Thursday, 4 May 2023

MRADI UJENZI BWAWA LA MEMBE WAFIKIA ASILIMIA 45.83%.

Kamati ya siasa ya wilaya ya Chamwino ikiongozwa na katibu ndugu Sylivester Yaledi (Chief Yaledi) imetembelea mradi wa Bwawa la maji Membe lililopo kata ya Membe halmashauri ya Chamwino kukagua hatua ya utekelezaji mradi huo. Kamati hiyo imeipongeza Tume ya Taifa ya Umwagiliaji NIRC kwa usimamizi...
Share:

WAUGUZI HOSPITALI YA RUFAA YA BOMBO TANGA WATOA HUDUMA ZA UPIMAJI KWA WANANCHI

  Muuguzi Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tanga Bombo Andrew Tusiwe akiwa kwenye eneo ambaalo huduma za upimaji kwa wananchi zinaendelea kwenye Hospitali hiyo ikiwa ni kuelekea siku ya maadhimisho ya Wauguzi Duniani  Wananchi wa Jiji la Tanga wakipatiwa huduma ya upimaji katikati...
Share:

AOTA SEHEMU YA SIRI USONI KISA KUTEMBEA NA MKE WA MTU

Katika dhehebu moja kulikuwa na kiongozi mmoja wa dini ambaye alikuwa maarufu kutokana na uwezo wake, alibadilisha maisha ya watu wengi kwani kila aliposimama kueneza neno maisha ya wengi yalibadilika. Hata hivyo, rafiki yangu mmoja alikuwa analalamikia kwamba mke wake kila alipoenda katika dhehebu...
Share:

Wednesday, 3 May 2023

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO ALHAMISI MEI 4,2023

...
Share:

MKE ASHINDWA KULINDA UNYUMBA KWA HEDHI ISIYOKOMA

Naitwa Aines kabla ya kuolewa niliishi kwa furaha sana na baada ya kuolewa siku za mwanzo wa ndoa yangu sikuzijua karaha nilizo hadithiwa na mashosti zangu kuhusu ndoa mpaka yaliponikuta, kwa kweli mwenye niliolewa nikiwa binti mdogo sana wa miaka ishirini na mmoja tena sikuwahi kuwa na mahusiano...
Share:

Video Mpya Kali balaa!! NTEMI OMABALA 'Ng'wana Kang'wa' - MERINA

Msanii maarufu wa Nyimbo za asili Ntemi Omabala 'Ng'wana Kang'wa' ameachia ngoma mpya inaitwa Merina...Tazama Video hapa chini Tazama Video hapa chin...
Share:

NAIBU WAZIRI ASISITIZA KAMPUNI ZA MADINI KUTOA FURSA ZA AJIRA, ZABUNI KWA WATANZANIA

Mfanyakazi wa Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML), Omary Faustine Matulanya akitoa maelezo kwa Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Patrobas Katambi (kushoto) kuhusu matairi yanayotumika kwenye mitambo ya ubebaji  mawe na mchanga wa dhahabu kutoka...
Share:

BENKI YA CRDB YAPATA LESENI KUFANYA BIASHARA JAMHURI YA KIDEMOKRASIA YA CONGO (DRC)

Kinshasa DRC 2 Mei 2023 – Benki Kuu ya Congo (BCC) imeipatia leseni ya kufungua kampuni tanzu nchini humo Benki ya CRDB. Leseni hiyo imekabidhiwa leo katika mkutano maalum kati ya BCC na ujumbe wa Benki ya CRDB ulioongozwa na Afisa Mkuu wa Fedha wa Kundi, Fredrick Nshekanabo. Akikabidhi leseni hiyo...
Share:

Tuesday, 2 May 2023

MWALIKO WA MISA YA SHUKRANI YA MPENDWA WETU RENATUS SOSPETER LUHUNGA JUMAMOSI JIJINI DODOMA

...
Share:

KATAMBI AFAFANUA MFUMO WA KUWALIPA KIINUA MGONGO WAZEE

Na Mwandishi Wetu, DODOMA Naibu Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Patrobas Katambi amesema serikali inazingatia watanzania wote wanaojenga nchi yao na imeweka utaratibu wa kupata pensheni kwenye Mifuko ya Hifadhi ya Jamii kwa waajiriwa na waliopo kwenye...
Share:

MSANII WA NYIMBO ZA ASILI 'DAWA DAWA' ATUPWA JELA KWA KUMTUKANA RAIS KWENYE WIMBO WAKE

Na Daniel Limbe, JamhuriMedia, Chato Msanii wa nyimbo za asili ya Kisukuma, Dawa Juma,mkazi wa kijiji cha Makurugusi wilayani Chato mkoani Geita,amehukumiwa kifungo cha miaka sita jela au kulipa faini ya shilingi milioni 10 baada ya kupatikana na hatia ya kumtukana rais Samia Suluhu Hassan. Hukumu...
Share:

WAZIRI WA KAZI CHARLES ENGOLA AUAWA KWA KUPIGWA RISASI

Waziri wa Kazi, Ajira na Uhusiano wa Viwanda Nchini Uganda, Charles Okello Engola ameuawa asubuhi hii kwa kupigwa risasi na Mlinzi wake (Bodyguard), Spika wa Bunge la Uganda Anitha Among amethibitisha Bungeni leo. Tukio hilo limetokea asubuhi hii ambapo imeripotiwa kuwa Waziri Okello alikuwa anatoka...
Share:

NTOBI : PUUZENI HICHO KIPEPERUSHI KINACHOSAMBAA MTANDAONI

Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Shinyanga Emmanuel Ntobi Na Mwandishi wetu - Malunde 1 blog Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Shinyanga Emmanuel Ntobi amewataka wananchi kupuuza kipeperushi kinachosambaa mtandaoni kinachoeleza amesimamishwa uongozi. Akizungumza na...
Share:

SASA NAPELEKA MOTO HATARI BAADA YA KUACHWA NA WAKE WAWILI

Mimi ni mwanaume ambaye naheshimu na kumjali mwanamke yoyote katika dunia hii, naheshimu sana jinsia ya kike kwa sababu Baba yangu mzazi alimuacha Mama yangu nikiwa bado mdogo kabisa, Mama yangu alijitahidi kadiri awezavyo kunitunza.  Mwaka 2015 nilipata mke, kutokana na malezi ambayo nilipata...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger