Wednesday, 4 September 2024

WAKANDARASI MIRADI YA UJENZI YA HEET UDOM WAASWA

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Rosemary Senyamule, amewataka Wakandarasi walioshinda Zabuni ya Ujenzi wa Majengo ya Chuo Kikuu cha Dodoma kupitia Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET) kuzingatia ubora katika ujenzi wa Majengo hayo na kukamilisha kwa wakati. Hayo amesema , katika hafla...
Share:

DAWA YA MATAPELI WA VIWANJA NA MBINU YA KUSHINDA KESI!

Jina langu ni Amosi kutokea Meru nchini Kenya, mwaka 2019 nilinunua kiwanja kwa ajili ya kuanza ujenzi baada ya kukusanya fedha zangu kwa miaka mingi sana. Hii ilikuwa ni ndoto yangu ya miaka mingi kwamba siku moja nami nije kuwa na kwangu kisha kuanzisha familia yenye furaha. Basi nilikutana na...
Share:

RAIS SAMIA AKUTANA NA RAIS XI JINPING WA CHINA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya mkutano  na Rais wa China, Xi Jinping pamoja na ujumbe wake mapema leo katika ukumbi wa The Great Hall of the People jijini Beijing.  Rais Samia  amefanikiwa kuimarisha mahusiano ya kidiplomasia ya Tanzania...
Share:

CHADEMA WAMESHINDWA NA FALSAFA YA USTAHAMILIVU WA KISIASA

Na Mwandishi Wetu MIONGONI mwa mataifa ya Kiafrika yaliyojenga misingi imara ya ustahamilivu ni Tanzania. Katika nyanja zote za kisiasa, kijamii na kiuchumi kuna funzo kubwa limeachwa na waasisi wa taifa hili. Ndiyo maana panapotokea mtu au kikundi cha watu kikikosa ustahamilivu kwenye maeneo...
Share:

Tuesday, 3 September 2024

MBUNGE MTATURU ALISHUKURU KANISA,ACHANGIA SH MIL 11

MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu,akizungumza wakati alipokuwa mgeni maalum katika hafla ya uzinduzi iliyofanyikia Kanisa la KKKT lililopo Ikungi. ...... MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu ameshiriki Uzinduzi wa Jimbo la Ikungi KKKT na kuchangia vifaa vya ofisini vyenye thamani...
Share:

BLUE STAR LUXURY NDIYO HABARI YA MJINI!! MABASI MAPYAA TARIME - DAR

Blue Star Luxury ndiyo habari ya Mjini!! Mabasi mapya kisasa!! Safiri Nasi wakati wote wa safari zako Tarime - Bunda-Lamadi- Simiyu-Shinyanga-Singida-Dodoma- Dar es salaam!! Wasiliana nasi DAR ES SALAAM 0747940519 , TARIME 0749664159 ...
Share:

A DAYTIME OASIS WITH GORDON’S HOSTED BY EL-CASA: SUNSETS, SIPS, AND GROOVES AT LIVINGSTONE’S

As the evening sun set, the rooftop was curtained with a golden glow, which complimented the venue. There were twinkling blue lights and sunny yellow décor of photobooths and cocktail bars everywhere you looked, giving off major summer vibes and making everyone feel like they were living in a high-energy...
Share:

Monday, 2 September 2024

Video Mpya : GUDE GUDE - NKEMA MALAYA

 ...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger