Friday, 5 November 2021

Design software application for WASH monitoring at SNV

Company Description SNV is a not-for-profit international development organization that applies practical know-how to make a lasting difference in the lives of people living in poverty. We use our extensive and long-term in-country presence to apply and adapt our top-notch expertise in agriculture, energy and WASH to local contexts. SNV has an annual turnover of […]

This post Design software application for WASH monitoring at SNV has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

MIDWIFE (Nursing Officer) at Maternity Africa

MIDWIFE (Nursing Officer)    EMPLOYMENT OPPORTUNITY POSITION: MIDWIFE (Nursing Officer) Maternity Africa is a local nonprofit organization in Arusha-Tanzania, devoted to helping make child birth safe and treating obstetrical fistulas. We support local communities, provide information to keep mothers and babies healthy, as well as excellent medical care and training to ensure safer deliveries. We are looking […]

This post MIDWIFE (Nursing Officer) at Maternity Africa has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

SHULE YA MSINGI MTOPEPO B MSHINDI SHINDANO LA MCHORO WA USALAMA BARABARANI ZANZIBAR


Meya wa Jiji la Zanzibar Mahamoud Mohemed Mussa,akizungumza wakati wa mafunzo ya usalama barabarani kwa wanafunzi wa shule za msingi pamoja na shindano la mchoro wa usalama barabarani kwa shule za msingi zilizopo Zanzibar yaliyoandaliwa na Kampuni ya Mafuta ya Puma kwa kushirikiana na Shirika la Amend . 


Meneja Mauzo Rejareja wa Puma, Venessy Chilambo,akizungumza wakati wa shindano la mchoro wa usalama barabarani kwa shule za msingi zilizopo Zanzibar yaliyoandaliwa na Kampuni ya Mafuta ya Puma kwa kushirikiana na Shirika la Amend . 


Mwakilishi wa Jeshi la Polisi Zanzibar Salum Amir Ngayan,akizungumza wakati wa shindano la mchoro wa usalama barabarani kwa shule za msingi zilizopo Zanzibar yaliyoandaliwa na Kampuni ya Mafuta ya Puma kwa kushirikiana na Shirika la Amend . 


Meya wa Jiji la Zanzibar Mahamoud Mohamed Mussa(wa nne kulia) akiwa na viongozi wengine na wawakilishi kutoka Kampuni ya Puma na Amend wakiangalia mchoro wa shindano la usalama barabarani visiwani Zanzibar ambapo shule tano zimeshiriki 


Meya wa Jiji la Zanzibar Mohamoud Mohamed Mussa(watatu kulia) akikabidhi kikombe kwa mshindi wa Shindano la mchoro wa Usalama Barabarani kwa Shule za Msingi Zanzibar ambalo limeandaliwa na Kampuni ya Mafuta ya Puma Tanzania kwa kushirikiana na Amend Khalid Mohamed Said anayesoma darasa la sita Shule ya Msingi Mtopepo B visiwani Zanzibar.Wengine katika picha hiyo ni viongozi kutoka kampuni ya Puma, Amend na walimu.Utoaji zawadi kwa washindi wa shindano hilo umefanyika Shule ya Msingi Kiembe Samaki 


Mwanafunzi wa Shule ya Msingi Mtopepo B visiwani Zanzibar Khalid Mohamed Said(aliyevaa kofia) akiwa na wanafunzi wenzake wa shule hiyo wakiwa wameshika kikombe cha ushindi wa mchoro wa Usalama Barabarani kwa mwaka 2021 yaliyoandaliwa na Kampuni ya Mafuta ya Puma Tanzania kwa kushirikiana na Shirika la Amend.Utoaji wa zawadi kwa wanafunzi na shule ambazo zimeibuka washindi kwenye shindano limefanyika leo katika Shule ya Msingi Kiembe Samaki ,Zanzibar ambapo Meya wa Zanzibar alikuwa Mahamoud Mohamed Mussa alikuwa mgeni rasmi 


Mwanafunzi wa darasa la sita katika Shule ya Msingi Mtopepo Visiwani Zanzibar Khalid Mohamed Said akiwa ameshika kikombe cha ushindi baada ya kuibuka mshindi wa shindano la mchoro wa usalama Barabarani kwa mwaka 2021.Shindano hilo limeandaliwa na Kampuni ya Mafuta ya Puma Tanzania kwa kushirikiana na Shirika la Aamend 

......................................................................... 

Na.Alex Sonna,Zanzibar 

WANAFUNZI zaidi ya 40,000 Visiwani Zanzibar wamepatiwa mafunzo ya usalama barabarani yaliyoandaliwa na Kampuni ya Mafuta ya Puma kwa kushirikiana na Shirika la Amend kwa lengo la kupunguza ajali za barabarani visiwani hapa. 

Mbali ya kutoa mafunzo ya elimu ya usalama barabarani, Kampuni hiyo iliandaa shindano la mchoro wa usalama barabarani ambapo shule tano zilizopo Zanzibar zimeshiriki shindano hilo ambapo Shule ya Msingi Mtopepo B imeibuka mshindi wa jumla na kuzawadiwa Sh.milioni nne wakati mwanafunzi wa shule hiyo anayesoma darasa la sita Khalid Mohamed Said akiibuka mshindi wa kwanza na kuzawadia Sh.500,000. 

Akizungumza wakati wa tukio la utoaji zawadi kwa shule na wanafunzi walioingia 10 bora katika shindano hilo,Meya wa Jiji la Zanzibar Mahamoud Mohemed Mussa amepongeza uwepo wa mafunzi hayo na kuiomba Puma kuendelea kuyatoa ili wanafunzi wengi zaidi wawe na uelewa wa usalama barabarani. 

Pia ametumia nafasi hiyo kutoa maelekezo kwa Jeshi la Polisi Zanzibar kuchukua hatua kali kwa waendesha magari na vyombo vya moto ambao wamekuwa wakikiuka sheria za usalama barabarani kwani kumekuwepo na wimbi kubwa la ajali ambazo nyingi zinatokana na uzembe wa baadhi ya watumiaji wa vyombo hivyo. 

Amesema anaamini malengo yaliyokusudiwa yamefikiwa na utoaji elimu ya usalama barabarani kwa wanafunzi hao hasa kupunguza ajali huku akilisisitiza umuhimu wa kuhakikisha Jeshi la Polisi Zanzibar kuchukua hatua kali kwani kumeibuka wimbi la watumia vyombo vya moto amba hawafuati sheria za usalama barabarani na wengta leseni. 

"Kuna wimbi la waendesha vyombo vya moto ambao hawana leseni na matokeo wamekuwa wakichangia uwepo wa ajali za barabarani, na kwa mazingira ya aina hiyo utaona haja ya uwepo wa mafunzo hayo ambayo yatasaidia kupunguza ajali za barabarani. 

"Takwimu zinaonesha kumekuwa na idadi kubwa ya watu duniani kote ambao wanapoteza maisha ,hivyo mafunzo hayo ni vema yakaendelea kutolewa katika maeneo mbalimbali,"amesema Meya huyo. 

Kwa upande wake, Meneja Mauzo Rejareja wa Puma, Venessy Chilambo aliyezungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa kampuni hiyo Dominic Dhanah, amesema lengo la kutoa mafunzo ya usalama barabarani visiwani Zanzibar ni kupunguza ajali za barabarani hasa ikizingatia kuwa Mji huo idadi ya magari imekua ikiongezeka kwa wingi kila siku. 

" Mpango huu wa usalama barabarani ni mwendelezo wa kampeni ambayo ilizinduliwa rasmi miaka 9 iliyopita ambapo zaidi ya shule 100 zimefikiwa na wanafunzi zaidi ya 120,000 mikoa mbalimbali wamepata mafunzo hayo kwa Tanzania Bara na Zanzibar. 

Tukio hili la utoaji zawadi linahitimisha mradi huu kwa kipindi cha mwaka 2020-2021 uliofanywa na kampuni ya Puma kwa ushirikiano na Shirika lisilo la kiserikali la AMEND. Mpango huu ulihusisha mafunzo kuhusu usalama barabarani na uchoraji wa picha katika shule 5, ambapo wanafunzi wasiopungua 20,000 walipata mafunzo hayo," Amesema Chilambo. 

Chilambo amesema " Puma tunafanya biashara Zanzibar hivyo hii ni njia mojawapo ya kurudisha tunachokipata kupitia mpango huu. Mafunzo haya ya usalama barabarani na uchoraji kwa watoto wa Shule za msingi ni endelevu na lengo ni kuwaelimisha watoto juu ya usalama barabarani ili wawe mabalozi kwa wengine na kwa wao wenyewe hadi watakapokuwa wamekuwa watu wazima." 

Kwa upande wake Mwakilishi wa Jeshi la Polisi Zanzibar Salum Amir Ngayan mesema kampeni hiyo ambayo ni ya aina yake imekuwa maalum kwa ajili ya kuzuia ajali visiwani Zanzibar kwani kumekuwa na changamoto ya ajali. 

Amesema ajali za barabarani zimekuwa zikisababisha vifo vya Watanzania wakiwemo vijana ambao ndio nguvu kazi ya Taifa na kwamba ajali nyingi zinatokana na kutoheshimu sheria za usalama barabarani zikiwemo alama."Kuna madereva hawatii alama za barabarani hivyo watoto wakiwa na uelewa wa jinsi ya kuvuka tutakuwa tumepunguzza ajali ambazo si za lazima. 

Wakati huo huo Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Vijana, Utamaduni a Michezo Fatma Hamad Rajab amefurahishwa na utolewaji wa mafunzo hayo kwani yatasaidia wanafunzi kujiepusha na ajali kutokana na mafunzo ambayo wameyapata 

Ameongeza hata walimu ambao ndio walezi wa wanfunzi wawapo shuleni watakuwa na kazi rahisi y kuagalia usalama watoto hao wanapovuka barabara.Pia amewapongeza walimu waliosimamia wanafunzi kuchora michoro ya usalama barabarani kupitia shindano hilo kwani mbali ya kushiriki wamesaidia kuibua vipaji vya wachorajo na hilo ni jambo jema. 

Kwa upande wake Meneja wa Programu wa Shirika la NVCT ambalo limeshiriki kutoa mafunzo ya usalama Barabarani kwa wanafunzi wa shule za msingi Zanzibar Ali Hemed Ali amesema jumla ya shule tano zimepata mafunzo hayo na hadi sasa zaidi ya wanafunzi 40,000 Zanzibar wamefikiwa. 

Mwakilishi wa Shirika lisilo la kiserikali la Amend amesema Neema Swai amesema mradi huo mradi ambao umekuwa endelevu na kwa Zanzibar hii ni mara ya pili huku akifafanua kwamba takwimu zinaonesha watu milioni 1.35 wanakufa na wengine zaidi ya milioni 50 wanajeruhiwa na wengi wao ni watoto na watu wenye umri chini ya miaka 25. 

"Tunawashukuru NVCT kwa ushirikiano ambao wamekuwa wakiutoa katika kufanikisha utolewaji wa mafunzo ya elimu ya usalama barabarani Zanzibt na tunatambua muhimu wa kuwaanda watu wakiwa wadogo kwani hiyo itasaidia kuongeza uelewa wa kuheshimu na kufuata sheria za usalama barabarani.Hivyo tuko Zanzibar kwa ajili ya kuendelea kutoa elimu hiyo kwa lengo la kupunguza ajali,"amesema.
Share:

Project Manager at Christian Social Services Commission

Title: Project Manager Report to: Director of Health Services Location: Dar es Salaam Background The Christian Social Services Commission (CSSC) is an ecumenical body established in 1992 by the Christian Council of Tanzania and the Tanzania Episcopal Conference, to coordinate and facilitate the delivery of social services (health and education) by the member churches in Tanzania. […]

This post Project Manager at Christian Social Services Commission has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Senior Technical Advisor at PSI

Job Title: SENIOR TTECHNICAL ADVISOR Reporting to:  COUNTRY REPRESENTATIVE Location:  DODOMA, TANZANIA Who we are With 50 years of experience, working in over 60 countries, Population Services International (PSI) is the world’s leading non-profit social marketing organization. PSI is reimagining healthcare, by putting the consumer at the center, and wherever possible – bringing care to the […]

This post Senior Technical Advisor at PSI has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Job Opportunitiaties at TANGA City Council – Various Jobs

Tanga is a port city in northeast Tanzania. Covering large swaths of coastline, Tanga Coelacanth Marine Park shelters prehistoric coelacanth fish and manatee-like dugongs. Within the park, Tanga Bay is home to Toten Island, with its ruined mosques and German colonial buildings. Tongoni village has centuries-old, ruined tombs. Northwest of Tanga, the limestone Amboni Caves […]

This post Job Opportunitiaties at TANGA City Council – Various Jobs has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Job Opportunity at TEMEKE Municipal Council

Temeke District is a district in southern Dar es Salaam, Tanzania, with Kinondoni to the far north of the city, and Ilala in the downtown of Dar es Salaam. To the east is the Indian Ocean and to the south and west is the coastal region of Tanzania. DOWNLOAD THE FULL ADVERT HERE The deadline […]

This post Job Opportunity at TEMEKE Municipal Council has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Job Opportunities at TANGA City Council – Various Jobs

Tanga is a port city in northeast Tanzania. Covering large swaths of coastline, Tanga Coelacanth Marine Park shelters prehistoric coelacanth fish and manatee-like dugongs. Within the park, Tanga Bay is home to Toten Island, with its ruined mosques and German colonial buildings. Tongoni village has centuries-old, ruined tombs. Northwest of Tanga, the limestone Amboni Caves […]

This post Job Opportunities at TANGA City Council – Various Jobs has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Finance Director at CVPeople Tanzania

Finance Director CVPeople Tanzania | Full time Dar es salaam , Tanzania | Posted on 11/04/2021 Job Description   Development & enablement of Business Strategy and finance functional strategies in partnership with MD, Exec and GFD respectively. Maximise value creation and efficiency of sales & marketing programmes through effective decision support with Sales & Marketing […]

This post Finance Director at CVPeople Tanzania has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Sales Operation Coordinator at Marie Stopes Tanzania

Sales Operation Coordinator    CAREER OPPORTUNITIES Marie Stopes Tanzania (MST), a Non-Governmental Organization, is a social enterprise and a leading provider of family planning, sexual and reproductive health care, and allied services. MST is a partner of the Government of Tanzania and a member of the MSI Reproductive Choices Global Partnership, which operates in over […]

This post Sales Operation Coordinator at Marie Stopes Tanzania has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Sales Representative at Marie Stopes Tanzania

Sales Representative    CAREER OPPORTUNITIES Marie Stopes Tanzania (MST), a Non-Governmental Organization, is a social enterprise and a leading provider of family planning, sexual and reproductive health care, and allied services. MST is a partner of the Government of Tanzania and a member of the MSI Reproductive Choices Global Partnership, which operates in over 37 […]

This post Sales Representative at Marie Stopes Tanzania has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Office Assistant at TANROADS

Office Assistant    The regional Manager’s office TANROADS -Kigoma, on behalf of the Chief Executive TANROADS, intends to recruit suitable qualified and competent Tanzanian to fill the following vacancies on specific duties within the regional on renewable contract terms. Successful applicants must be ready to work on assigned office work accordingly. Only successful applicants will […]

This post Office Assistant at TANROADS has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Picha : RAIS SAMIA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA KUKAGUA UJENZI WA DARAJA LA TANZANITE

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, leo tarehe 04 Novemba, 2021 amerejea Jijini Dar es Salaam akitokea Glasgow, Scotland alipokuwa akihudhuria Mkutano wa 26 wa Nchi wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (COP26).

Katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Mhe. Rais Samia amepokelewa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango, Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa pamoja na viongozi mbalimbali wa Serikali.

Aidha, Mhe. Rais Samia amefanya ziara ya kushtukiza kukagua maendeleo ya ujenzi wa daraja la Tanzanite linalojengwa katika eneo la Selander Jijini Dar es Salaam.

Mhe. Rais Samia amepokea maelezo ya ujenzi wa daraja hilo kutoka kwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara nchini TANROADS Mhandisi Rogatius Mativilla ambaye amesema ujenzi wa daraja hilo umefikia asilimia 98.44.

Mhandisi Mativila amesema daraja hilo litakapokamilika litapunguza msongamano wa magari, ajali bararani, litaboresha hali ya maisha Jijini Dar es Salaam pamoja na kupendezesha jiji la Dar es Salaam na kuwa sehemu moja wapo ya kivutio cha utalii katika fukwe zilizopo karibu na daraja hilo.

Wakati huohuo, Mhe. Rais Samia amefanya ziara katika eneo la Coco Beach ili kuona agizo lake la kutaka wafanyabiashara wadogowadogo kupangwa vizuri katika mazingira bora ya kufanya biashara linavyoendelea kutekelezwa.

Aidha, Mhe. Rais amesema ziara hiyo pia imemuwezesha kuona hali halisi ya athari za mabadiliko ya tabianchi katika fukwe za Coco beach na kusema kuwa Serikali itaangalia upya namna ya kuzuia athari hizo.

Mhe. Rais Samia amesema kuwa Serikali itaendelea kuwajali wafanyabiashara wadogo wadogo na kutolea mfano eneo hilo ambalo wafanyabiashara wakubwa walilitaka lakini Serikali ilikataa kwa kujali maslahi ya wafanyabiashara wadogo ili waendelee kukuwa na kujipatia kipato.

Pia, Mhe. Rais amesema Serikali kupitia Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imetenga kiasi cha Sh. Bilioni 5 kwa ajili ya kuwakopesha wafanyabiashara wadogo ambao itabidi kuzirejesha ili kuwezesha wengine kupata mikopo hiyo na kuendeleza biashara zao.

Mhe. Rais Samia amesema zoezi la lengo la kuwapanga wafanyabiashara wadogo wadogo mijini ni zuri ambalo limelenga kuwaboreshea mazingira yao ya biashara, kuweka miji katika hali ya usafi pamoja na kuimarisha usalama.

Vilevile Mhe. Rais Samia ameiagiza Wizara ya Fedha na Mipango Pamoja na TAMISEMI kuanza mara moja ujenzi wa Soko Kuu la Kariakoo kwasababu tayari Serikali imepata fedha kiasi cha zaidi ya Sh. Bilioni 34 ambapo ujenzi huo utahusisha soko la zamani na kujenga mengine mawili mapya ya kisasa mkabala na soko la zamani la Kariakoo na kujenga soko jingine jipya katika eneo la Jangwani Jijini Dar es Salaam.

Jaffar Haniu

Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akitembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa Daraja la Tanzanite linaloendelea kujengwa katika eneo la Selander Jijini Dar es Salaam wakati alipofanya ziara ya kushtukiza leo tarehe 04 Novemba 2021. Kulia ni mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara nchini (TANROADS) Mhandisi Rogatius Mativila.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akipata maelezo kutoka kwa Mtendaji Mkuu wa Wakala Barabara nchini (TANROADS) Mhandisi Rogatius Mativila kuhusu maendeleo ya ujenzi wa Daraja la Tanzanite linaloendelea kujengwa katika eneo la Selander Jijini Dar es Salaam wakati alipofanya ziara ya kushtukiza leo tarehe 04 Novemba 2021.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na wafanyabiashara wadogowadogo katika eneo la Coco Beach Jijini Dar es Salaam wakati alipofanya ziara ya kushtukiza leo tarehe 04 Novemba 2021.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na wafanyabiashara wadogowadogo katika eneo la Coco Beach Jijini Dar es Salaam wakati alipofanya ziara ya kushtukiza leo tarehe 04 Novemba 2021.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Makamu wa Rais Mstaafu Dkt. Mohammed Gharib Bilal alipomtembelea kumjulia hali nyumbani kwake Masaki Jijini Dar es Salaam leo tarehe 04 Novemba 2021.


Ujenzi wa Daraja jipya la Tanzanite (Tanzanite) lenye urefu wa mita 1030 limefikia asilimia 98.44 na linatarajiwa kukamilika Mwezi Desemba 2021. 
Mandhari ya eneo la fukwe la Coco Beach ambapo wafanyabiashara wamejengewa Vibanda vya biashara. PICHA NA IKULU
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO IJUMAA NOVEMBA 5,2021


Share:

NYUKI WAVAMIA BASI NA KUUA DEREVA MKOANI LINDI



Picha hii ya maktaba haina uhusiano na tukio la Lindi

Dereva wa gari ya abiria mali ya kampuni ya AJ SAFARI linalofanya safari zake kutoka wilayani Liwale Mkoani Lindi kuelekea mkoani Dar es Salaam, amefariki dunia mara baada ya gari hilo kuvamiwa na kundi la nyuki katika eneo la Mbuyuni kata Njinjo wilayani Kilwa mkoani Lindi.

Akithibitisha kupokea majeruhi 22 wa tukio hilo Muuguzi na Mkunga wa kituo cha afya cha Njinjo Albert Filbert amesema walipokea mwili wa dereva huyo aliyejulikana kwa jina la Ally Kalanje.

Wakizungumza na Mashujaa FM, baadhi ya mashuhuda wa ajali hiyo akiwemo kondakta wa gari hiyo Said Chikonda , wameeleza kuwa, tukio hilo limetokea wakati walipokuwa kwenye matengenezo ya gari hilo.

Ghafla kundi la nyuki wakavamia gari na kuzua taharuki kwa abiria takribani 46 waliokuwemo kwenye basi na kuanza kukimbia kutafuta msaada.

Chanzo;Mashujaa Fm
Share:

MWIGULU : TANZANIA INA MABILIONEA 5740

Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba


WAZIRI wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesema kuwa Tanzania ina jumla ya mabilionea 5,740 wanomiliki asilimia 4.2 ya utajiri wa mabilionea barani Afrika, huku akibainisha kuwa tayari wameshasajiliwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA.

Mwigulu amesema haya leo Novemba 04, 2021 Bungeni jijini Dodoma wakati akijibu swali lililoelekezwa katika Wizara yake linalotaka kufahamu idadi kamili ya mabilionea waliopo nchini.

Aidha amesema kuwa mabilionea 115 kati ya 5,740 wanautajiri wa zaidi ya dola milioni 30 sawa na shilingi bilioni 69.20 za Kitanzania na kwamba wanamiliki zaidi ya 28% ya Utajiri wote wa Mabilionea wanaotoka Tanzania

“Tanzania ina mabilionea 5,740 na wanamiliki jumla ya asilimia 4.2 ya utajiri katika kundi la mabilionea wa Afrika na kati yao mabilionea 115 wana utajiri wa zaidi ya dola milioni 30 na wanamiliki zaidi ya asilimia 28 ya utajiri wote wa mabilionea nchini na wamesajiliwa na TRA,” amesema Dkt. Mwigulu.
Share:

NACTE YAFUTA MATOKEO MITIHANI YA NADHARIA PROGRAMU YA UTABIBU NGAZI YA TANO



Na Dotto Kwilasa DODOMA.

BARAZA la Taifa la elimu ya ufundi (NACTE) limefuta matokeo ya mitihani ya nadharia kwa masomo yote ya programu ya Utabibu ngazi ya tano(NTL level 5) na kuagiza kurudiwa upya kwa mitihani hiyo ndani ya wiki sita kuanzia tarehe 1Novemba,2021.

Hatua hiyo imekuja kufuatia kuwepo kwa viashiria vya kuvuja kwa mitihani hiyo siku ya mwisho ya ufanyaji wa mitihani ya nadharia na hivyo kulazimika kuunda kamati ya uchunguzi iliyojumuisha wataalamu kutoka kwenye vyombo vya ulinzi na usalama.

Hayo yamesemwa leo Jijini Dodoma na Mganga Mkuu wa Serikali Aifello Sichalwe wakati akiongea na Waandishi wa habari kuhusu kuvuja kwa mitihani ya utabibu iliyofanyika mwezi 16 Augusti hadi 30 Septemba Mwaka huu na kueleza kuwa mitihani hiyo itafanyika sambamba na mitihani ya marudio Kwa programu nyingineza afya nchi nzima.

Kwa mujibu wa Dkt.Sichalwe kamati hiyo ilibaini kwamba mitihani ya mwaka wa pili ya programu ya Utabibu (Clinical Medicine)ilivuja lakini mitihani ya programu zingine haikuvuja.

"Wakati wa uchunguzi wa mitihani iliyovuja kamati ilibaini kuwa mitihani hiyo ilisambazwa kupitia mitandao ya kijamii na kuonekana kwenye baadhi ya namba za simu za wanafunzi zilizofanyiwa uchunguzi na kamati,",amefafanua Mganga Mkuu huyo wa Serikali.


Dkt. Sichalwe amesema,kwa kuwa Wizara ya afya inatambua umuhimu wa rasilimali watu wenye weledi na umahiri kwa ajili ya usalama wa afya za wananchi hivyo itaendelea kutoa ushirikiano kwa vyombo vya ulinzi na usalama ili kukamilisha uchunguzi na kuwachukukia hatua wadanganyifu wote.

Kutokana na umuhimu huo,kamati ya uchunguzi imewasilisha taarifa ya uchunguzi ambayo imethibitisha kuwepo kwa udanganyifu kwenye baadhi ya vyuo vilivyochunguzwa na kwamba uchunguzi zaidi unaendelea jubaini watu,Taasisi na vyuo vinavyojihusisha na udanganyifu wa mitihani .

"Taarifa hiyo imewasilishwa kwenye NACTE tarehe 24 Oktoba,2021 Kwa ajili ya maamuzi kwani ndicho chombo Cha kisheria chenye Mamlaka na vyuo vya elimu ya kati nchini,"amesema.

Dkt. Sichalwe alieleza kuwa Wizara ya afya inawaelekeza Wakuu wa vyuo vyote vya afya kuwapa taarifa wanafunzi ili wajiandae kwa ajili ya mitihani hiyo na kuwatahadharisha wanafunzi kuwa makini kwani mtaalamu wa afya aliyejipatia sifa kwa njia ya udanganyifu ni hatari kwa wananchi.
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger