Saturday, 4 November 2023

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO IJUMAA NOVEMBA 3,2023

                           &nbs...
Share:

ZAMBIA YATUA TANZANIA KUJIFUNZA MBINU ZA KUPAMBANA NA UJANGILI NA BIASHARA HARAMU YA NYARA NA MAZAO YA MISITU

Na John Bera - Manyara Timu  ya  Maafisa Wandamizi kutoka Vyombo vya Ulinzi na Usalama vya Zambia vinavyohusika na uzuiaji ujangili wamefika nchini kwa lengo la  kujifunza namna Tanzania ilivyofanikiwa katika mapambano dhidi ujangili.  Timu hiyo iko nchini kwa siku tano kuanzia...
Share:

DC NGARA  : MAADILI NI NGUZO MUHIMU KATIKA JAMII

Mkuu wa Wilaya ya Ngara Kanali Mathias Kahabi akifungua mafunzo ya maadili kwa viongozi wa halmashauri ya wilaya ya Ngara. Mafunzo hayo yalifanyika katika ukumbi wa Kanisa Katoliki Ruleje Wilayani Ngara tarehe 02 Novemba,2023 Katibu Msaidizi Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa...
Share:

Friday, 3 November 2023

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI NOVEMBA 4,2023

...
Share:

WASHINDI SHINDANO LA BE ROAD SAFE KWA NJIA YA SANAA WATUNUKIWA TUZO, RC DAR AIPONGEZA PUMA ENERGY TANZANIA

Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Mafuta ya Puma Tanzania kwa kushirikiana na Shirika la Amend wametoa tuzo kwa wanafunzi ambao wameibuka washindi wa michoro ya usalama barabarani kupitia  kampeni ya Be Road Safe kwa njia ya sanaa. Katika utoaji wa tuzo huo umefanyika katika Shule ya Msingi Kibugumo...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger