Na Oscar Assenga, TANGA
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoa wa Tanga katika zoezi la uhakiki wa wanachama kwenye vituo vya kutolea huduma umebaini uwepo wa wanachama zaidi ya 130 ambao sio halali
Hayo yalibainishwa na Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Mkoa wa Tanga Evans Nyangasa wakati...
Tuesday, 4 June 2024
Sunday, 2 June 2024
A4K APARTMENTS AND LODGE - KIKUYU, CHIDACHI - DODOMA

A4K APARTMENTS AND LODGE - KIKUYU, CHIDACHI - DODOMA
Our prices are;
1. Tsh. 35,000, 45,000 or $ 50
2. Tsh 110,000 or 60$, this is an apartment with two master bedrooms.
3.50,000 and 60,000 rooms
All our rooms are Master bedroom fitted with clean mosquito net, Televitions, Furnished sitting...
DC MTATIRO AZINDUA HOTELI MPYA IJULIKANAYO KAMA AZAT HOTEL - TINDE

Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Wakili Julius Mtatiro amezindua hotel iliyopo kata ya Tinde wilayani Shinyanga ijulikanayo kama AZAT HOTEL.
Hafla hiyo ya uzinduzi imefanyika leo Juni 1, 2024 katika viwanja vya hoteli ya AZAT HOTEL vilivyopo jirani na kituo cha mzani wa Tinde wilayani Shinyanga.
Awali...
Saturday, 1 June 2024
UDSM YAWAALIKA WADAU KATIKA MAONESHO YA WIKI YA UTAFITI NA UBUNIFU MSIMU WA 9 YATAKAYOFANYIKA JUNI 5-7, 2024

Chuo Kikuu cha Dar es Salaam- UDSM kinakualika katika maonesho ya wiki ya Utafiti na Ubunifu msimu wa 9 - 2024 yatakayofanyika 5 -7, June 2024 katika ukumbi wa Maktaba Mpya.
Akizungumza katika Ukaribisho huo, Naibu Makamu Mkuu wa Chuo - Utafiti, Profesa Nelson Boniface amesema mwaka...