Tuesday, 8 October 2024

DAWASA YAGONGA HODI KWA WANANCHI KINONDONI WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA

Wiki ya huduma kwa mteja ikiwa inaendelea, Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imetembelea wateja wake katika maeneo ya Msasani, Masaki, Mwananyamala wilayani Kinondoni kwa lengo la kubadilishana nao mawazo juu ya uboreshaji huduma za maji. Akizungumza na wateja mbalimbali,...
Share:

DAWASA YANOGESHA WIKI YA HUDUMA KISARAWE

 Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira (DAWASA) imeanza kuadhimisha Wiki ya Huduma kwa Wateja katika Mkoa wa Kihuduma DAWASA Kisarawe kwa zoezi la kutembelea wateja mtaa kwa mtaa katika Kata ya Kisarawe hususan maeneo ya Bomani na Matumbini. Zoezi hilo la kutembelea wateja Mtaa kwa Mtaa limelenga...
Share:

NSSF KUFIKISHA HUDUMA KWA WATEJA KIDIJITALI ZAIDI

*Mkurugenzi Mkuu asema kila mwanachama atafungua madai ‘online’ *Aahidi kuifikia sekta isiyo rasmi ili Watanzania wengi waweze kunufaika na huduma za NSSF  Na MWANDISHI WETU MBEYA. Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) amesema Mfuko unaendelea kuboresha na kutoa huduma...
Share:

Monday, 7 October 2024

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATATU OKTOBA 7,2024

...
Share:

NSSF YATUMIA FURSA YA MAONESHO YA MADINI GEITA KUTOA ELIMU YA HIFADHI YA JAMII

Na MWANDISHI WETU GEITA. Maonesho ya Saba ya Teknolojia ya Madini yamefunguliwa rasmi na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ambapo Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) unatumia Maonesho hayo kuendelea kutoa elimu ya hifadhi ya jamii kwa sekta binafsi na sekta isiyo...
Share:

MERIDIANBET PROMO CODE |PROMO CODE YA MERIDIANBET TANZANIA

  Promo code Ni msimbo maalumu wa kujisajili na meridianbet ambapo utatakiwa kujaza namba 1109 Kama promo code yako wakati wakujisajili na Meridianbet Tanzania. Historia ya meridianbet Meridianbet Ni kampuni ya kubashiri nchini Tanzania iliyosajiliwa kwa mujibu wa Sheria   iliyosajiliwa...
Share:

BONANZA LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA WILAYANI MKALAMA LAFANA

  Mkuu wa Wilaya ya Mkalama Mhe. Moses Machali amewataka wananachi wilayani Mkalama kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika Daftari la Mpiga Kura ili wawe na sifa za kuchagua viongozi katika Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa utakaofanyika tarehe 27/11/2024. Wito huo ameutoa tarehe 6/10/2024 wakati...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger