Wednesday, 8 November 2023

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATANO NOVEMBA 8,2023

...
Share:

Tuesday, 7 November 2023

BODI YA WAKURUGENZI TBS YAFANYA ZIARA BANDARI YA BAGAMOYO NA MBWENI

NA EMMANUEL MBATILO, BAGAMOYO BODI ya Wakurugenzi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limetembelea katika bandari ya Bagamoyo na Mbweni kwa lengo la kutazama mambo yanavyofanyika katika ukaguzi wa bidhaa na changamoto zinazopatikana ili kuboresha shughuli za ukaguzi katika bidhaa zinazoingia kupitia...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMANNE NOVEMBA 7,2023

...
Share:

Monday, 6 November 2023

DKT.NGEUKA AWASILI NCHINI, KUSHIRIKI TAMASHA LA 15 LA JINSIA

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM ALIYEKUWA Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la UN Women duniani na Makamu wa Rais wa Afrika Kusini Dkt.Phumuzile Mlambo Ngeuka amewasili nchini leo Novemba 6,2023 usiku huu kwaajili ya kushiriki katika Tamasha la 15 la Jinsia ambalo linatarajiwwa kufanyika Novemba...
Share:

MWANGA YANUFAIKA NA BIL. 3.4

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ametoa kiasi cha Shilingi Bilioni 3.4 kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya barabara, elimu, miradi ya maendeleo, afya na vifaa tiba katika halmashauri ya wilaya ya Mwanga Mkoani Kilimanjaro Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri wa...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger