Tuesday, 10 January 2023

PROF. NDALICHAKO ATAKA SERA YA VIJANA 2023 IENDANE NA MAHITAJI YA SASA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu, Prof.Joyce Ndalichako,akizungumza wakati akifungua Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi hiyo lililofanyika leo Januari 10,2023 jijini Dodoma. Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye...
Share:

MGODI WA ALMASI MWADUI WAWAHAKIKISHIA WAATHIRIKA WA TOPE WOTE KULIPWA FIDIA

 Meneja Mkuu wa Mgodi wa Almasi Mwadui (Williamson Diamond Limited) Mhandisi Ayoub Mwenda akizungumza na Wananchi ambao ni Waathirika wa tope la Mgodi huo wa vijiji viwili vya Ng'wanholo na Nyenze Kata ya Mwadui Luhumbo wilayani Kishapu kwenye Mkutano wa hadhara. Na Marco Maduhu, KISHAPU MGODI...
Share:

NYOTA WA ZAMANI WA CHIPOLOPOLO AUAWA KWA KUSHAMBULIWA NA MBWA WAKE

Nyota wa zamani wa Chipolopolo ya Zambia, Philemon Mulala aliumwa na mbwa wake watatu nyumbani kwake Lichtenburg Afrika Kusini alipotoka nje kuchunguza kwanini mbwa hao walikuwa wanabweka sana baada ya umeme kukatika. Msemaji wa polisi, Sam Tselanyane, alisema kuwa mke wake aliwaambia kwamba alisikia...
Share:

Monday, 9 January 2023

MWANRI ATAKA VIONGOZI KUSIMAMIA WAKULIMA WA ZAO LA PAMBA

Balozi wa Pamba nchini Tanzania Agrey Mwanri akizungumza kwenye kikao. Balozi wa Pamba nchini Tanzania Agrey Mwanri akizungumza kwenye kikao. Kikao cha Pamba kikiendelea. Na Sumai Salum, KISHAPU Balozi wa Pamba nchini Tanzania msimu wa mwaka 2022-2023 Agrey Mwanri amewataka viongozi kusimamia...
Share:

WATEMBEA ZAIDI YA KILOMITA 15 KUFUATA HUDUMA ZA AFYA ..."WAJAWAZITO WAJIFUNGULIA NJIANI"

Jengo la Zahanati ya Nyida Halmashauri ya Shinyanga ambalo limejengwa kwa nguvu za wananchi na halijaanza kutumika Mkazi wa Kata ya Nyida akizungumza na mwandishi wa habari Afisa mtendaji Kata ya Nyida Daudi Lazaro akizungumza na mwandishi wa habari **** Na Mwamvita Issa - Shinyanga Umbali wa...
Share:

MTOTO WA MIAKA SABA ANUSURIKA KUFA BAADA YA KUNYONGWA NA SHANGAZI YAKE

Mtoto wa kike mwenye umri wa miaka saba mkazi wa mtaa wa Mission, Kata ya Pamba wilayani Nyamagana jijini Mwanza, amenusurika kifo baada ya kunyongwa na shangazi yake Elizabeth Bagwisa kwa madai kuwa alikuwa anacheza nyumba ya jirani ambapo shangazi yake huyo alimkataza. Majirani wa mtaa huo wamesema...
Share:

WAZIRI MABULA AAGIZA HALMASHAURI KUTWAA MAKAZI NA MAPORI YASIYO ENDELEZWA MJINI  

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Angeline Mabula akiongea na Makampuni pamoja na viongozi wa Mkoa wa Dar es Salaam walioshiriki kikao kazi cha kujadili utekelezaji wa programu ya urasimishaji makazi yasiyopangwa nchini kilichofanyika leo jijini humo katika Makao Makuu ya Shirika la...
Share:

AJALI YA COASTER YAUA WATU WATANO

Kamanda wa Polisi mkoa wa Pwani ACP Pius Lutumo. ** Watu watano wamefariki dunia na wengine 10 kujeruhiwa baada ya basi dogo la abiria aina ya Toyota Coaster kugongana na gari la mizigo aina ya Mitsubishi Canter, katika eneo la Mwavi, Kata ya Kiwangwa wilayani Bagamoyo mkoani Pwani. Kamanda wa Polisi...
Share:

IJUE SIRI KUBWA YA MAFANIKIO KATIKA BIASHARA, HII NI NYOTA YAKO!

Ukweli ni kwamba kila mfanyabiashara ambaye unaona amefanikiwa, ana siri kuhusu mafanikio, kuna jambo la muhimu nyuma ya pazia katika yale mafanikio yake, na sio wote wapo tayari kuzungumzia hilo. Nimekuja kuamini hilo baada ya kukutana na AfricanDoctors na kunieleza wafanyabiashara maarufu na wakubwa...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger