Friday, 3 February 2023

TANZANIA GIRL GUIDES ASSOCIATION WAENDESHA KAMPENI YA UPANDAJI MITI SHULE YA MSINGI NDEMBEZI

  Kampeni ya upandaji miti ikiendelea katika shule ya Msingi Ndembezi Manispaa ya Shinyanga. Na Marco Maduhu, SHINYANGA CHAMA kisicho cha kiserikali Tanzania Girl Guides Association kimeendesha Kampeni ya upandaji miti katika shule ya Msingi Ndembezi Manispaa ya Shinyanga, ili kukabiliana...
Share:

TBS YATOA UFAFANUZI KUHUSU USALAMA WA JUISI YA AZAM EMBE

...
Share:

WANANCHI TABORA WAISHUKURU SERIKALI UJENZI WA VYUO VYA VETA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Hassan Suluhu akipata maelezo kuhusu ujenzi wa Chuo cha Ufundi Stadi na Hudum cha Mkoa wa Kagera kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa VETA Anthony Kasore wakati wa makabidhiano na uzinduzi huo wa Chuo uliofanyika Oktoba 13, 2022. Rais wa Jamhuri ya...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARI 3,2023

  V ...
Share:

Thursday, 2 February 2023

SERIKALI YAAHIDI KUTATUA CHANGAMOTO SEKTA BINAFSI

Na Georgina Misama – MAELEZO. Serikali kupitia Wizara ya Uwekezaji Viwanda na Biashara imeahidi kushirikiana na Sekta Binafsi katika kutatua changamoto zinazoikabili sekta hiyo; katika kikao cha majadiliano kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi kilichofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa...
Share:

SERIKALI YAANZA KUANGALIA DHAMANA KESI ZA ULAWITI NA UBAKAJI

Na Mwandishi wetu, Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maaalum imeanza kuangalia uwezekano wa kuondoa dhamana kwenye makosa ya ulawiti na ubakaji ili kukomesha vitendo hivyo vilivyokithiri nchini. Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu,Kazi, Vijana, Ajira...
Share:

DAWA YA MVUTO WA KIMAPENZI ILIVYONIPATIA MKE TAJIRI

Jina langu ni Majaliwa kutokea Mombasa nchini Kenya, ni Baba wa familia, mimi na mke wangu katika miaka sita ya ndoa yetu tumejaliwa kupata watoto wawili, mmoja wa kiume na mwingine wa kike. Tunawapenda sana, hawa ndio furaha yetu. Kabla ya kuwa na mwanamke huyo, huko nyuma niliangaika sana kutafuta...
Share:

TBS YATOA ELIMU KWA WATOA HUDUMA YA CHAKULA KATIKA MIKUSANYIKO JIJINI DAR ES SALAAM

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TBS, Dkt. Ashura Kilewela akizungumza katika ufunguzi wa Mafunzo ya Uhamasishaji kwa Wauzaji wa chakula kwenye Mikusanyiko, Wasafirishaji wa chakula na wasagaji wadogo wa nafaka katika Mkoa wa Dar es Salaam ambayo yamefanyika leo Februari 2,2023. Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TBS,...
Share:

MREMBO ANG'ATA NYETI ZA BABA MKWE WAKE

Polisi katika kaunti ya Bungoma  nchini Kenya wanachunguza kisa ambapo mwanamke anadaiwa kumng'ata baba mkwe wake sehemu za siri wakati wa ugomvi. Katika kisa hicho cha kustaajabisha ambacho kimeshtua familia na majirani, Vincent Simiyu mwenye umri wa miaka 78, kutoka kijiji cha Kimaeti eneobunge...
Share:

Wednesday, 1 February 2023

WAKE WANNE WAMENIACHA NA KWENDA KUOLEWA TENA

Ukweli ni kwamba huku duniani kuna mikosi ya kila namna, mikosi ni mfululizo wa visa vibaya ambavyo vinaweza kuwa vinajirudia kila wakati na bila kujua sababu ni nini hasa. Mathalani kuna mtu kila bishara anayofungua haiwezi kufikisha mwaka mmoja, mwingine kila gari analonunua lazima liibiwe, mwingine...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger