Thursday, 4 May 2023
WAKALA WA VIPIMO MKOA WA KIGOMA YAHIMIZWA KUENDELEA KUSIMAMIA MATUMIZI SAHIHI YA VIPIMO KWENYE MAWESE
MANISPAA YA SHINYANGA YAELEZA KUIMARIKA UKUSANYAJI MAPATO, YAPONGEZWA KASI UTEKELEZAJI MIRADI

MRADI UJENZI BWAWA LA MEMBE WAFIKIA ASILIMIA 45.83%.
WAUGUZI HOSPITALI YA RUFAA YA BOMBO TANGA WATOA HUDUMA ZA UPIMAJI KWA WANANCHI
Wananchi wakiendelea kupata huduma mbalimbali
Na Oscar Assenga Tanga
WAUGUZI katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tanga Bombo leo wameanza kutoa huduma mbalimbali kwa wananchi ikiwemo utoaji wa Elimu ya Lishe Bora,utoaji wa chanjo ya Uviko 19,upimaji wa magonjwa mbalimbali ikiwa ni kuelekea siku ya maadhimisho ya sherehe ya wauguzi duniani inayo adhimishwa kesho Mei 5 mwaka huu.
Akizungumza leo Muuguzi Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tanga Bombo Andrew Tusiwe alisema kwamba watasherehekea siku ya wauguzi ambayo mwanzilishi wake Florence Nightingale; "Mwanamke wa Taa" ambaye alisimama kidete katika kuinua viwango vya uuguzi pamoja na kuwaelimisha Wauguzi kuwa na upendo kwa watu wenye uhitaji.
Tusiwe alisema kwa upande wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tanga Bombo wao wataadhimisha siku hiyo kwa kutoa zawadi kwa wagonjwa na kuwafariji.
Tusiwe alisema kwamba pia watafanya upimaji wa sukari,Presha,VVU na Satarani ya Shingo ya Kizazi, shinikizo la damu ,huku akitoa wito kwa wananchi kujitokeza kwa wingi ili kuweza kupima afya zao na kama kuna dalili za viashiria vyoyote aweze kupata huduma mapema.
Hata hivyo alitoa ushauri kwa wananchi ni muhimu wakajiwekea utaratibu mzuri wa kucheki afya zao mara kwa mara ili wanapogundulika na matatizo waanze kupata huduma za matibabu kwa haraka.
AOTA SEHEMU YA SIRI USONI KISA KUTEMBEA NA MKE WA MTU
Hata hivyo, rafiki yangu mmoja alikuwa analalamikia kwamba mke wake kila alipoenda katika dhehebu hilo alichelewa kurejea nyumbani, alirejea nyumbani usiku kwa madai alikuwa na mkutano wa faragha na kiongozi huyo.
Baada ya tabia ya mkewe kuzidi kuwa mbaya, tulimshauri amtembelee African Doctors kwa ajili ya ushauri na kumfanya mkewe kuwa mwaminifu na kutokuwa na mwanaume mwingine nje ya ndoa yao.
Basi alienda kwa African Doctors na akahudumiwa na kurejea nyumbani kwani alipewa hakikisho kwamba yeyote atayejaribu kula tunda lake basi atapata cha mtema kuni kwa wakati wowote.
Basi mke wake kama kawaida alienda katika dhehebu lile na hakujua kuwa mume wake alikuwa amemkinga kutoka nje ya ndoa, alirejea nyumbani mwendo wa jioni na mume wake alipomuuliza alipokuwa alisema kwamba alikuwa kwenye mkutano wa faragha na kiongozi yule.
Jumapili ilipofika waumini walishangazwa na kiogozi yule wa kidini kwani kila mara alikuwa anajikuna sehemu za siri wakati akitoa neno, ghafla hali ile ilimzidi na kutupa chini vitabu vyake ambavyo alitumia kufundishia.
Baadaye alianguka chini na kuanza kugaragara mithili ya mtu aliyekuwa anataka kufa, kilichoshangaza katika uso wake kuna kitu kama sehemu ya kike ya mwanamke kilijichora kitu kilichopelekea waumini wake kupigwa na butwaa.
Hadi hapo yule mwenye mke alijua fika kwamba siku za mtu aliyekuwa akila tunda lake zilikuwa zimefika, basi Richard alienda kwa kiongozi yule na kumuuliza iwapo alikuwa amewahi kutembea na mke wake.
Uzuri alikiri ni kweli aliwahi kufanya jambo hilo, basi alimpigia simu African Doctors na kumueleza kuhusu tukio hilo, African Doctors alimueleza kiongozi yule kuwa anapaswa kulipa Ksh40,000 ili hali yake iweze kurejea kama kawaida.
Mke wake alituma fedha zile kwa njia ya simu na hapo hapo akarejeshewa kwenye hali yake ya kawaida, tangu siku ile aliacha kuwa kiongozi wa dini na kuamua kuwa mkulima.
Kumbuka African Doctors anaweza kutibu magojwa kama vile kifafa, kisonono na mengineyo, anaweza kukukinga na maadui zako, kukuwezesha kupata kazi, kupandishwa cheo kazi na hata kuongezewa mshahara.
Wasiliana na African Doctors kwa namba; +254 769 404965, tembelea tovuti yao; www.african-doctors.com au watumie email; africandoctorheals@gmail.com.
Mwisho.


.jpeg)
.jpeg)







