NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
NAIBU Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Dkt. James Mataragio amefanya ziara ya kutembelea eneo la ujenzi wa Kituo mama cha Kushindilia na Kujaza gesi asilia kwenye magari (CNG) ambacho kijapatikana Ubungo Jijini Dar es Salaam ambapo ujenzi unatarajiwa kukamilika...
Tangu aingie madarakani Machi 2021 hadi Agosti 2024, Rais Samia Suluhu Hassan ameufungua uchumi wa Tanzania kwa dunia na kujenga mazingira bora ya biashara za kimataifa.
Matokeo ya juhudi hizi yanaonekana wazi katika ukuaji wa biashara yetu kimataifa, kutoka USD 17.4 bilioni (Mauzo...