Tuesday, 3 October 2023

WATUMISHI MADINI WATEMBELEA MGODI WA NORTH MARA

Kundi jingine la Watumishi wapatao 14 kutoka kada mbalimbali za Wizara ya Madini ikihusisha Makatibu Mahususi, Watunza Kumbukumbu na Wahudumu wametembelea Mgodi wa North  Mara uliopo Mkoani Mara. Ziara hiyo ni sehemu ya mwendelezo wa  kutembelea migodi katika utekelezaji wa maazimio...
Share:

KUELEKEA TAMASHA LA 15 LA JINSIA, TGNP YAJIVUNIA MAFANIKIO YA KAMPENI, SHERIA

Na Avila Kakingo, Michuzi Tv KUELEKEA tamasha la 15 la jinsia Novemba 7-10, 2023 na Tapo la Ukombozi wa mwanamke Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) unajivunia mafanikio ya baadhi ya sheria kurekebishwa hapa nchini na kampeni mbalimbali kushika hatamu na kuwa ajenda ya serikali. Akizungumza na Mwandishi...
Share:

CHONGOLO AWATAKA WANANCHI KATAVI KUACHANA NA IMANI ZA KISHIRIKINA

Na Mwandishi Wetu, Katavi KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Daniel Chongolo amewataka wananchi wa Mkoa wa Katavi kuachana na imani za kishirikina maarufu kwa jina la Kamchape kwani ni chanzo cha uasikini. Chongolo ameyasema hayo Oktoba 2,2023 wakati akizungumza na wananchi na wana CCM baada...
Share:

Video : BEXY - JUU

  Hii hapa video mpya ya Msanii Bexy inaitwa Juu... Tazama hapa chini...
Share:

Monday, 2 October 2023

VIFAA VYA USHONI, TEHAMA VYAONGEZA UFANISI BOHARI KUU YA JESHI LA POLISI

Na Abel Paul, Jeshi la Polisi- Dar es salaam. Jeshi la Polisi kupitia Bohari kuu imesema imeendelea kusimamia uzalishaji wa sare za maafisa na askari wa Jeshi la Polisi nchini Pamoja na kufunga mifumo ya Tehama na vifaa vya kisasa vya ushoni Bohari kuu ya Jeshi la Polisi. Akitoa taarifa hiyo...
Share:

BENKI YA CRDB YAADHIMISHA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA

Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo (kulia) akipokea fomu ya uwekezaji katika hatifungani ya kijani ya "Kijani Bond" kutoka kwa kaimu Afisa Mtendaji Mkuu na Afisa Mkuu wa Bishara Benki ya CRDB, Boma Raballa wakati wa uzinduzi wa Wiki ya Huduma kwa Wateja 2023 iliyofanyika katika tawi la benki...
Share:

WIZARA YA MALIASILI NA UTALII KUTANGAZA UTALII KUPITIA MICHEZO, YAZIDI KUNG'ARA MASHINDANO YA KAMBA - SHIMIWI

Na Mwandishi Wetu, IRINGA. Timu ya wanaume ya Wizara ya Maliasili na Utalii imeibuka  mshindi kwenye mchezo wa kamba  kwenye mashindano ya Shirikishio la Michezo la Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI) yanayoendelea mkoani Iringa. Akizungumza mara baada ya ushindi huo, Kapteni wa timu...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger