Friday, 2 September 2022

WAZIRI JAFO AMPONGEZA RC MAKALLA KWA OPERESHENI YA KUKAMATA MIFUKO YA PLASTIKI.

Afisa Mazingira NEMC Bw.Erick Fussi akimuonesha Waziri Jafo baadhi ya Mifuko ambayo wameikamata katika kiwanda cha Swallow investment Ltd mara alipofanya ziara katika kiwanda hicho kilichopo Tegeta Jijini Dar es Salaam.Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Dkt. Selemani Jafo...
Share:

RAIS SAMIA AFUNGUA MIRADI MBALIMBALI KIZIMKAZI, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Hamad Masauni wakati akikata utepe kuashiria ufunguzi wa Kituo cha Polisi Kizimkazi, Zanzibar tarehe 02 Septemba, 2022. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan...
Share:

RC MJEMA AONGOZA KIKAO CHA TATHMINI UTEKELEZAJI MKATABA WA LISHE, CHANJO YA UVIKO -19 NA POLIO SHINYANGA...AGEUKA MBOGO UPATIKANAJI TAKWIMU

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema akizungumza wakati akifungua kikao cha Tathmini ya  Utekelezaji wa Mktaba wa Lishe kwa kipindi cha 2021/2022 na Kampeni ya Polio kwa awamu ya tatu kwa watoto chini ya miaka mitano.  Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog Mkuu wa Mkoa wa...
Share:

RAIS SAMIA AZINDUA MAABARA YA SAYANSI SKULI YA KIZIMKAZI ILIYOJENGWA NA BENKI YA CRDB

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Samia Suhuhu Hassan (watatu kushoto) kwa pamoja na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Lela Mohammed Musa (wapili kushoto), Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela wakikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Maabara ya Sayansi...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger