
Kundi jingine la Watumishi wapatao 14 kutoka kada mbalimbali za Wizara ya Madini ikihusisha Makatibu Mahususi, Watunza Kumbukumbu na Wahudumu wametembelea Mgodi wa North Mara uliopo Mkoani Mara.
Ziara hiyo ni sehemu ya mwendelezo wa kutembelea migodi katika utekelezaji wa maazimio...