Takriban watu 16 wamepoteza maisha wakati basi la abiria lilipogonga lori moja Ijumaa asubuhi kwenye barabara kuu ya Uganda inayounganisha mji mkuu, Kampala, na mji wa kaskazini wa Gulu.
Polisi wanasema watu 12 walifariki papo hapo huku wengine wanne wakifariki baadaye hospitalini. Wasafiri wengine...
Friday, 6 January 2023
IGP WAMBURA AFANYA MABADILIKO YA MAKAMANDA WA POLISI

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Camillus Wambura, amefanya mabadiliko ya Makamanda wa Polisi wa mikoa katika kuboresha na kuongeza ufanisi wa utendaji kwenye mikoa mitatu.
Kupitia taarifa iliyotolewa leo Ijumaa Januari 06, 2023 na Msemaji wa Jeshi la Polisi David Misime imeeleza kuwa katika...
BABA AJIUA BAADA YA KUUA MKE, MAMA MKWE NA WATOTO WATANO

Michael Haight mwenye umri wa miaka 42 nchini Marekani amemuua mke wake, mama mkwe na watoto wake 5 na yeye kujiua baada ya mke wake kuwasilisha ombi la talaka jambo ambalo yeye hakulitaka.
Tukio hilo limetokea katika jimbo la Utah nchini Marekani ambapo miili ya watu hao imepatikana ndani ya nyumba...
Thursday, 5 January 2023
DODOMA YAJIPANGA KIVINGINE KUBORESHA ELIMU
Idara ya elimu Mkoa wa Dodoma imefanya kikao kazi cha wadau wa elimu Mkoa kilichohudhuriwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule akiwa ndiye mgeni rasmi wa kikao hicho kililichofanyika katika ukumbi wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) eneo la Mipango Jijini Dodoma.
Katika...
RAIS SAMIA ATENGUA UTEUZI WA KAMISHNA DIWANI ATHUMAN MSUYA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ametengua uteuzi wa Kamishna Diwani Athumani Msuya, aliyemteua tarehe 03 Januari, 2023 kuwa Katibu Mkuu Ikulu.
Aidha, Rais Samia amemteua Bw. Mululi Majula Mahendeka kuwa Katibu Mkuu Ikulu. Bw. Mahendeka alikuwa Afisa Mwandamizi...
POLISI ALIYEOA MWEZI ULIOPITA AFUMANIWA AKICHEPUKA NA MKE WA MTU

Polisi
Afisa wa polisi nchini Kenya aliyefunga ndoa Desemba mwaka jana, amefumaniwa chumbani akiwa na mke wa mtu, katika nyumba moja mtaa wa Eastlands jijini Nairobi.
Mwanamume huyo aliyemfumania Afisa wa Polisi, imeelezwa kwamba alikuwa amesafiri kwenda kijijini na aliporudi nyumbani akamkuta...
GARI LA WAGONJWA 'AMBULANCE' LAUA MUUGUZI NA MAMA MJAMZITO KWENYE KONA SPIDI KALI KUELEKEA HOSPITALI
Mwanamke mjamzito mwenye umri wa miaka 21, na mtoto wake aliyekuwa tumboni walifariki dunia wakati gari la wagonjwa lililokuwa likimkimbiza hospitalini kupoteza mwelekeo na kuanguka.
Ripoti zinaeleza kuwa muuguzi wa kiume aliyekuwa ameandamana na mwanamke huyo pia alifariki dunia katika ajali hiyo...
Wednesday, 4 January 2023
MWAMBA AOA WANAWAKE WAWILI SIKU MOJA

Mwanaume mmoja raia wa Nigeria aliyetambulika kwa jina la Nkanu, amefunga pingu za maisha na wanawake wawili siku moja katika jimbo la Cross River.
Nkanu aliwaoa Mary na Jennet siku moja katika sherehe ya harusi iliyofanyika Jumamosi, Disemba 31, 2022, katika Uwanja wa Michezo wa Bazohure.
Picha...
VITUO VYA TAARIFA NA MAARIFA VYATOA MAPENDEKEZO KUHUSU BAJETI YA HALMASHAURI YA JIJI LA DAR ES SALAAM

Veronica Wana kutoka Kituo cha Taarifa na Maarifa cha Kivule akisoma maoni na mapendekezo katika eneo la masuala mtambuka ya Jinsia hasa kwenye vipaumbele muhimu kwenye upangaji wa Bajeti yenye mrengo wa Usawa wa Kijinsia kwa wadau wa Usawa wa Kijinsia(Bajeti Jumuishi) kwenye Bajeti ya Halmashauri...
RAIS WA BRAZIL AONGOZA MAZISHI YA BINGWA WA SOKA DUNIANI PELE

Jeneza la mfalme wa soka duniani hayati Pele.
Rais wa Brazil Luiz Inacio Lula da Silva Jumanne anaongoza mazishi ya bingwa wa kandanda Pele ambaye atakumbukwa kama mchezaji bora zaidi katika historia ya kandanda.
Baada ya siku tatu za maombolezo, wananchi wa Brazil walitoa heshima zao za mwisho...
WAANDISHI WA HABARI LINDI WAHIMIZWA KUTHAMINI KAZI NA TAALUMA YAO

Waandishi wa habari mkoani Lindi wamehimizwa wathamini kazi na taaluma yao ya uandishi wa habari ili taaluma hiyo na wao wenyewe waweze kuthaminiwa.
Wito huo ulitolewa juzi na mkuregenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Kilwa, Eston Ngilangwa wakati wa mkuu mkutano mkuu maalumu wa klabu ya waandishi...
RAIS SAMIA AFANYA MABADILIKO YA VIONGOZI SERIKALINI... AFUMUA FUMUA IKULU USALAMA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko ya nafasi za uongozi katika Serikali ambapo amemteua Balozi Hussein Othman Katanga kuwa Balozi wa Tanzania mjini New York, nchini Marekani na Mwakilishi wa Kudumu katika Umoja wa Mataifa.
Kupitia taarifa iliyotolewa...