Mwonekano wa nje wa kituo Kituo cha kupoza umeme wa mradi wa Kenya Tanzania cha Lemguru kilichopo Mkoani Arusha kilichojengwa na Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Japan (JICA) kwa kushirikiana na Benki ya Maendeleo Afrika (AfDB).
Mwakilishi Mkuu wa JICA, Ara Hitoshi ...
Hapa duniani kuna njia nyingi za kuweza kufanikiwa kimaisha, changamoto inakuwa jinsi gani utaweza kupata hizo njia na kuzitumia hadi kuweza kufanikiwa.
Kibaya zaidi ni kwamba ni watu wachache sana waliofanikiwa ambao hueleza ukweli kuhusu siri za mafanikio yao, wengi husema uongo kuhofia kupitwa...
Mtayarishaji mahiri wa muziki kutoka nchini Nigeria Masterkraft ameingia studio tena na Majeed pamoja na Joeboy.
Baada ya muda mrefu kufanya vizuri na ngoma yake iitwayo Hosanna akiwa ameshirikiana na msanii Chike Masterkraft ameendelea kuwa na uchaguzi bora wa nani amshirikishe kwenye kazi zake.
Kwa...
Na Mwandishi wetu
Watu wenye Ulemavu Wilaya ya Rufiji wamepatia vifaa saidizi ikiwemo Viti mwendo 45 ambavyo vimetolewa na Mbunge wa Jimbo hilo mhe. Mohamed Mchengerwa ambaye pia ni Waziri wa TAMISEMI ikiwa ni sehemu ya uwezeshaji kwa kundi hilo kuendelea kutatua changamoto wanazokabiliana nazo.
Akikabidhi...