Sunday, 19 November 2023
MWILI WA SALU NDONGO WAAGWA SHINYANGA, KUZIKWA SIMIYU
HII DAWA IMENIFANYA NAWEZA KULA TUNDA VIZURI SASA!
Ukweli ni kwamba heshima ya kweli anayopewa mwanaume kutoka kwa mke wake ni pale ambapo anatimiza majukumu yake vizuri ya kuihudumia familia, na kubwa zaidi ni pale wakati wa kula chakula cha usiku, mume ahakikishe mke kala na kuridhika.Wakubwa tunaelewana vizuri katika jambo hilo nyeti zaidi, huo ni uwanja wetu wa vita wa kujidai na kuonyesha uwezo wetu na kudhihirisha uanaume wetu.
Niseme katika ndoa yangu kuna kipindi nilikubwa na tatizo la kiafya ambalo lilipelekea mimi kushindwa kumridhisha mke wangu hadi akafikia hatua ya kuanza kunidharau na kutamka wazi wazi ataenda nje ya ndoa yetu.
Kwenye ndoa nimeishi kwa miaka mingi, nimeona mengi, nimepitia milima na mabonde, kupanda na kushuka, kulia na kucheka hadi sasa nipo na mke wangu.
Naweza kusema kama sio African Doctors ndoa yangu tayari ingekuwa ishavunjika, namshuru rafiki yangu mmoja aliyenipatia namba za mtu huyo, mimi huita namba hiyo namba ya maajabu kwa kile nilichotendewa.
Basi niliongea naye kuhusu changamoto yangu ya kushindwa kumfurahisha mke wangu, nakumbuka siku hiyo ya Jumamosi niliyoongea naye alisema tangu siku hiyo tatizo hilo litabakiwa kuwa historia katika maisha yangu.
African Doctors alinitumia dawa ambayo nilitumia ndani ya muda mfupi tu niliweza kuona mabadiliko, mke wangu aliweza kufurahia sana hadi kufikia hatua ya kunipongeza sana kwa namna ambavyo niliweza kumpa kile ambacho anastahili kama mke mwenye ndoa yake halali kabisa.
Nakumbuka ilifikia hatua mke wangu akaanza kulia machozi ya furaha kwa namna ambavyo alikuwa akipata raha katika ndoa yake, aliamua na kuniomba masamaha kutoka na kejeli zake wakati sikuwa na uwezo wa kumtimizia.
Mke wangu aliniambia alikuwa anashikwa na hasira sana pale ambapo alikuwa hakihitaji huduma yangu na mimi sikuwa na uwezo, hilo lilimpa machungu mengi moyoni hadi kufikia hatua ya kuweza kuniropokea.
Niliona kosa lilikuwa langu la kutotafuta suluhisho mapema. Niliweza kumsamehe na sasa tunaishi vizuri katika ndoa yetu. Kwa kweli sitochoka kumshukuru African Doctors.
Nitoe wito kwa wanaume wenzangu kutokaa kimya na changamoto ya ukosefu wa nguvu za kiume dawa za uhakika zipo kwa African Doctors .
Kumbuka African Doctors ana uwezo kumfanya mtu kuwa na bahati maishani mwake, kushinda michezo ya bahati nasibu, kukukinga na maadui zako, kukufanya ushinde migogoro kama ya ardhi, kuwa na mvuto wa kimapenzi, kuongeza mauzo katika biashara.
Pia anatibu magonjwa kama kaswende, kisonono, kifua kikuu, presha, kifafa, upungufu wa nguvu za kiume, kuvimba miguu, kaswende, vile vile anawezesha wanawake kubaba ujautizo, wanaume kutungisha mimba n.k.
Wasiliana na African Doctors kwa namba; +254 769 404965, tembelea tovuti yao; www.african-doctors.com au watumie email; africandoctorheals@gmail.com.
Mwisho.
DKT MAHERA : WATAKAOBAINIKA WAMEFANYA UZEMBE HANDENI TUTAWACHUKULIA HATUA
Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia Afya Dkt Wilson Mahera akikagua hali ya upatikanaji wa dawa wakati alipotembelea Hospitali ya wilaya ya Muheza
Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia Afya Dkt Wilson Mahera akikagua hali ya upatikanaji wa dawa katika Hospitali ya wilaya ya Muheza
Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia Afya Dkt Wilson Mahera amefanya ziara ya kutembelea na kukagua hospitali ya wilaya ya Muheza huku kieleza kwamba kwa wale watakaobainika walifanya uzembe wilayani Handeni watachukuliwa hatua kali ikiwemo kuwanyang’anya leseni.
Dkt Mahera aliyasema hayo mara baada ya ziara hiyo ambapo alisema kwamba Serikali imefanya uwekezaji mkubwa kwenye sekta ya afya ili wananchi wapate huduma bora hivyo wao hawatakubali kuona watumishi wanakiuka maadili.
Alisema hivyo lazima watumishi wabadilike waache kufanya kazi kwa mazoea na vitendo hivyo visijirudie kwani kufanya hivyo kunapelekea kuzorotesha huduma hivyo niwasihi muendelee kutoa huduma nzuri na kufanya kazi kwa waledi katika kuwahudumia wananchi.
Dkt Mahera alisema yupo mkoani Tanga kwa ajili ya kuhudhuria mkutano wa madaktari wa meno hivyo akaona apite katika Hospitali hiyo kuangalia huduma za afya kutokana na kwamba Serikali ya imewekeza fedha nyingi kuwekeza kwenye sekta ya afya ikiwemo miundombinu.
“Kwa kweli niwapongeze mnaosimamia mradi huu wa Hospitali ya wilaya ya Muheza changamoto niliyoiona hapa ni maji Hospitali ya wilaya kama hii inapata maji kutoka Tang tumekagua maabara maji hakuna bahati nzurti mmechimba kisima na halmashauri imenunua pamp niagize mkamilisha haraka miuondombinu ya maji iweze kuingia kwenye maabara”Alisema Dkt Mahera
“Lakini pia watumishi fanyeni kazi kwa waledi na kujituma na kuendelea kuhakikisha watoto njiti pale wanapojitokeza waendele kuboresha huduma hizo kwenye maeneo yenu kama nchi tumepata mafanikio makubwa sana kuzuia vifo vinavyotokana na mama na mtoto.
Hata hivyo alisema kwamba katika bajeti ya mwaka kesho wataangalia namna ya kupata fedha kwa ajili ya kukamilisha mradi huo ambao ni muhimu kwa ajili ya utoaji huduma
“Mh Rais Dkt Samia Suluhu amekuja na mpango wa M-Mama ili mama anapohitaji huduma ya Rufaa anaipata na niwaambie kwamba kwa wale kwa wale ambao watabainika wanafanya kazi kwa mazoea na kukiuka maadili hatutawavumilia tutaendelea kuwachukulia hatua kali “Alisema
Hata hivyo alisema kwamba miaka 5 iliyopita walikuwa na Hospitali za wilaya 77 sasa zipo 177 za Serikali hivyo hilo ni jambo la kujivunia sana na huduma zinazotolewa kwenye hospitali hizo ni za msingi unakutana na huduma mbalimbali muhimu.


























































