Thursday, 13 July 2023
CASINO STUD POKER INAKUPA UTAJIRI CHAP!
Casino Stud Poker ni mchezo mubashara wa poker uliotengenezwa na waandaji wabobefu wa michezo mbali mbali ya kasino waitwao ‘Playtech‘. Katika mchezo huu wa kasino ya mtandaoni, kombinisheni za ushindi zinatengenezwa pekee kutoka kwenye karata tano za kwanza ambazo zitakuwa mikononi mwako.
Casino Stud Poker ni mchezo wa kasino ya mtandaoni unaohusisha mchezaji na muuzaji. Lengo la mchezo ni kuwa na mkono wako imara kuliko wa muuzaji, ikitokea umefanikisha hilo basi ushindi ni wako na utalipwa kulingana na dau lako uliloweka.
Unaweza kuweka beti zako kwenye aina mbalimbali za beti, beti kuu kati yao ikiwa ni Ante. Ante ni beti inayohitajika na lazima ipigwe mwanzoni mwa kila mkono.
Unaendelea mchezo kwa kubonyeza kitufe cha Call. Unaweka beti zako muda mrefu kama kuna wakati unaendelea. Baada ya kuonyesha chaguo la No More Bets, hakuna tena wakati wa kuweka beti.
Unaweza kuongeza maradufu beti yako na kitufe cha X2, na unaweza kurudia mchezo na kitufe cha Rebet.
Baada ya kuweka beti zako kwenye beti ya msingi, unaweza pia kucheza kwenye beti mojawapo kati ya beti mbili za nje: 5+1 na Jakipoti.
Mchezeshaji atakupa karata tano na yeye mwenyewe. Karata zako zinaonekana wazi, wakati karata ya mchezeshaji ni wazi na karata zilizobaki zimeinama chini.
Hakuna karata za ziada kwenye ubao kama ilivyo katika matoleo mingine ya poker. Ili kushinda unapaswa karata zako mkononi zizidi za mchezeshaji wa mchezo wa kasino ya mtandaoni.
Ujaribu mchezo huu pendwa kabisa duniani kote Casino Stud Poker ili kujikusanyia maokoto ya kutosha huku ukiburudika na sauti nzuri za muziki.
NB: Ukijisajili Meridianbet unapewa bonasi ya mizunguko ya bure kucheza michezo ya kasino ya mtandaoni. Jisajili na Cheza.
Tazama Hapa : MATOKEO YA KIDATO CHA SITA (ACSEE) 2023 NA UALIMU 2023

WAZIRI PROFESA MKENDA ASIFU UBUNIFU UNAOFANYWA NA TAASISI YA TOIO
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda akiendesha moja ya baiskeli ya magurudumu matatu iliyotengenezwa na kubuniwa na Taasisi ya Tanzania Open Innovation Organization (TOIO) wakati wa ziara yake
Na Oscar Assenga,Tanga
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda amesifu ubunifu unaofanywa na Taasisi ya Tanzania Open Innovation Organization (TOIO) ya kubuni vifaa mbalimbali vya umeme ikiwemo Baiskeli na Pikipiki huku akihaidi kuunga mkono juhudi hizo.
Profesa Mkenda aliyasema hayo wakati alipoitembelea Taasisi hiyo wakati wa ziara yake ya kutembelea Mradi wa pikipiki za umeme,baiskeli ambazo zinazoziunda wenye shule ya Sekondari Tanga Ufundi.
Akiwa katika eneo hilo Waziri Profesa Mkenda alizitaka taasisi zinazojihusisha na teknolojia na ubunifu kuwasaidia wabunifu nchini kuweza kuzalisha bidhaa zenye ubora.
Alisema kwamba kupitia ubunifu ambao unafanywa na taasisi kama TOIO wanaweza kuona namna ya kupata bajeti ambayo wanaitumia kuweza kuitumia kwa ajili ya kununua hivi vitu ili kuwaunga mkono watanzania ambao wanabuni vitu mbalimbali vyenye manufaa.
“Kupitia bajeti hiyo tutaitumia kununua hivi vitu vinavyotengenezwa hapa kitu kimoja tutangeneza mfumo wa kuvifabrikate kwa scale ya haraka”Alisema
Waziri Mkenda alisema kwamba vipaumbele vyao kwa bajeti iliyopo ya serikali ni kuona namna ya kuwasaidia wabunifu hao kununua hivi vitu tayari na serikali itanunua.
Awali akizungumza Mwakilishi wa Botna Foundation Dkt Hassan Mshinda alisema wao walipata ufadhii wa kujenga ujuzi huo sio kwa wanafunzi tu bali na jamii ya nje.
Alisema wanachofikiria ile integration kwenye mafunzo kama hayo ni fursa nyengine nzuri wanaweza kuona namna ya kupatna pamoja
Naye kwa upande wake Mkurugenzi wa Taasisi ya Tanzania Open Innovation Organization (TOIO) Shaukatali Hussein alisema wamekuwa wakitoa ujuzi jinsi ya kutengeneza na kurekebisha vifaa mbalimbali ikiwemo pikipiki za umeme na baiskeli nia ikiwa na ya kuwa mjasiriamali anaweza kutengeneza pia
Wednesday, 12 July 2023
MBUNGE MTATURU MGUU KWA MGUU JIMBONI


KILA MWANAUME ALINIKIMBIA KISA SURA YANGU ILA SASA WANANITAMANI!

Hiyo ilikuwa ni changamoto kwangu kwa kuwa uso wangu ulikuwa na vidonda vidogo vidogo ambavyo vilikuwa ni tishio katika urembo wangu.
Kila mwanaume niliyekutana naye alisema kuwa vidonda vile vilinifanya kuonekana mwenye sura mbaya isiyovutia kabisa, nilikuwa na kazi nzuri na kipato kizuri lakini suala moja tu ndilo lilinikosesha usingizi nalo ni sura yangu kutovutia.
Marafiki zangu wote walikuwa wamepata wachumba wakati mimi nilikuwa bado nasumbuliwa na vidonda usoni, baadaye vidonda vile vilianza kutoa usaa ambao ulikuwa na harufu mbaya jambo lililopelekea kubakia mwenye upweke muda wote.
Nilijaribu kutumia dawa mbalimbali kutibu ugonjwa huo lakini sikufanikiwa, nilitembea karibu kila sehemu ya nchi kutafuta dawa lakini juhudi zote zilikuwa ni sawa usiku wa giza.
Nakumbuka Eunice ambaye alikuwa rafiki yangu wa siku nyingi alikuja nyumbani na kuniambia kwamba aliwahi kuwatembelea African Doctors na walimpatia mafuta ambayo yalimsaidia kumaliza uvimbe kwenye uso wake.
Alinielekeza kwenye tovuti wao, www.african-doctors.com kuwa naweza kufahamu zaidi kuhusu wao, usiku wake nilitembelea tovuti ile na ndipo nikapata na namba zao ambazo ni +254 769 404965 na kuwasiliana nao mara moja.
Nilifika ofisini kwao kwa ajili ya tiba, alinipa vipodozi fulani mithili ya mafuta, aliniambia nianze kuyapaka muda ule ule na hapo nikanza kuhisi kama uso wangu unayeyuka.
Nilirejea nyumbani na kila siku nilikuwa nikiendeleza kupaka mafuta yale kwenye uso wangu kwani nilikuwa na imani kuwa ngozi yangu ingerudi kama kawaida na kunipa mvuto wa aina yake, nashukuru baada ya siku tatu za kuyapaka mafuta yale, ngozi yangu ilikuwa imebadilika ajabu.
Sura yangu ilikuwa yenye mvuto kweli, ngozi ilikuwa imegeuka kuwa nyororo kabisa, makovu yaliyotokana na uvimbe ule yote yalikuwa yamekwisha.
Tangu siku ile makovu na vidonda vidogo vidogo havijawahi kurejea tena kwenye mwili wangu, baadaye nilirejea kazini, nilipata mchumba na kuanza maisha ya ndoa bila ya shida yoyote hadi wakati huu.
African Doctors ana uwezo wa kusuluhisha migogoro ya ndoa, kukukinga na maadui zako, pia anatibu magonjwa kama vile kifafa na kisonono kwa siku tatu pekee.
Wasiliana na African Doctors kwa namba; +254 769 404965, tembelea tovuti yao; www.african-doctors.com au watumie email; africandoctorheals@gmail.com.
Mwisho.
SLOTI YA KEOPS WILD NI KAMA MISRI YA FARAO TU!!
Fahamu mengi kuhusu siri za Misri ya kale unapocheza sloti ya Keops Wild kutoka kwa watengenezaji wa michezo ya kasino Spearhead.
Katika mchezo huu wa kasino ya mtandaoni, utaona kaburi la Farao, ambalo linaficha siri nyingi, na utajiri wa kumwaga. Ukiwa na mchezo huu unaanza safari ya kuelekea nchi ya ajabu na yenye utajiri sana kupitia.
Meridianbet mabingwa wa odds kubwa, bonasi kibao, michezo ya sloti ikiwemo hii ya Keops Wild, na kasino ya mtandaoni imekuwa sehemu pekee ya wachezaji wengi kutengeneza pesa kirahisi.
Mipangilio ya sloti ya Keops Wild ipo kwenye safuwima sita katika safu ulalo nne za alama na mistari 40 ya malipo. Kinadharia, sloti hii ina RTP ya 96.04% maana yake ni kwamba inalipa kwa 96.04%, na zawadi yake kuu ni ya thamani mara 7,000 ya dau lako.
Sloti zenye mandhari ya Misri ni maarufu sana kwa wachezaji wa michezo ya kasino ya mtandaoni, kwa sababu ya mandhari ya kuvutia na bonasi kubwa inayotoa, pia kuna mizunguko ya bure kucheza kasino ya mtandaoni.
Sloti ya Keops Wild ina alama maalum kama vile farao, ambayo ni ishara ya wilds. Piramidi ni ishara ya kutawanya ambayo inatoa mizunguko ya bure.
Mizunguko ya bure ya bonasi huwashwa wakati alama tatu au zaidi za kutawanya zinapoonekana kwenye safuwima kwa wakati mmoja. Alama tano za kutawanya zinaweza kukulipa mara 25 ya dau na kukamilisha utendaji kazi wa bonasi.
Kati ya alama nyingine, utamuona malkia, huenda akawa ni Cleopatra, Anubius, jiwe la bluu, fimbo na kile tunachodhani kuwa ni taji. Sambamba na alama hizi, pia kuna alama za karata ambazo zina thamani ya chini.
Upande wa kulia wa sloti hii kuna jopo la kudhibiti na chaguzi zote muhimu kwa ajili ya mchezo huu wa kasino ya mtandaoni. Kubofya kitufe cha Dau +/- hufungua menyu ambapo unaweza kuchagua ukubwa wa mizunguko yako.
Kitendaji cha Kucheza Moja kwa Moja (Automatic) kinapatikana pia, ambacho unaweza kukiwezesha wakati wowote. Unaweza kuweka hadi mizunguko 100 kupitia chaguo hili la kukokotoa. Unaweza pia kuweka kikomo kwenye ushindi na hasara zako pindi uchezapo sloti hii kwenye kasino ya mtandaoni ya Meridianbet.
NB: Ukijisajili Meridianbet unapewa bonasi ya mizunguko ya bure kucheza michezo ya kasino ya mtandaoni. Jisajili na Cheza.
SERIKALI YATENGA BILIONI 54 KWA AJILI YA UJENZI WA VYUO VYA UFUNDI STADI VETA 65 NCHINI.
![]() |
| Waziri wa Elimu Sayansi na Teklonojia Profesa Adolf Mkenda |
![]() |
| Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Elimu, Mafunzo ya Ufundi Stadi Veta Anthon Mzee Kasore |
Na Mwandishi Wetu, Tanga
SERIKALI imesema inaendelea na ujenzi wa vyuo 65 vya ufundi stadi Veta utakaogharimu kiasi cha shilingi bilioni 54 katika Mikoa na Wilaya hapa nchini, ikiwa ni mkakati wa kuhakikisha inatoa elimu ya Amali itakayokidhi matakwa ya mabadiliko ya sera ya elimu.
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teklonojia Profesa Adolf Mkenda alisema hayo alipotembelea chuo cha ufundi stadi Veta Jijini Tanga ili kujionea namna kinavyotoa mafunzo ya Ufundi Stadi lakini pia kuhakikisha wanatoa huduma zinazostahiki kwa jamii.
Waziri Mkenda amesema kuwa kati ya vyuo 65 vinavyojengwa Nchini, Vyuo 64 ni za Wilaya na Chuo Kimoja cha Mkoa ambapo hadi sasa tayari imetoa kiasi cha shilingi bilioni 37 huku matumaini yakiwa makubwa katika kila maeneo yanayojengwa vyuo hivyo ambavyo ni mkakati wa serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.
"Tukiwa bungeni swali kubwa ambalo limekuwa likiulizwa mara nyingi kuliko maswali mengine yote katika wizara ya elimu sayansi na teknolojia ni kuhusu veta kila mmoja anauliza ni lini veta itajengwa kwake watu wanamatarajio makubwa sana kwenye veta kwa maana hiyo sisi tuna kazi ya kuhakikisha tunakidhi matarajio yao kwa kutoa elimu ya amali ambayo ni bora na ambayo itakidhi matakwa ya vijana, "alisema Waziri Mkenda.
Prof Mkenda amesema zipo namna mbili za kuendelea kuwapima wahitimu wa Mafunzo ya Ufundi Stadi Veta ambapo moja ya njia ni kuangalia wahitimu wanafanya wapi kazi mara baada ya kuhitimu mafunzo yao na kuwahoji waliowaajiri namna walivyoridhika na utendaji kazi wao.
Pia Waziri Profesa Mkenda aliwaagiza viongozi wa Veta kuhakikisha wanaandaa bajeti na kuiwasilisha wizarani itakayoomba fedha kwa ajili ya kununulia zana bora zinazokidhi teklonojia ya sasa katika karakana za Ufundi wa magari ili vyuo hivyo vya Veta viweze kuingia sokoni kutengeneza magari ya serikali, mashirika na watu binafsi.
Mkurugenzi wa Veta kanda ya Kaskazini Monica Mbele, alisema wamepokea maagizo hayo ambayo pindi wakipata nyenzo na zana bora za kisasa wataweza kuwa na utayari wa kutengeneza magari lakini pia kuongeza walimu wenye ujuzi wa teklonojia ya kisasa.
Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi VETA Antony Mzee Kasore alisema watahakikisha wanakwenda kutekeleza maagizo ya Waziri ya utoaji wa mafunzo bora na kuhakikisha wanatoa mafunzo yanayohitajika na yanayozingatia ubora unahitajika.
"Kama tulivyosikia kuna vyuo vinavyojengwa 65 katika wilaya mbalimbali na Mkoa na chenyewe pia tunakwenda kusimamia kama maelekezo aliyotoa ya kuhakikisha tunasimamia ujenzi huo uweze kufanyika tukiamini tutakuwa tumekwenda kutekeleza yale yote yaliyoanishwa, "alisema











.jpeg)

.jpeg)








%20MWAMBEGELE.jpg)