Monday, 4 July 2022

NBC KUTOA TZS 65M KWA WASHIRIKI NBC DODOMA INTERNATIONAL MARATHON

Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano wa Benki ya NBC, Godwin Semunyu(wa kwanza kushoto) na Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Masoko wa NBC, David Raymond wakiwa kwenye picha ya pamoja wakati wa uzinduzi wa zawadi watakazokabidhiwa washindi wa mbio za Kimataifa za NBC Dodoma international Marathon 2022.Kulia ni mtangazaji...
Share:

WMA YAANZISHA VITUO ZAIDI YA 5000 VYA UKAGUZI NCHI NZIMA

Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo Tanzania (WMA) Stella Kahwa (wa tatu kushot) akiwa pamoja na baadhi ya Watumishi wa Wakala wa Taasisi hiyo katika picha ya pamoja kwenye banda lao katika Maonyesho ya 46 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) yanayoendelea Jijini Dar es Salaam. Naibu Waziri wa...
Share:

NI BAJETI YENYE NEEMA KWA WATANZANIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam NI Bajeti ya viwango inayokwenda kulainisha na kupunguza makali ya maisha kwa wananchi wote. Hii inatokana na vipengele kadhaa vilivyoanishwa na serikali kupitia Mawaziri wa Kisekta na kujumuishwa...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATATU JULAI 4,2022

Magazetini leo Jumatatu July 4 2022 ...
Share:

Sunday, 3 July 2022

MGEJA AKUTANA NA ASKOFU NKWABI..AWAPONGEZA VIONGOZI WA DINI KUENDELEA KULIOMBEA TAIFA

Askofu wa kanisa la T.C.G.I Simon Nkwabi amefanya ziara ya kumtembelea Mwenyekiti Mstaafu wa CCM Mkoa wa Shinyanga Mzee Hamis Mgeja ofisini kwake Kahama Motel na kufanya nae mazungumzo kuhusu mustakabali wa nchi, kisiasa, kiuchumi na kijamii. Mzee Mgeja ambaye pia ni Mwenyekiti wa  taasisi...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger