
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu akisalimiana na wanachama wa Saccos ya Kizimkazi Mkunguni Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar wakiongozwa na Mwenyekiti wa Saccos hiyo Bw Said Hamad Ramadhan (wa pili kushoto) wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa jengo la ofisi za Saccos hiyo iliyoambatana...