Tuesday, 15 October 2024

MAFIA BOXING PROMOTION WAUNGA MKONO KAMPENI YA RAIS DKT SAMIA SULUHU YA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

  Na Oscar Assenga,TANGA KAMPUNI ya Mafia Promotion Boxing imetoa msaada wa majiko ya Gesi kwa wanawake wanaojishughuli na uuzaji wa vyakula katika masoko ya Mgandini, Makorora na Mlango wa Chuma yaliyoko jijini Tanga ikiwa ni kuunga mkono juhudi za Rais Dkt Samia Suluhu ya matumizi ya Nishati...
Share:

Monday, 14 October 2024

DAWA YA KUMZUIA MUME ASIENDE KULALA NJE YA NDOA

Ukweli ni kwamba katika ndoa wanawake wengi hupitia changamoto mbalimbali kutokana na tabia za wanaume wao kuwa na mapango wa kando, hilo kufanya kushindwa kuhudumia familia vizuri. Nasema hivyo kwa sababu hilo lilishawahi kunipata maishani mwangu, mume wangu hakuijali familia yake kwa lolote lile...
Share:

RAIS SAMIA ATETA NA ZUHURA YUNUS

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongea na Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Zuhura Yunus, jijini Mwanza leo Oktoba 14,2024 kwenye maadhimisho ya kilele cha mbio za Mwenge wa Uhuru. Katikati ni Naibu Waziri...
Share:

RAIS SAMIA AELEKEZA MAKAMPUNI YA MADINI KUCHANGIA NA KUSHIRIKIANA NA CHUO CHA VETA GEITA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameyaelekeza makampuni ya madini kuchangia na kushirikiana na chuo cha VETA Geita katika utoaji wa mafunzo ya ufundi stadi. Mhe. Rais Samia ametoa maelekezo hayo alipotembelea wakati akifunga Maonyesho ya Saba ya Teknolojia na Uwekezaji...
Share:

WAZIRI DKT. SELEMANI JAFO APOKEA TUZO YA TANTRADE URATIBU BORA WA MAONESHO YA MADINI GEITA

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akikabidhi Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Selemani Jafo tuzo kwa niaba ya Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania ( TanTrade) kwa kutambua usimamizi bora na uratibu wa Maonesho ya biashara ndani na nje ya nchi na kutoa huduma...
Share:

Sunday, 13 October 2024

DKT. SHEKALAGHE AHIMIZA SHIUMA KUWA KITU KIMOJA KWA MAENDELEO YA WAFANYABIASHARA NDOGONDOGO

Na WMJJWM, Dodoma Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Seif Shekalaghe amewataka viongozi wa Shirikisho la Umoja wa Machinga Tanzania (SHIUMA) ngazi ya Taifa na mikoa kuwa kitu kimoja na kushiriki kikamilifu kwenye shughuli zinazosimamiwa na Serikali...
Share:

Friday, 11 October 2024

ALIIBA NG'OMBE WANGU ILI AKALIPE MAHARI

Jina langu ni Simon kutoka kaunti ya Vihiga, nilikuwa mfanyabishara haswa wa kilimo, nilikuwa na ng’ombe wawili wa maziwa ambao walikuwa wananipa faida kubwa sana kutokana na uuzaji wa maziwa. Nilifanya pia ukulima wa nyanya lakini uuzaji maziwa ulikuwa na faida sana kulinganisha na kilimo cha nyanya,...
Share:

WADAU WA SEKTA YA MADINI WATEMBELEA BANDA LA TBS MAONESHO YA SABA YA KITAIFA YA TEKNOLOJIA YA MADINI GEITA

Na Mwandishi Wetu, Geita SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limekutana na wadau wa sekta ya madini na wananchi kwa ujumla na kuwapata elimu kuhusu masuala ya madini. Shirika hilo limekutana na wadau pamoja na wananchi hao kuwapatia elimu hiyo kwenye Maonesho ya Saba ya Kitaifa ya Teknolojia ya Madini...
Share:

Thursday, 10 October 2024

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO IJUMAA OKTOBA 11, 2024

...
Share:

NJIA TULIYOTUMIA KUSHINDA KESI BAADA YA KUDHULUMIWA SHAMBA LETU

Jina langu ni Juma, siku moja mtu mmoja tajari alivamia shamba letu na kukatakata kila kitu kilichokuwa humo kama mazao na hata kubomoa nyumba yetu na kudai kuwa shamba hilo lilikuwa lake na hakutaka kuona mtu yeyote shambani humo. Alimuonya mama yangu hasiaribu kumshtaki kortini kwani atakuwa anapoteza...
Share:

Wednesday, 9 October 2024

NJIA TULIYOTUMIA KUSHINDA KESI BAADA YA KUDHULUMIWA SHAMBA LETU

Jina langu ni Juma, siku moja mtu mmoja tajari alivamia shamba letu na kukatakata kila kitu kilichokuwa humo kama mazao na hata kubomoa nyumba yetu na kudai kuwa shamba hilo lilikuwa lake na hakutaka kuona mtu yeyote shambani humo. Alimuonya mama yangu hasiaribu kumshtaki kortini kwani atakuwa anapoteza...
Share:

LSF NA NORTH – SOUTH COOPERATION ZATEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO LONGIDO.

Longido, Arusha 08 Oktoba 2024. LSF, kwa kushirikiana na wadau wake NORTH-SOUTH COOPERATION kutoka Luxembourg, imekamilisha mradi wa miaka miwili unaojulikana kama ‘Wanawake Tunaweza,’ ambao umeleta mafanikio makubwa katika kuwawezesha wanawake na watoto wa kike kutoka jamii ya Kimasai wilayani...
Share:

Tuesday, 8 October 2024

RC MWASSA : WAGOMBEA FANYENI KAMPENI ZA KISTAARABU NA ZENYE STAHA

Na Mbuke Shilagi Kagera. Mkuu wa mkoa wa Kagera hajat Fatma Mwassa amewataka wagombea wote na vyama vya siasa kufanya kampeni za kistaarabu na zenye staha katika uchaguzi wa serikali za mtaa. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake leo Oktoba 8,2024 amesema kuwa novemba mosi hadi saba...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger