Monday, 1 August 2022

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMANNE AGOSTI 2,2022

...
Share:

WASIOJULIKANA WAMUUA MUUZA DUKA BAADA YA KUNUNUA PIPI NA SODA SHINYANGA

Picha haihusiani na habari hapa chini Mwanamke aliyetambulika kwa jina la Kabula Ngasa mwenye umri wa miaka 60, mkazi wa kijiji cha Nyida Kata ya Nyida katika Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga , ameuawa na watu wasiojulikana kwa kukatwa panga sehemu mbalimbali za mwili wake. Mwenyekiti wa kijiji...
Share:

NYUKI WAVAMIA SHULE, WAJERUHI WALIMU NA WANAFUNZI

Picha haihusiani na habari hapa chini KUNDI la nyuki ambalo halikujulikana limetokea wapi limezua taharuki baada ya kuvamia Shule ya Msingi ya Kamena Wilaya ya Liwale mkoani Lindi na kujeruhi walimu na wanafunzi. Taarifa kutoka wilayani humo na kuthibitishwa na mmoja wa walimu wa shule hiyo, Rehema...
Share:

MWENGE WA UHURU WAMULIKA MRADI WA MAJI NYAMILANGANO UNAOTEKELEZWA NA RUWASA KAHAMA

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Sahili Nyanzabara Geraruma, akikata Utepe kwenye Mradi wa Majisafi na salama wa Nyamilangano Halmashauri ya Ushetu ambao unatekelezwa na RUWASA. Na Marco Maduhu, USHETU KIONGOZI wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Sahili Nyanzabara Geraruma, ameweka jiwe...
Share:

MAFURIKO YAUA WATU 10

Watu kumi wamepoteza maisha nchini Uganda kufuatia mafuriko makubwa mashariki kwa taifa hilo la ukanda wa Afrika Mashariki, shirika la Msalaba Mwekundu lilisema Jumapili. Mvua kubwa ilisababisha mito kufurika na maji kusambaa hadi katika maboma ya watu na barabara huku Red Cross ikielezea uwezekano...
Share:

MFUNGWA ATOROKA POLISI UCHI AKIOGA

Polisi jijini Nairobi wanamsaka mfungwa mwenye umri wa miaka 19, ambaye alitoroka katika Kituo cha Polisi cha Viwandani. Katika kisa hicho cha Jumatano, Julai 27, Erickson Khata aliomba ruhusa ya kuoga na afisa aliyekuwa kwenye zamu alimsindikiza kuchota maji na kuoga. Hata hivyo, Khata alitumia...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATATU AGOSTI 1,2022

Magazetini leo Jumatatu August 1 2022 ...
Share:

HAULE AONGEZA JOTO LA UCHAGUZI JUMUIYA YA WAZAZI

...
Share:

Sunday, 31 July 2022

UTEUZI: RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI WA MKUU WA MKOA WA MARA

 ...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger