelee kupata umeme wa uhakika nchini. Hayo yamebainishwa na...
Share:

TANESCO YAACHANA NA MKATABA WA MIAKA 20 WA UNUNUZI WA UMEME NA SONGAS

TANESCO imeachana na Mkataba wa Miaka 20 wa Ununuzi wa Umeme na Songas: Hii ni hatua muhimu kuelekea kujitegemea kwa Nishati chini ya Uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. Katika hatua muhimu, TANESCO imetangaza kumalizika kwa mkataba wa miaka 20 wa kununua umeme kutoka Songas, kampuni inayozalisha...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger