Sunday, 4 August 2024

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI AGOSTI 4,2024

...
Share:

Saturday, 3 August 2024

MWAMBUKUSI ASHINDA URAIS TLS

Na, Mwandishi wetu kutoka - Dodoma. Agosti 2, 2024 umefanyika uchaguzi wa kumtafuta mrithi wa Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Harold Sungusia na hatimae matokeo ya kura yameamua Boniface Mwabukusi kushikilia kiti hicho. Mwabukusi ambaye alionekana kuwa imara na jasiri wakati kampeni...
Share:

MAHAFALI YA 12 CHUO CHA SAYANSI ZA AFYA KOLANDOTO YAFANA.."TUMIENI ELIMU MLIYOPATA KWA MANUFAA YA JAMII"

Mkuu wa Chuo cha Sayansi za Afya Kolandoto, Shinyanga, Mwl. Paschal Shiluka akizungumza kwenye mahafali ya 12. Na Elisha Shambiti - Misalaba Media Mkuu wa Chuo cha Sayansi za Afya Kolandoto, Shinyanga, Mwl. Paschal Shiluka, amewataka wahitimu wa kozi za afya katika chuo hicho wasiifanye elimu waliyoipata...
Share:

Friday, 2 August 2024

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI AGOSTI 3, 2024

...
Share:

Video Mpya : NYANDA SHETO - KAYA

 ...
Share:

Thursday, 1 August 2024

SIJAWAHI KUSHINDWA KESI YOYOTE MAHAKAMANI

Ingawa sijawahi kusomea mambo ya sheria mahali popote pale lakini katika miaka zaidi ya 15 katika viunga vya Mahakama sijawahi kushindwa kesi, mara zote huwa naibuka mshindi tu. Jina langu ni Pascal, nimeshawahi kushtakiwa Mahakamani zaidi ya mara 10 kwa mashauri mbalimbali ambayo naweza kusema...
Share:

RAIS SAMIA AWEKA HISTORIA KUBWA UZINDUZI WA SGR

 *Rais Samia aweka historia kubwa uzinduzi wa SGR * Samia anajenga kilomita 1,800 za reli ya SGR, huku Awamu ya 5 ikianzisha ujenzi wa kilomita 721 * Tanzania sasa inaelekea kuwa na reli ndefu kuliko zote kwenye bara zima la Afrika * Rais Samia ametimiza ndoto za marais wote waliopita tangu Tanzania...
Share:

HUDUMA ZA AFYA KUTOLEWA MAONESHO YA NANENANE DODOMA

Na Mwandishi wetu, Dodoma Wizara ya Afya pamoja na ldara na Taasisi zake inashiriki Maonesho ya Wakulima Nanenane ambayo Kitaifa yanafanyika Viwanja vya nanenane Nzunguni Dodoma. Huduma mbalimbali za Afya zinatarajiwa kutolewa katika maonesho hayo ikiwa ni pamoja na Elimu ya Afya kuhusu Mtindo...
Share:

Wednesday, 31 July 2024

MELI KUTOKA CHINA ZITAENDELEA KUTIA NANGA BANDARI YA TANGA

Na Hamida Kamchalla, TANGA. Kampuni ya Uwakala wa Meli Seafront  Shipping Service (SSS), kwa mara ya kwanza imefanikiwa kuleta meli yenye shehena ya mizigo mchanganyiko  inayokadiriwa kuwa takribani tani (14,000) kutoka nchini Chiina wamoja hadi bandari yaTanga. Hii inaweka alama ya kipekee...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger