Monday, 5 August 2024

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMANNE AGOSTI 6,2024

...
Share:

MBUNGE MTATURU AMWAGA VIFAA VYA UJENZI MANG'ONYI

MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu,amekabidhi mifuko 100 ya saruji na mtofali 1,000 kwa ajili ya kuanzisha ujenzi wa maabara za sayansi katika Shule ya Msingi Mang'onyi Shanta ikiwa ni kutimiza ahadi yake aliyoitoa wakati wa mahafali ya kidato cha nne mwaka jana 2023. Msaada huo ameukabidhi...
Share:

PROFESA ASSAD ATAKA USHIRIKIANO UJENZI WA HOSPITALI YA KIISLAMU TANGA

    Na Oscar Assenga, TANGA MDHIBITI  na Mkaguzi  Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) wa zamani Profesa Mussa Assad amesema ni umuhimu kuwepo kwa ushirikiano wa pamoja ili kuhakikisha ujenzi wa Hospitali ya Kiislamu Mkoani Tanga unakamilika kwa wakati na kuanza kutoa huduma. Profesa...
Share:

Sunday, 4 August 2024

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATATU AGOSTI 5,2024

magazeti ya leo ...
Share:

WMA YAELEZA MCHANGO WAKE KATIKA SEKTA YA KILIMO

Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi kutoka Wakala wa Vipimo (WMA) Albogast Kajungu (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Wakala hiyo, wanaoshiriki katika Maonesho ya Kitaifa ya Wakulima NaneNane (2024) yanayoendelea jijini Dodoma.WMA inatoa elimu kwa wadau wa kilimo na wananchi...
Share:

TBS YAKUTANA NA WAJASIRIAMALI NA KUWAHUDUMIA KWENYE MAONESHO NANENANE KANDA YA KUSINI

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limewashauri wajasiriamali kuzingatia matakwa ya kisheria katika masuala ya afya,usalama na mazingira kwenye usindikizaji wa bidhaa mbalimbali kwa lengo la kuzalisha bidhaa bora na salama. Akizungumza Agosti 03, 2024 katika Maonesho ya Nanenane yanayofanyika katika...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger