
Mkurugenzi Mtendaji wa SHUWASA, Mhandisi Yusuph Katopola (kushoto) na Mkurugenzi Mkaazi wa Kampuni ya Gopa Infra, Stefan Doerner wakionesha Mkataba wa Kuijengea Uwezo SHUWASA baada ya kutia saini.
Na Kadama Malunde- Malunde 1 blog
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira...