Friday, 4 November 2022

MASHINDANO YA TAIFA YA MPIRA WA KIKAPU 'CRDB BANK TAIFA CUP 2022' YAFUNGULIWA RASMI JIJINI TANGA

Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Omary Mgumba (katikati) akifurahi jambo na Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Benki ya CRDB, Tully Esther Mwambapa (wanne kulia) wakati wa ufunguzi rasmi wa Mashindano ya taifa ya mpira wa kikapu 2022 (CRDB Bank Taifa Cup), yaliyoanza leo kwenye uwanja wa Bandari jijini Tanga na...
Share:

RUAHA YAHARIBIWA KWA WANANCHI KWA KUVAMIA VYANZO VYA MAJI

Mragibishi na Mdau wa Mazingira Seleman Msindi akizungumza mara baada kufika katika Mto Ruaha Mkuu eneo Ngiliama- Madibira mkoani Mbeya Sehemu ya mawe hii kwa kipindi hiki cha kiangazi kinakuwa maji lakini hakuna hata tone la maji Bwawa ambalo sehemu ya weusi ni wanyama aina viboko. Bwawa lenye...
Share:

MAHAFALI YA 16 CHUO CHA UANDISHI WA HABARI NA UTANGAZAJI FANIKIWA YAFANYIKA ARUSHA...WAHITIMU WAONESHWA FURSA MTANDAONI

Mkurugenzi wa shirika la MAIPAC Bw Musa Juma akitoa hotuba.  Mkuu wa Chuo cha waandishi wa habari na Utangazaji Fanikiwa Bw Andrea Ngobole akitoa hotuba kwa wahitimu. katika picha ni wahitimu wa Chuo Cha Uandishi wa Habari na Utangazaji Fanikiwa arusha. Wahitimu Wa Chuo Cha Uandishi...
Share:

UTEUZI:RAIS AFANYA UTEUZI WA MWENYEKITI WA BODI YA WAKURUGENZI WA MICHEZO YA KUBAHATISHA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Balozi Modest Jonathan Mero (Mstaafu) kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Michezo ya Kubahatisha (GBT). Balozi Mero ni Mkurugenzi wa Bodi ya Kampuni ya African Discovery Group, New York nchini Marekani. Uteuzi huu...
Share:

SPIKA WA BUNGE LA AFRIKA KUSINI : NCHI ZA AFRIKA TUNAPIGA HATUA NZURI KATIKA KUWAPA NAFASI ZA UONGOZI WANAWAKE

Spika wa Bunge la Serikali ya Jamhuri ya Afrika Kusini Mhe. Mapisa Nqakula kwenye Mkutano wa Kumi na Tatu wa Bunge la Afrika juu ya Haki za Wanawake.  Na Kadama Malunde - Midrand Afrika Kusini Spika wa Bunge la Serikali ya Jamhuri ya Afrika Kusini Mhe. Mapisa Nqakula amesema Bara la Afrika...
Share:

MWENYEKITI WA KIJIJI AJIUA KWENYE MPARACHICHI

Geofrey Massawe (45), Mwenyekiti wa kitongoji Somanga mkoani Kilimanjaro amejiua kwa kujinyonga kwa kutumia kamba ya kufungia ng'ombe aliyoifunga juu ya mti wa mparachichi jirani na nyumbani kwake. Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Simoni Maigwa amethibitisha kutokea kwa tukio hilo leo Alhamisi Novemba...
Share:

Thursday, 3 November 2022

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO IJUMAA NOVEMBA 4,2022

Tags MAGAZETI...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger