Sunday, 8 May 2022

WAZIRI DKT MABULA ATAKA WANASIASA KUWA WAKWELI

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe.Dkt Angeline Mabula akizungumza katika kikao kati ya Mawaziri wa Wizara za Kisekta na viongozi wa wilaya na mkoa wa Mbeya kuhusiana na utekelezaji wa maamuzi ya Baraza la Mawaziri kuhusiana na utatuzi wa migogoro ya matumizi ya ardhi katika vijiji 975...
Share:

Video Mpya : KISIMA 'NYANDA MAJABALA' - MAMA.....INA UJUMBE MZITO MAMA NA VIJANA WASIO NA AJIRA

Hii hapa Ngoma nyingine Msanii Kisima 'Nyanda Majabala' kutoka Bariadi Mkoani Simiyu inaitwa Mama... AJIRA NGUMU...Wazazi nao wanataka UWAHUDUMIE Wimbo huu ni maalumu kwa MAMA na vijana wote waliosoma ,wanatafuta maisha Mjini lakini ajira hakuna, wanahangaika tu, wazazi nao wanataka huduma😭😭😰😰 Video...
Share:

PAKUA APP YA MALUNDE 1 BLOG UWE UNAPOKEA HABARI KWA URAHISI ZAIDI

Toleo Jipya Kabisa la App ya Malunde 1 blog, Kama unayo kwenye simu Pakua Upya mtu wangu...  Bofya mara Moja <<Hapa>> Toleo Jipya Kabisa la App ya Malunde 1 blog, Kama unayo kwenye simu Pakua Upya mtu wangu...  Bofya mara Moja <<Hapa>> Toleo Jipya Kabisa...
Share:

Saturday, 7 May 2022

WANAKIJIJI WAUA MAJAMBAZI WALIPORA MILIONI 1.2

Kamanda wa Polisi mkoa wa Lindi Mtatiro Kitinkwi ** Majambazi wawili ambao majina yao hayajafahamika wameuawa na wananchi wilayani Kilwa mkoani Lindi, baada ya kuvamia duka la mfanyabiashara mmoja na kupora fedha taslimu kiasi cha shilingi milioni 1.2. Akitoa taarifa kwa waandishi wa habari Kamanda...
Share:

WANAWAKE WASUSIWA MAZISHI GEITA

Baadhi ya wanawake wakiwa kwenye mazishi Geita ** Wanawake katika kijiji cha Imaramawazo mtaa wa Ibongo kata ya Ludete wilayani Geita wamesusiwa kuchimba kaburi na kufanya mazishi ya Zawadi Mchele mkazi wa kijiji hicho aliyefariki kwa kuugua ghafla, huku wanawake hao wakihusishwa na tuhuma za mauaji...
Share:

NEMC WAJUMUIKA NA WANANCHI WA MTAA KISUTU KUFANYA USAFI

Meneja wa Mawasiliano NEMC, Bi.Irene John akikabidhi gloves kwa wananchi ambao wamefanya usafi katika mtaa wa Kisutu leo Jijini Dar es Salaam katika kuunga mkono juhudi za Serikali katika kuhakikisha Miji na Majiji yanakuwa safi na salama Baadhi ya watumishi wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi...
Share:

MAPACHA 9 WASHEREHEKEA SIKU YAO YA KUZALIWA....

Ni seti mbili ya mapacha kama hawa ambao wamewahi kurekodiwa katika historia, lakini hakuna walioishi zaidi ya siku chache.  *** Mapacha tisa wa kipekee waliozaliwa wakati mmoja (wasichana watano na wavulana wanne) wako "katika afya kamilifu" wanaposherehekea siku yao ya kuzaliwa kwa mara...
Share:

MWANAFUNZI WA KIDATO CHA TATU AMUUA 'EX' WAKE DARASANI ALIVYOBAINI KAPATA MWANAUME MWINGINE

Shule ambayo mauaji yalifanyika Polisi nchini Kenya wanamshikilia mwanafunzi wa kidato cha tatu aitwaye Tony Kiptoo (19) kwa kosa la kumuua kwa kumchoma na kisu wakiwa darasani aliyewahi kuwa mpenzi wake na wakaachana Irene Chelagat (22), baada ya kugundua amepata mwanaume mwingine na amemnunulia...
Share:

DKT MABULA AADHIMISHA MIAKA SITINI YA KUZALIWA KUCHANGISHA MILIONI 41.6 ZA MASOMO

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe.Dkt Angeline Mabula (wa pili kushoto) akiwa ameshika bilauri ya Mvinyo wakati wa kuadhimisha miaka sitini na kuzaliwa kwake jijini Dodoma tarehe 6 Mei 2022. Kushoto ni Askofu wa Jimbo la Mtwara Titus Mdoe na Kulia ni aliyekuwa katibu Mkuu wa Umoja...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI MEI 7,2022

Magazetini leo Jumamosi Mei 7,2022 ...
Share:

Friday, 6 May 2022

RAIS SAMIA AMTEUA HASSAN OMAR KITENGE KUWA KATIBU WA SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA

******************* Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amemteua Bwana Hassan Omani Kitenge kuwa Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma. Kabla ya uteuzi huo Kitenge alikuwa Mkurugenzi wa Mikataba ya Utendaji Kazi Serikalini, Ofisi ya Rais, Menejimenti...
Share:

MADIWANI WANUSA UFISADI MAKUSANYO YA FEDHA ZA SERIKALI

  Baadhi ya madiwani wa halmashauri ya chato wakiwa kwenye kikao cha Baraza. Na Daniel Limbe, Chato BARAZA la madiwani wa halmashauri ya Chato mkoani Geita, limedai kushtushwa na wizi wa fedha za serikali kwenye soko kuu la Buseresere kutokana na baadhi ya watendaji wa serikali kudaiwa kujinufaisha...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger