Sunday 4 August 2024
Saturday 3 August 2024
MWAMBUKUSI ASHINDA URAIS TLS
MAHAFALI YA 12 CHUO CHA SAYANSI ZA AFYA KOLANDOTO YAFANA.."TUMIENI ELIMU MLIYOPATA KWA MANUFAA YA JAMII"
Friday 2 August 2024
Thursday 1 August 2024
SIJAWAHI KUSHINDWA KESI YOYOTE MAHAKAMANI
Jina langu ni Pascal, nimeshawahi kushtakiwa Mahakamani zaidi ya mara 10 kwa mashauri mbalimbali ambayo naweza kusema mengi yalikuwa ya uongo ambayo yalikuwa yanatengenezwa na watu wenye nia mbaya na mimi.
Mwanzoni mwa miaka ya 2000 niliwahi kufungwa jela miaka mitano kwa kesi ya uongo kabisa, naweza kusema kama ningekuwa na uwezo wa kifedha wakati ule wa kuweka Wanasheria, basi ningeshinda.
Nilikaaa jela miaka mitano ya mateso, lakini kwangu ilikuwa ni kama kunipa funzo la jinsi gani napaswa kuishi na watu na kikubwa zaidi ni namna ya kutazama mambo kwa jicho la tatu.
Unajua watu wengi tumekuwa na kasumba kuwa mambo yenye gharama kubwa ndio ambayo yana uhakika zaidi katika uhitaji wetu wowote ule.
Lakini hilo halina ukweli wowote ule, kwani kuna mambo mengi mazuri na kuna huduma nyingi nzuri zenye matokeo makubwa ambazo unaweza kuzipata kwa bei nafuhu zaidi na kwa urahisi zaidi.
Ndivyo ilikuwa kwangu pale nilipokuja kukutana na Kiwanga Doctors ambaye alinipatia dawa ya kuweza kushinda kila kesi ambayo inafunguliwa Mahakamani dhidi yangu.
Mtu huyu ambaye amesaidia watu wengi ukanda wa Afrika Mashariki niliamua kumtafuta mara moja kutokana sikuwa na uwezo wa kuwalipa Wanasheria kusimamia kesi zangu.
Ila kupitia Kiwanga Doctors nimekuwa nashinda kila shauri hadi baadhi ya watu wamekuwa wakinifuta na kuniuliza nawezaje.
Jibu langu kwao siku zote limekuwa ni moja tu; kuwa Kiwanga Doctors ndiye siri ya ushindi na wale wote ambao walinisikiliza na kuamua kumtafuta wamekuja kwangu na kunipongeza na kunishukuru.
Ukiachana na hayo, kumbuka Kiwanga Doctors anaweza kukuwezesha kushinda bahati nasibu, kukuondolea migogoro ya mashamba, migogoro ya mapenzi, kuikinga biashara yako na kukupa mvuto wa kimapenzi.
Anatibu magonjwa kama presha, kifafa, kisonono, kaswendwe, upungufu wa nguvu za kiume na mengineo, watembelee leo upate suluhu kwa matatizo yanayo kutatiza.
Kwa maelezo zaidi tembelea tovuti yake; www.kiwangadoctors.com pia waweza kumpigia simu kwa namba +255763926750 au +254769404965 au tuma barua pepe kupitia kiwangadoctors@gmail.com
Mwisho.
RAIS SAMIA AWEKA HISTORIA KUBWA UZINDUZI WA SGR
*Rais Samia aweka historia kubwa uzinduzi wa SGR
* Samia anajenga kilomita 1,800 za reli ya SGR, huku Awamu ya 5 ikianzisha ujenzi wa kilomita 721
* Tanzania sasa inaelekea kuwa na reli ndefu kuliko zote kwenye bara zima la Afrika
* Rais Samia ametimiza ndoto za marais wote waliopita tangu Tanzania ipate uhuru
* Asilimia 86 ya reli yote ya SGR ya Tanzania inajengwa chini ya utawala wa Rais Samia
Agosti 1, 2024
Na Mwandishi Wetu - Dodoma
Rais Samia Suluhu Hassan ameweka historia leo kwa kuzindua rasmi huduma za usafiri wa treni ya kisasa (SGR) kati ya Dar es Salaam na makao makuu ya nchi Dodoma na hivyo kutimiza ndoto za marais wote waliomtangulia tangu Tanzania ipate uhuru mwaka 1961.
Ndoto ya kuiunganisha Dar es Salaam na Dodoma kwa reli ya kisasa ya SGR ilianza tangu enzi za utawala wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Rais wa Awamu ya Kwanza.
Naye Rais wa Awamu ya 2, Ali Hassan Mwinyi, aliendeleza ndoto hiyo na kupokewa kijiti na Rais Benjamin Mkapa wa Awamu ya 3.
Chini ya uongozi wa Rais Mkapa, nchi tatu za wakati huo za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC),Tanzania, Kenya na Uganda, ziliweka makubaliano ya kujenga reli ya SGR kuunganisha mataifa hayo.
Rais wa Awamu ya 4, Jakaya Kikwete, naye aliendeleza ndoto hiyo kwa serikali yake kufanya upembuzi yakinifu (feasibility study) ya ujenzi wa reli ya SGR.
Rais wa Awamu ya 5, John Magufuli, alionesha uthubutu kwa kuanza ujenzi wa kilomita 721 za reli ya SGR.
Alipoingia madarakani Machi 2021, Rais wa Awamu ya 6, Samia Suluhu Hassan, aliendeleza ujenzi wa reli ya SGR kwa kasi ya ajabu na kuongeza kilomita nyingine 1,800
Jumla ya kilomita 2,102 za reli ya SGR zinazoendelea kujengwa nchi nzima, huku kilomita 1,800 zikiwa zinajengwa na Rais Samia.
Hii inamaanisha kuwa asilimia 86 ya reli yote ya SGR ya Tanzania inajengwa chini ya uongozi wa Awamu ya 6 ya Rais Samia.
Ujenzi huu mkubwa unaifanya Tanzania kuwa nchi ya Afrika yenye SGR ya urefu mkubwa zaidi barani humo.
Ujenzi unaoendelea wa reli ya SGR kwa kasi kubwa unatarajiwa kufika hadi kwenye mikoa ya mipakani na kuiunganisha Tanzania na nchi jirani, hivyo kukuza fursa za kilimo, biashara na uchumi.
Inatarajiwa kwamba ujenzi wa reli ya SGR kutoka Dar es Salaam hadi mkoa wa Mwanza utakamilika mwaka 2026, wakati reli ya Dar es Salaam hadi Kigoma itakamilika mwaka 2027, kwa mujibu wa makadirio ya Shirika la Reli la Tanzania (TRC).
Kukamilika kwa reli ya SGR kutafungua biashara ya mizigo na abiria kutoka bandari ya Dar es Salaam hadi nchi jirani.
Huduma ya usafiri wa abiria kupitia treni ya kasi ya umeme ya SGR pia itaongeza biashara kati ya mikoa ya Dar es Salaam, Morogoro na Dodoma na nchi jirani.
Thamani ya viwanja vya Dodoma na Morogoro inatarajiwa kuongezeka kwa kasi kutokana na usafiri wa SGR kwani sasa hivi mtu anaweza kutoka Dar es Salaam asubuhi akafika Morogoro au Dodoma akafanya shughuli zake na kurudi Dar es Salaam siku hiyo hiyo.
Inachukua chini ya masaa manne kusafiri kwa treni ya SGR kati ya Dar es Salaam na Dodoma, wakati usabiri wa basi hutumia muda mrefu mara mbili ya huo.
Tanzania inatarajiwa kupata mapinduzi makubwa kwenye maendeleo yake kutokana na ujenzi wa reli ya SGR unaofanywa na Serikali ya Rais Samia.