Friday, 2 June 2023

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO IJUMAA JUNI 2,2023

SHARE   ...
Share:

UONGOZI BANDARI ZA ZIWA VICTORIA WAFURAHIA MAFANIKIO,WAPONGEZA MABORESHO YALIYOFANYWA NA SERIKALI

Meneja wa Bandari za Ziwa Victoria, Ferdinand Nyathi akiongea na waandishi wa habari akielezea utendaji kazi wa maboresho ya bandari hizo *************** Na Mwandishi Wetu, Mwanza MENEJA wa Bandari za Ziwa Victoria Ferdinand Nyathi ameelezea mafanikio makubwa ambayo yamepatikana kwenye bandari...
Share:

Thursday, 1 June 2023

Wimbo Mpya : NYASANI - MILELE

Msanii Nyasani anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa Milele... Sikiliza hapa ...
Share:

SERIKALI KUPOKEA NDEGE YA KUSAFIRISHIA MIZIGO BOEING 767-300

Waziri Wa Ujenzi na Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo Juni Jijini Dar es Salaam wakati akitoa taarifa kuhusu ujio wa ndege mpya ya mizigo aina ya Boeing 767 -300 ambayo inatarajiwa kuwasili nchini Juni 3,2023 ************** NA EMMANUEL MBATILO,...
Share:

HOSPITALI YA BUGANDO YAPOKEA VIFAA TIBA KUTOKA SHIRIKA LA AMERICARES

Hospitali ya Rufaa Kanda Bugando jijini Mwanza imepokea vifaa tiba vya upasuaji wa ugonjwa wa fistula ya uzazi kutoka shirika la Americares, vyenye thamani ya shilingi milioni 234.2 vitakavyosaidia utoaji huduma ya matibabu ya ugonjwa huo. Akizungumza Juni 01, 2023 kwenye hafla ya makabidhiano ya...
Share:

WATU 15 WA FAMILIA MOJA WAFARIKI KWA KUNYWA UJI

Watu 15 wa familia moja wameaga dunia nchini Namibia baada ya kunywa uji ulioharibika. Hili ni miongoni mwa matukio mabaya zaidi nchini humo ya maafa yanayotokana na chakula kibovu. Vyombo vya habari nchini humo vimeripoti kuwa familia hiyo ambayo ilikuwa imepigwa na njaa kupitiliza ilikunywa...
Share:

MUME WANGU KAMEGA TUNDA LA HOUSE GIRL NA KUNIACHA

Jina langu naitwa Farida mkazi wa mkoa wa Katavi, umri wangu ni miaka 38, nipo kwenye maisha ya ndoa miaka 10 sasa na mume wangu yazidi, tulifunga ndoa ya kimila ambayo ilihudhuriwa na wazazi wa pande zote mbili. Baada ya kuolewa mume wangu alinifungulia biashara ya kuuza nguo kwa ajili ya kuweza...
Share:

HEKARI 101 NA MAGUNIA 482 YA BANGI YATEKETEZWA ARUSHA

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na dawa za kulevya (DCEA) imefanikiwa  kukamata gunia 482 za bangi iliyokuwa tayari kusafirishwa kwenye masoko na  imeteketeza jumla ya hekari 101 za mashamba ya bangi yanayokadiriwa kuwa na bangi mbichi gunia 550 katika eneo la Kisimiri Juu kata ya Uwalu,...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger