Sunday, 8 January 2023

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATATU JANUARI 9,2023

Magazetini leo Jumatatu Januari 9, 2023 .. ...
Share:

MTOTO WA MIAKA 6 AMPIGA RISASI MWALIMU WAKE

Mwanafunzi mwenye umri wa miaka 6 amempiga risasi na kumjeruhi mwalimu wake, katika jimbo la Virginia. Mwanafunzi huyo mvulana, amekamatwa na polisi baada ya tukio hilo katika shule ya msingi ya Richneck. Mkuu wa polisi Steve Drew amesema kwamba tukio hilo halikuwa la kimakosa na kwamba mwalimu,...
Share:

HAPPY BIRTHDAY CEO WA MALUNDE 1 BLOG

Leo Januari 8 ni Kumbukumbu ya Kuzaliwa kwa Mkurugenzi na Mmiliki wa Mtandao wa Malunde 1 blog (www.malunde.com), ndugu Kadama Malunde mkazi wa Shinyanga Tanzania. Happy Birthday!!...
Share:

KAMATI YA UTATUZI WA MIGOGORO VIJIJI NA MITAA 975 NCHINI YAHITIMISHA KAZI DAR ES SALAAM.

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendelo ya Makazi Dkt. Angeline Mabula akiongea na viongozi wa Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani kuhusu zoezi la utatuzi wa migogoro ya ardhi ya Mitaa na Vijiji 975 zoezi ambalo limehitimishwa leo Mkoani Dar es Salaam. Waziri wa TAMISEMI Angela Kairuki akiongea na viongozi wa...
Share:

Saturday, 7 January 2023

MINZA MAYENGA; MAMA ALIYEKATWA MAPANGA NA MUMEWE KISA NG’OMBE NA MASHAMBA

Minza Mayenga (47) mkazi wa Mkoa wa Simiyu ambaye ni mama wa watoto tisa aliyekatwa mapanga na mme wake sehemu za kichwa na mkono Novemba 30,2022 akiwa katika hospitali ya wilaya mji wa Bariadi Somanda. Na Mwamvita Issa  Kwa siku za hivi karibuni wanandoa wamekuwa ni wahanga wakubwa wa...
Share:

WADAU SMZ NA SMT WAJADILI ANDIKO LA MAPENDEKEZO YA SHERIA YA UTAFUTAJI NA UOKOAJI

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi, Sekta ya Uchukuzi, Zanzibar, Ndg. Shomari Omar Shomari (katikati), akizungumza na wadau wa usafiri kwa njia ya anga na maji kutoka SMZ na SMT wakati wa kujadili mapendekezo ya andiko la sheria ya Utafutaji na Uokoaji katika ukumbi wa ZURA,...
Share:

HISTORIA YA MANJU MADEBE JINASA...."NILIWAHI KUFA"

Mwandishi Nguli /Mwandamizi Shija Felician amekutana na Manju Madebe kutoka Nzega Tabora ambaye ameelezea Historia yake... Manju huyu maarufu anasema Aliwahi Kufa, pia alikuwa analima na kuvuna muda huo na alikuwa anaita nyuki na kulina asali.. Fuatilia hapa maajabu ya Msukuma huyu...
Share:

RAID YAKUBALI MWALIKO WA MUDA MREFU WA KUTEMBELEA MGODI WA NORTH MARA

...
Share:

CCM SHINYANGA WAJIPANGA MIKUTANO YA HADHARA..."HII PIN ILITUATHIRI PIA... SASA VYAMA RAFIKI VIKASEME UKWELI VISIFUNIKE MIWANI YA MBAO"

Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga Mhe. Mabala Kashindye Mlolwa akizungumza na Waandishi wa Habari leo Jumamosi Januari 7,2023 katika ofisi za Makao Makuu ya CCM Mkoa wa Shinyanga. Picha na Kadama Malunde Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga Mhe. Mabala Kashindye Mlolwa akizungumza na Waandishi wa...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI JANUARI 7,2023

...
Share:

Friday, 6 January 2023

Video Mpya : BUGANGA - KAMA MBWA

 ...
Share:

WAHUNI WASHIRIKIANA NA WANAFUNZI KUVUTA BANGI SHINYANGA MJINI

Mfano mwanafunzi akivuta bangi Mwenyekiti wa mtaa wa Dome Solomon Najulwa akizungumza kwenye kikao cha mtaa huo Na Suzy Luhende, Shinyanga Press Club Blog Mwenyekiti wa mtaa wa Dome kata Ndembezi Manispaa ya Shinyanga Solomon Najulwa amewataka wanafunzi wote wa mtaa wa Dome waliofaulu kuingia kidato...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger