Saturday, 3 December 2022

KIJANA ANUSURIKA KUUAWA BAADA YA KUNASWA AKIWAFUNDISHA WATOTO USHOGA....AKIRI KUWA NI SHOGA

Jabir Hamisi, mkazi wa mtaa wa Mwatulole, mkoani Geita, amenusurika kuuawa kwa kipigo na mamia ya wananchi, baada ya kukutwa akiwa na kundi la watoto wadogo, akiwafundisha vitendo vya ushoga na ulawiti, hali iliyolazimu Jeshi la Polisi mkoani humo kuingilia kati na kumuondoa katika eneo hilo, ili...
Share:

ARMED INTRUSION OF NORTH MARA RESULTS IN ONE CASUALTY

...
Share:

Friday, 2 December 2022

WAZIRI DKT. GWAJIMA AONGOZA KONGAMANO LA WANAWAKE NA MAENDELEO

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wanawake na Makundi Maaalum, Dkt. Dorothy Gwajima akisoma hotuba yake wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Wanawake na uongozi ikiwa na kauli mbiu isemeyo Wekeza Rasilimali kuongeza ushiriki wa wanawake katika Uongozi ili kutokomeza Ukatili wa Kijinsia wakati wa...
Share:

ZIARA YA MTENDAJI MKUU TARURA YALETA FARAJA KWA WANANCHI- KALIUA

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor H. Seff ameleta faraja kwa wakazi wa Wilaya ya Kaliua mkoani Tabora baada ya kutembelea barabara ya Mpandamlowoka-Mwaharaja na Kazaroho-Mpandamlowoka zenye urefu wa Km 90 na kusema hatua za matengenezo zinaendelea...
Share:

VYUO VYA ELIMU YA JUU VYATAKIWA KUWAPA VIJANA UJUZI ,MAARIFA NA STADI ZINAZO WAWEZESHA KUJIAJIRI

Katibu Mkuu Wizara ya elimu,sayansi na teknolojia Dkt. Francis Michael akizungumza wakati wa utiaji saini wa makubaliano ya ruzuku ya Mradi wa HEET kwa Taasisi za Elimu ya Juu zilizo chini ya Wizara ya Fedha na Mipango Jijini Dar es Salaam.. Na mwandishi wetu,WEST-DAR. Wizara ya Elimu, Sayansi...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger