Thursday, 6 April 2023

Picha : MATUKIO YANAYOENDELEA MSIBA WA MFANYABIASHARA MAARUFU MUSOMA FOOD..MAZISHI YANAFANYIKA LEO KAMBARAGE

Maelfu ya waombolezaji wamejitokeza kuaga mwili wa Mfanyabiashara wa nafaka mkoa wa Shinyanga Said Makilagi maarufu Musoma Food aliyefariki dunia ghafla jijini Mwanza Jumatatu Aprili 3,2023 akiwa Hotelini. Mazishi ya marehemu Said Kate Makilagi yanafanyika leo Alhamisi Aprili 6,2023 nyumbani kwake...
Share:

BENKI YA CRDB YAFUTURISHA WATEJA NA WADAU NA KUTOA CHAKULA KWA WATOTO YATIMA TABORA….RC BATILDA APONGEZA HUDUMA YA AL BARAKAH BANKING

Kaimu Meneja wa Benki ya CRDB Kanda ya Magharibi Ndg. Jumanne Wambura Wagana akizungumza wakati Benki ya CRDB ikiwafuturisha Wateja na Wadau wa Benki ya CRDB Mkoa wa Tabora Na Mwandishi Wetu – Malunde 1 blog Tabora Benki ya CRDB imewafuturisha Wateja na Wadau wa Benki ya CRDB Mkoa wa Tabora...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO ALHAMISI APRILI 6,2023

                        ...
Share:

Wednesday, 5 April 2023

ONGEZA USHINDI X1000 YA DAU LAKO KUPITIA VENI VIDI VICI

 Aprili ya Kishua unaambiwaje jisajili Meridianbet upate mizunguko 50 ya bure kucheza sloti ya kasino ya mtandaoni. Kujisajili bonyeza hapa: https://a.meridianbet.co.tz/c/GLd6O8   Furahia sloti mpya kutoka Kasino ya Mtandaoni ikielezea Roma ya Kale! Cheza kipekee katika sloti ya...
Share:

NEMC YAKIPA SIKU SABA KIWANDA BUBU KUJIBU TUHUMA ZA TAKA HATARISHI

Mmoja wa Maafisa kutoka NEMC akikagua baadhi ya taka za hospitalini zikiwa zimekusanywa katika kiwanda bubu cha kukusanya na kusaga chupa za plastiki eneo la Kisarawe II wilayani Kigamboni leo Aprili 5,2023 Jijini Dar es Salaam. Baadhi ya Maafisa kutoka Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger