Wednesday, 7 August 2024

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO ALHAMISI AGOSTI 8,2024

...
Share:

WAJIPANGA KUGAWA MBEGU CHOTARA ZA ALIZETI MSIMU UJAO KWA MFUMO WA RUZUKU

Alizeti aina ya Sunbloom mbegu chotara zitakazosambazwa Msimu ujao kwa bei ya ruzuku na Wakala wa Mbegu Wakala wa Mbegu za Mazao wamejipanga kugawa mbegu chotara za alizeti kwa wakulima kwa mfumo wa ruzuku. Tayari tani  zaidi ya 600 zipo na ziko kwenye mchakato wa kuziandaa ili ziingie...
Share:

HUYU NDIYO DR. MANGURUWE, MTANZANIA ANAYETUMIA MBINU ZA KISASA KUKUZA UFUGAJI NGURUWE

Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog Dr. Manguruwe wa Zamahero, Dodoma, ni jina la mfugaji wa nguruwe ambaye ameanzisha juhudi za kukuza ufugaji wa nguruwe nchini Tanzania katika mradi maarufu wa Dr. Manguruwe Project kupitia Kampuni ya DR MANGURUWE PLC! Habari njema ni kwamba Mfugaji huyu maarufu...
Share:

Tuesday, 6 August 2024

NGAMIA 300 WAKAMATWA MPAKANI MWA TANZANIA NA KENYA

Na Hadija Bagasha Tanga. NGAMIA 300 wamekamatwa kwenye hifadhi ya msitu wa Mwakijembe uliopo mpakani mwa Tanzania na Kenya, wakichungwa kwa lengo la kupata malisho. Ngamia hao wamekamatwa Julai 23 mwaka huu katika msitu huo wamebaki watatu baada ya wengine kutoroshwa. Mkuu wa Mkoa wa Tanga Balozi...
Share:

VIFARANGA VYA KUKU VYAPATA MUAROBAINI KATIKA UKUAJI

Mashine inayosaidia katika uleaji wa vifaranga vya kuku iliyobuniwa na Mwanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT). Na Nora Damian Wafugaji kuku wa kisasa na kienyeji sasa wataondokana na adha ya kupata hasara kutokana na vifo vya vifaranga baada ya Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT)...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger