Saturday, 3 June 2023

TRENI ZAGONGANNA NA KUUA WATU 260, KUJERUHI 900

ZAIDI ya watu 260 wanaripotiwa kufariki dunia nchini India na wengine 900 wamejeruhiwa baada ya treni mbili za abiria na nyingine ya mizigo kugongana huko katika Jimbo la Odisha lililopo Mashariki mwa nchi hiyo. Ajali hiyo imetokea siku ya Ijumaa Juni 2, 2023 katika Wilaya ya Balasore katika Jimbo...
Share:

NILIJUA RAFIKI YANGU KUMBE ANAMPA TUNDA MUME WANGU

  Nimeishi na mume wangu kwa miaka mitatu, kwa muda huo nimekutana na mambo mengi sana hadi hatua ya kushindwa kula na kupata usingizi kutokana na visa ambavyo alikuwa ananifanyia. Nilifanya kila namna ili niweze kutambua kosa langu lilikuwa lipi hasa lakini sikuweza kufanikiwa, bado mume wangu...
Share:

WAJASIRIAMALI WA BIDHAA ZA MAZIWA WAASWA KUZALISHA BIDHAA ZENYE UBORA

Afisa Udhibiti Ubora (TBS) Bw. Daniel Marwa akiwatembelea wazalishaji, wasindikaji, na wasambazaji wa bidhaa za maziwa na wajasiriamali kwa ujumla waliofika katika maonesho ya maadhimisho ya wiki ya maziwa kitaifa, mkoani Tabora . ************** Wajasiriamali wa bidhaa za maziwa nchini wameaswa...
Share:

JE UNA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME??? FULL POWER NDIYO SULUHISHO

  Upungufu wa nguvu za kiume ni hali ya kushindwa kufanya tendo la ndoa kikamilifu ,shughuli ya tendo la ndoa huhusisha akili, homoni, neva, misuli, hisia na mirija ya damu. Upungufu wa nguvu za kiume huashiria kutokuwa sawa kiafya hivyo ni tatizo linalohitaji tiba. CHANZO CHA TATIZO LA...
Share:

Ngoma Mpyaa!! BHUDAGALA - MAGHULU ABHILI

Msanii Maarufu wa Nyimbo za Asili Bhudagala Ng'wana Malonja ameachia ngoma mpya inaitwa Maghuluabhili  ...
Share:

Video : MCHELE MCHELE - NKEONE

 ...
Share:

Friday, 2 June 2023

MHE. KATAMBI ATAKA UBUNIFU WA MAWASILIANO OFISI YA WAZIRI MKUU

Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Patrobas Katambi akizungumza wakati wa ufunguzi wa kikao kazi cha kuandaa mpango wa pamoja wa mawasiliano wa ofisi hiyo pamoja na taasisi zake kilichofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC),...
Share:

DCEA YAKAMATA MAGUNIA 731 YA BANGI, YATEKETEZA HEKARI 308 ZA MASHAMBA YA BANGI

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imeendelea na operesheni ya kukamata, kuharibu na kuteketeza dawa za kulevya aina ya bangi katika wilaya ya ARUMERU mkoani Arusha na kufanikiwa kukamata jumla ya gunia 731 za bangi kavu pamoja na kuteketeza hekari 308 za mashamba ya bangi. Operesheni...
Share:

MKULIMA APIGWA RISASI

Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Walter Kaaya (34) mkazi wa Simanjiro mkoani Manyara amenusurika kifo kwa kupigwa risasi na Paulo Laizer (43) mfugaji wilayani humo kufuatia mzozo wa mifugo kukutwa shambani ikiharibu mazao. Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Manyara RPC George Katabazi amesema...
Share:

Wimbo Mpya : MANG'WENG'WE - SHIKOME

 ...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger