Sunday, 5 November 2023

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATATU NOVEMBA 6,2023

...
Share:

KEWANJA FC BINGWA LIGI YA BARRICK NORTH MARA MAHUSIANO CUP 2023... TIMU YA NORTH MARA FC YAANZISHWA

Mkuu wa Wilaya ya Tarime, Kanali Michael Mntenjele, akisaidiana na viongozi mbalimbali wa wilaya hiyo kukabidhi kombe kwa kapteni wa timu ya Kewanja FC, Geofrey Emmanuel, baada ya kuibuka washindi wa Barrick North Mara Mahusiano Cup 2023,baada ya kuichapa timu ya Kerende FC bao 1-0 katika mechi...
Share:

GGML ILIVYONG’ARA USIKU WA MADINI, YATWAA TUZO 2

Waziri wa Madini wa Malawi, Monica Chang'anamuno (kushoto) akimkabidhi tuzo ya mshindi wa jumla katika kipengele cha uhifadhi mazingira, afya na usalama mahala pa kazi, Mkurugenzi Mtendaji wa GGML, Terry Strong. Kulia ni Waziri wa Madini, Anthony Mavunde. Hafla hiyo iliyofanyika wiki iliyopita jijini...
Share:

WALIMU WAIOMBA SERIKALI KUZUIA SHEREHE ZA SIKU YA MWALIMU

Rais wa Chama cha walimu Tanzania (CWT)Leah Ulaya Na Dotto Kwilasa,Dodoma Wakati Uongozi wa Chama cha walimu Tanzania (CWT)ukiwa kwenye maandalizi ya Sherehe ya Siku ya Mwalimu inayotarajiwa kufanyika Desemba 13,2023 Jijini Mwanza,baadhi ya wanachama wake wametilia Shaka Sherehe hizo...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI NOVEMBA 5,2023

  ...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger