Friday, 10 June 2022

MAROBOTI KUCHEZESHA KOMBE LA DUNIA 2022

Shirikisho la Soka Kimataifa (FIFA) lipo kwenye mkakati wa kutambulisha maroboti watakaokuwa waamuzi wa pembeni katika michuano ya Kombe la Dunia itakayofanyika Qatar, Novemba mwaka huu 2022. Kwa mujibu wa taarifa, FIFA ipo tayari kuanzisha mfumo huo wa maroboti kuchezesha mechi za michuano hiyo...
Share:

RAIS SAMIA: RUZUKU YA MAFUTA SHILINGI BILIONI 100 SASA KUTOLEWA KILA MWEZI MPAKA KIELEWEKE

  Rais Samia Suluhu Hassan *** Mwandishi Wetu, Bukoba Akiwa ziarani Bukoba, mkoa Kagera, Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa serikali yake sasa itatoa ruzuku ya mafuta Shilingi bilioni 100 kila mwezi hadi kieleweke. Rais Samia ameagiza ruzuku ya Shilingi bilioni 100 itolewe kwenye bajeti...
Share:

MSAMAHA WA MATIBABU HUTOLEWA KWA WATU WASIO NA UWEZO – DKT. MOLLEL

Na WAF – Bungeni, Dodoma. Licha ya matibabu ya magonjwa yasiyoambukiza kuwa na gharama kubwa na yana hitaji tiba wakati wote, Serikali imekuwa ikitoa msamaha wa matibabu kwa wagonjwa wanaougua magonjwa yasiyoambukiza ambao wamethibitika kuwa hawana uwezo wa kugharamia matibabu yao kwa mujibu wa...
Share:

MAGAZETI YA LEO IJUMAA JUNI 10,2022

Magazetini leo Ijumaa June 10 2022 ...
Share:

MTU HUYU ATAKUSAIDIA KUPATA KAZI UIPENDAYO

...
Share:

Thursday, 9 June 2022

RAIS SAMIA ATEMBELEA NA KUZINDUA KIWANDA CHA SUKARI MKOANI KAGERA

...
Share:

KIJANA MBARONI TUHUMA ZA KUMBAKA NA KUMLAWITI MTOTO WA MIAKA MITANOKISA NG'OMBE

Mtuhumiwa aliahidiwa akikamilisha unyama huo atapewa Ng’ombe watatu kama malipo *** KIJANA mmoja anayefahamika kwa jina la Juma Jackson (30) mkazi wa Kijiji cha Kagunga wilayani Tanganyika Mkoa wa Katavi anashikiliwa na Jeshi la Polisi akituhumiwa kumbaka na kumlawiti mtoto mwenye umri wa miaka mitano. Kamanda...
Share:

MKE AMVIZIA MMEWE AMESINZIA KISHA KUMUUA KWA KUMKABA SHINGONI

Mwanamke mmoja aitwaye Maria Matheo anashikiliwa na jeshi la polisi mkoani Tabora kwa tuhuma za kumvizia mumewe GABRIEL NGUWA (80) akiwa amelala na kumkaba shingoni hadi kifo. Chanzo cha tukio hilo ni mgogoro wa muda mrefu baina ya wanandoa hao hususani nyakati za jioni mwanamke anapokuwa amelewa...
Share:

FAMILIA YAGOMA KUONDOA KABURI KATIKATI YA BARABARA BARIADI..MKUU WA MKOA DAVID KAFULILA AINGILIA KATI

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu David Kafulila (aliyeshika kiuno) akimsikiliza Mkuu wa wilaya ya Bariadi Lupakisyo Kapange (mwenye kofia) akimwelezea namna changamoto ya kaburi kuwa katikati ya barabara kijiji cha Nkindwabiye. Na Constantine Mathias, Bariadi. Familia ya Saguda Madako katika kijiji...
Share:

HUAWEI YATHIBITISHA UMAHIRI WA VITUO VYAKE VYA DATA

Johannesburg - Huawei yatoa ufafanuzi wa Kituo cha Data cha Kizazi Kinachofuata, na kuzindua mfumo wake mpya wa usambazaji wa nguvu ambao ni PowerPOD 3.0. Utoaji mpya, sio tu unathibitisha dhamira ya Huawei ya kujenga vituo vya data visvyo na kaboni, vituo mahiri vya data, pia inasisitiza ukweli...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO ALHAMISI JUNI 9,2022

Magazetini leo Alhamis June 9 2022 ...
Share:

Wednesday, 8 June 2022

KAMPUNI YA JAMBO FOOD PRODUCTS YASHIRIKI TAMASHA LA UTAMADUNI SHINYANGA

Gari la Matangazo la Kampuni ya Jambo Food Products likiwa kwenye kijiji cha Utamaduni wa Kabila la Wasukuma cha Butulwa -Old Shinyanga katika Tamasha la Kwanza la Utamaduni Mkoa wa Shinyanga Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog Kampuni ya Jambo Food Products imeshirika Tamasha la Kwanza la Utamaduni...
Share:

HII NDIYO MIJI 10 YENYE GHARAMA KUBWA KUISHI DUNIANI

Mji wa Seoul, Korea Kusini. ** Bara la Asia ndiyo bara la gharama zaidi kuishi kwa mujibu wa utafiti wa 'ECA International' ambapo miji mitano kutoka Asia ipo katika orodha ya miji 10 yenye gharama kubwa ya kuishi duniani. Utafiti huo umejikita katika kuangalia wastani wa bei za bidhaa za nyumbani,...
Share:

TAASISI ZOTE ZINAZOTOA HUDUMA TIC KUTUMIA MFUMO WA DIRISHA MOJA KWA WAWEKEZAJI

Picha ya pamoja ya washiriki na wakuu wa taasisi zinazounda mfumo wa huduma za mahala pamoja (TIC) walipokutana Morogoro kwa ajili ya kupitia utekelezaji wa Mradi wa Dirisha/Mfumo wa pamoja wa kuwahudumia wawekezaji. Kamishina Jenerali wa uhamiaji nchini Dkt. Anna Makakala, akizungumza na waandishi...
Share:

Video : BURUDANI, NGOMA ZOTE ZA KISUKUMA ZILIZOCHEZWA KWENYE TAMASHA LA UTAMADUNI

...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger