Friday, 24 September 2021

AHUKUMIWA KWENDA JELA KWA KUMPOROMOSHEA MATUSI JIRANI YAKE

 

Mwanamke mwenye umri wa miaka 27 ambaye alimtukana jirani yake atalipa faini ya KSh 10,000 au atatumikia kifungo cha miezi mitatu gerezani. 

Emily Achieng alipatikana na hatia kisha kuhukumiwa katika mahakama ya Kibera baada ya kukiri mashtaka ya kumtusi Selina Akinyi kwa njia inayoweza kuvuruga amani.

 Alitenda kosa hilo katika eneo la Katwekera lililoko mtaa wa Kibera mnamo Septemba 9, 2021 ripoti ya Nairobi News ilisema. 

Mtuhumiwa anasemekana kusema maneno "nenda ukamfufue babako kutoka kaburini ili aniambie hapa alipata Ukimwi."

 Mahakama iliarifiwa kwamba kabla ya kisa hicho, Akinyi ambaye alikuwa akifanya usafi alimwaga maji yenye taka karibu na nyumba zao hatua mabyo ilimuudhi Achieng.

 Mabishano yaliibuka kabla ya Achieng kuanza kumrushia matusi Akinyi. 

Hata hivyo, Achieng aliiambia mahakama kwamba alijibu tu matusi ambayo Akinyi alimrushia wakati wa mabishano. 

Share:

Engineer II (Mechanical) at TIRDO

POST ENGINEER II (MECHANICAL) – 1 POST   POST CATEGORY(S) ENGINEERING AND CONSTRUCTION EMPLOYER TANZANIA INDUSTRIAL RESEARCH AND DEVELOPMENT ORGANIZATION (TIRDO) APPLICATION TIMELINE: 2021-09-17 2021-09-30 JOB SUMMARY N/A DUTIES AND RESPONSIBILITIES   To carry out maintenance,service and repair of variety of Machines; To prepare maintenance costs and costing of materials; To ensure that job cards […]

This post Engineer II (Mechanical) at TIRDO has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Head of Biomedical Section at Bugando Medical Centre

JOB TITTLE: Head of Biomedical Section.   DEPARTMENT:  Engineering Department (Centre of Excellence). LOCATION: Bugando Hill, Mwanza -Tanzania. JOB TYPE:       Full time contract. STRUCTURE OF AUTHORITY:    The Biomedical Engineer/Technician will  report to the Head of Engineering. DURATION:    Employment contract will be for 24 months, with the possibility for extension depending on availability […]

This post Head of Biomedical Section at Bugando Medical Centre has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Incoming Materials Officer at Kilimanjaro International Leather Industries Company Limited

EMPLOYMENT OPPORTUNITY   KLICL intends to hire a qualified, energetic, dynamic and proactive Tanzanian to fill in the following vacant position: POSITION: INCOMING MATERIALS OFFICER (1 Position) QUALIFICATIONS AND WORK EXPERIENCE The applicant should be a holder of Bachelor’s degree in Procurement and Logistics Management/ Stores Management / Supply chain / Statistics/ or any other related […]

This post Incoming Materials Officer at Kilimanjaro International Leather Industries Company Limited has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Revenue Accountant at Kilimanjaro International Leather Industries Company Limited

EMPLOYMENT OPPORTUNITY   KLICL intends to hire a qualified, energetic, dynamic and proactive Tanzanian to fill in the following vacant position: POSITION: REVENUE ACCOUNTANT (1 Position) QUALIFICATIONS AND WORK EXPERIENCE The applicant should be a holder of Bachelor’s Degree in Accounting, Finance, Commerce or a related field, from a recognized Higher Learning Institution. Must be a […]

This post Revenue Accountant at Kilimanjaro International Leather Industries Company Limited has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Finance And Administrative Officer at Colleges and Institutes Canada

FINANCE AND ADMINISTRATIVE OFFICER POSITION – EMPOWERMENT THROUGH SKILLS PROGRAM (ESP)   Colleges and Institutes Canada (CICan) invites eligible candidates to indicate their interest in employment as a Finance and Administrative Officer to the Empowerment through Skills Program (ESP) in Tanzania, implemented by CICan in close collaboration with the Ministry of Education, Science and Technology […]

This post Finance And Administrative Officer at Colleges and Institutes Canada has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

NAIBU WAZIRI WIZARA YA MADINI AMALIZA MGOGORO WA UMILIKI MGODI KWA DAKIKA 120

Naibu Waziri Wizara ya Madini Profesa Shukuru Manya akizungumza na wachimbaji wadogo wa mgodi wa dhahabu wa Kijiji cha Matongo katika mkutano wa hadhara alipokwenda kutatua mgogoro wa umiliki wa mgodi huo jana uliopo wilayani Ikungi mkoani Singida
Kamishna wa Madini Dkt. Abdulrahaman Mwanga akizungumza na wachimbaji wakati wa utatuzi wa mgogoro huo.
Kaimu Afisa  Madini Mkazi Mkoa wa Singida,Chone Malembo akizungumza na wananchi katika mkutano huo.
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Jerry Muro akizungumza na wananchi katika mkutano huo.
Naibu Waziri wa Madini Profesa Shukuru Manya (wa nne kulia)akizungumza na wachimbaji wadogo wa mgodi wa dhahabu wa Kijiji cha Matongo wakati akikagua maduara ya uchimbaji.
Wachimbaji wadogo wa mgodi huo wakiwa mkutanoni.
Mchimbaji Abdulkheri Abdulkadir kutoka Geita, akizungumza kero zinazo wasibu wachimbaji kwenye mgodi huo.
Mchimbaji  kutoka Mkoa wa Iringa Geita, akizungumza kero zinazo wasibu wachimbaji kwenye mgodi huo.
Mmiliki wa mgodi huo Richard Lyamuya akizungumza katika mkutano huo
Mbia wa mgodi huo Helena Mtaturu akizungumza  katika mkutano huo


Na Dotto Mwaibale, Ikungi Singida


NAIBU Waziri  Wizara ya Madini Profesa Shukuru Manya katika hali ambayo haikutegemewa na wengi ametumia masaa mawili sawa na dakika 120 kumaliza mgogoro wa muda mrefu wa umilikaji mgodi wa uchimbaji dhahabu katika machimbo ya Kijiji cha Matongo yaliyopo wilayani Ikungi mkoani hapa.

Mgogoro huo ambao umemalizwa na Profesa Manya ulikuwa ukimuhusisha mmiliki halali wa mgodi huo Richard Lyamuya na wabia wenzake Israel Njiku na Helena Mtaturu ambaye alikuwa mlalamikaji na mmiliki wa eneo hilo la mgodi lenye ekari 70 ambalo alidai lilichukuliwa na Lyamuya bila ya kufuata taratibu kwa kumuhusisha Mtaturu na ndugu zake.

Kutoka na madai hayo  Mtaturu ambaye ni mjane alimuandikia barua Waziri Wizara ya madini akidai kuwa kwa kificho bila yeye kujua mmiliki wa mgodi huo Richard Lyamuya ambaye ni mkazi wa Singida Mji alikwenda ofisi za madini Mkoa wa Singida ili apewe kibali cha kuchimba dhahabu kwenye eneo lake bila ya kushirikishwa.

Baada ya barua hiyo kufika katika wizara hiyo na kufanyiwa uchunguzi ndipo jana Naibu Waziri Wizara ya Madini Profesa Shukuru Manya alipofika kwenye mgodi huo na kufanya mkutano wa hadhara uliowahusisha wadau wa uchimbaji, Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Jerry Muro, Viongozi wa Serikali na Chama cha Mapinduzi  (CCM) wananchi na wamiliki wa mgodi huo ambao baadhi yao waliweza kuelezea walivyokuwa wakielewa jinsi mmiliki wa mgodi huo alivyopata eneo hilo kwa kufuata sheria za uchimbaji wa madini kwa kumshirikisha Helena Njiku na kuweka kumbukumbu za makubaliano kwa maandishi na kutiliana saini.

Mmoja wa viongozi wa Umoja wa wachimba madini katika wilaya hiyo  (SIREMA) Seleman Omari alisema mbele ya Naibu Waziri Wizara ya Madini kuwa anaujua mchakato mzima wa uanzishwaji wa mgodi huo na kuwa hakukuwa na udanganyifu wowote na wabia hao waliwekeana namna ya kulipana ambapo Mtaturu aliachiwa asilimia 40 huku Richard Lyamuya na Israel Njiku wakichukua asilimia 30 kila mmoja.

Mbali ya Omari kuyasema hayo Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Jerry Muro alisema suala hilo alilikuta ofisini kwake baada ya kusikizwa na mtangulizi wake Edward Mpogolo ambaye amehamishiwa Wilaya ya Same ambapo nyaraka zote zinaonesha umiliki wa mgodi huo ni wa watu hao watatu na tayari Serikali imekwisha wapa leseni ya uchimbaji na si vinginevyo.

Baada ya watu mbalimbali kutoa maelezo yao na kubaini kuwa Mtaturu aliandika barua ya madai ambayo sio ya kweli Naibu Waziri Profesa Manya alimwambia asirudie tena kufanya jambo hilo.

Profesa Manya alitumia nafasi hiyo kuwaomba wachimbaji hao kufanya kazi zao kwa upendo na kufuata sheria za uchimbaji.

Mkuu wa wilaya hiyo Jerry Muro aliwaomba wachimbaji hao kudumisha amani na kujikinga na magonjwa ya Corona na ukimwi kutokana na mwingiliano mkubwa wa watu katika eneo hilo.

Share:

MKOA WA SINGIDA WABAINIKA KUWA NA ALMASI BORA TANZANIA

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya JICT LTD inayojishughulisha na Utafiti wa Almasi Javan Bidogo ambaye pia ni mmiliki wa mradi wa utafuta wa Almasi katika Kijiji cha Mbereseke kilichopo Wilaya ya Iramba mkoani hapa, akimuelekeza jambo Naibu Waziri Wizara ya Madini Profesa Shukuru Manya (wa pili kulia mbele) wakati alipofanya ziara yake ya kikazi ya siku moja ya kutembelea na kukagua mradi huo jana.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya JICT LTD inayojishughulisha na Utafiti wa Almasi Javan Bidogo ambaye pia ni mmiliki wa mradi wa utafuta wa Almasi katika Kijiji cha Mbereseke kilichopo Wilaya ya Iramba mkoani hapa, akitoa maelezo kwa  Naibu Waziri Wizara ya Madini Profesa Shukuru Manya (katikati) wakati alipofanya ziara yake ya kikazi ya siku moja ya kutembelea na kukagua mradi huo jana.
Mkuu wa Wilaya ya Iramba Selemani Mwenda akizungumza wakati wa ziara hiyo. Kutoka kushoto ni Naibu Waziri Wizara ya Madini Profesa Shukuru Manya, Kamishna wa Madini Dkt. Abdulrahaman Mwanga, Kaimu Afisa  Madini Mkazi Mkoa wa Singida,Chone Malembo na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya JICT LTD inayojishughulisha na Utafiti wa Almasi Javan Bidogo.
Kazi zikiendelea katika mgodi huo.
Naibu Waziri Wizara ya Madini Profesa Shukuru Manya na ujumbe wake wakiangalia udongo ambao unasubiri kuingizwa kwenye mtambo ili kubaini kama una Almasi. 
Kamishna wa Madini Dkt. Abdulrahaman Mwanga, akiangalia mtambo (karasha) wa kusaga mawe yenye Almasi uliopo katika mgodi huo.
Kazi zikiendelea katika mgodi huo.
Muonekano wa sehemu ya mgodi huo.
 



Na Dotto Mwaibale Iramba


MKOA wa Singida umebainika kuwa na Almasi bora zaidi kuliko maeneo yote Tanzania.

Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya JICT LTD inayojishughulisha na Utafiti wa Almasi Javan Bidogo ambaye pia ni mmiliki wa mradi wa utafuta wa Almasi katika Kijiji cha Mbereseke kilichopo Wilaya ya Iramba mkoani hapa wakati akitoa taarifa ya mradi huo kwa Naibu Waziri wa Wizara ya Madini Profesa Shukuru Manya alipofanya ziara yake ya kikazi ya siku moja ya kutembelea mradi huo jana.

Bidogo alisema kampuni yao imejikita kufanya utafiti wa Almasi katika wilaya za Ikungi na Iramba tangu mwezi Machi mwaka jana na hatua wanayoendelea nayo ni ya mwisho.

"Tumefanya uvumbuzi katika baadhi ya miamba inayokuwa na Almasi jumla yake ipo 13 na kati ya hiyo tisa ni mikubwa ambayo tumekuwa tukiifatilia sana,". alisema Bidogo.

Bidogo alisema kwa hivi sasa wamechukua sampuri ya udongo na kuanza kuziosha kwenye mtambo wao uliopo kwenye mradi ili waweze kuziona Almasi zote ambazo zipo kwenye udongo huo ambao wameuchukua kutoka maeneo mbalimbali wilayani Ikungi na Iramba.

Alisema mtambo wao ambao wataufunga kwa ajili ya kuanza kuhutumia kuosha mchanga huo wiki mbili zijazo kuanzia sasa una uwezo wa kuosha tani 10 za mchanga huo kwa muda wa saa moja.

Alisema kwa kuanza wanatarajia kuwa na ajira za wafanyakazi wasio pungua 50 kwa muda huu wa kwanza wa utafiti ambao wanaumalizia lakini kadri Mungu atakavyo wasaidia na kuwa na mchanga wenye Almasi watatarajia kuwa na wachimba 1000 kwa kila mgodi mmoja.

Akizungumza baada ya kupokea taarifa hiyo Naibu Waziri Wizara ya Madini Profesa Shukuru Manya alisema Serikali kupitia wizara hiyo sasa ni kitu kimoja kwani inafanya kazi kwa umoja kwa kushirikiana na wadau wengine kama wakuu wa mikoa na wilaya katika maeneo mbalimbali ikiwemo eneo la madini. 

Alisema jambo hilo ni nzuri na ndilo analolisisitiza wakati wote Rais Samia Suluhu kuwa wao waliopewa dhamana ya uongozi wasaidie kufanya uwekezaji kwenye maeneo yao ili uweze kukua.

" Ninyi wenzetu mliopo kwenye nyadhifa za ngazi ya Tamisemi mnapo wiwa kutekeleza masuala haya ya uwekezaji kwa dhati na dhamira ya mioyo yenu na kuwa kama uwekezaji huo ni wenu binafsi kwa ajili ya kuongeza uzalishaji ni jambo zuri na la kutia moyo.

Alisema uchumi wa madini ni tofauti na uchumi wa mazao ambao unahitaji kilo ngapi za pamba kwa kilo moja ya dhahabu hapo  ndipo utakapoweza kujua uwekezaji katika madini jinsi unavyo kuwa na tija ya mapato hadi kwenye Halmashauri za wilaya mbalimbali.

Alisema mafanikio hayo yatapatikana kwa kuzuia migogoro ambayo haina tija katika maeneo mbalimbali yakiwemo ya uchimbaji wa madini.

Mkuu wa Wilaya ya Iramba Selemani Mwenda alisema amemshirikisha Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Singida kuwa wachimbaji wadogo wenye leseni waalikwe ili kufanya mazungumzo nao lengo likiwa na wao wapate maeneo ya kuchimba na wale ambao hawana uwezo wasaidiwe kuwatafuta wawekezaji ambao watashirikiana nao jambo litakaloongeza uzalishaji.

Baadhi ya wataalamu wa miamba katika mgodi huo wakizungumza na waandishi wa habari walisema katika miamba walioifanyia utafiti imeonesha Mkoa wa Singida kuwa na Almasi bora hapa nchini.

Share:

HUYU NDIYE MWANAMKE MREMBO NA MWENYE MVUTO ZAIDI DUNIANI



Mwanamitindo maarufu nchini Marekani, Isabella Khair Hadid “Bellahadid” mwenye asiri ya Palestina na Dutch, anatajwa kuwa ndio mwanamke mrembo zaidi duniani.

Kwa mujibu wa tafiti za wanasayansi wa masuala ya urembo, Bellahadid ambaye aliwahi kushinda taji la Mwanamitindo wa Mwaka (“Model of the Year 2016”) inaelezwa kwamba muonekano wake hauna kasoro kwa asilimia 94.35.

Watafiti hao wamezingatia vitu vifuatavyo katika maumbile ya Bellahadid.

👉PUA
👉MACHO
👉 KOMWE
👉KIDEVU
👉 KICHWA

Uchunguzi uliofanywa na “Golden Ratio of Beauty Phi,” ulieleza kwamba;


“Bella Hadid ni mwanamke mrembo na mwenye mvuto zaidi duniani kwa kuwa na muonekano mzuri. Kila kitu hapa kipo kamili, kuanzia taya, macho, midomo mpaka uso.”

Mpaka sasa tunapozungumza (Mwaka huu 2021), Bellahadid bado anaendelea kushikilia nafasi ya kwanza kwa urembo duniani.
Share:

MWANDISHI WA HABARI WA ITV AFARIKI KWA AJALI YA GARI

Ajali iliyopelekea kifo cha Mwandishi wa ITV na Radio One, Gabriel Kandonga

Mwandishi wa Habari wa ITV na Radio One mkoani Songwe Gabriel Kandonga, amefariki dunia kwa ajali ya gari.

Ajali hiyo imetokea alfajiri ya leo Septemba 24, 2021, wakati akitokea nyumbani kwake Mpemba kuelekea wilayani Songwe katika majukumu yake ya kila siku.

Inaelezwa kuwa alikuwa njiani kuungana na kamati ya bunge inayoshughulikia masuala ya Ukimwi na Dawa za Kulevya ambayo inaendelea na ziara yake wilayani Songwe

Mkuu wa mkoa wa Songwe Omary Mgumba, amethibitisha kutokea kwa kifo cha mwandishi huyo na kusema ajali hiyo imetokea katika eneo la shule ya Sekondari Mlowo ambapo alikuwa anajaribu kulipita lori na hatimaye kulivaa fuso kwa upande wa nyuma.
Share:

NAIBU WAZIRI WIZARA YA MADINI AMALIZA MGOGORO WA UMILIKI MGODI KWA DAKIKA 120

Naibu Waziri Wizara ya Madini Profesa Shukuru Manya akizungumza na wachimbaji wadogo wa mgodi wa dhahabu wa Kijiji cha Matongo katika mkutano wa hadhara alipokwenda kutatua mgogoro wa umiliki wa mgodi huo jana uliopo wilayani Ikungi mkoani Singida
Kamishna wa Madini Dkt. Abdulrahaman Mwanga akizungumza na wachimbaji wakati wa utatuzi wa mgogoro huo.
Kaimu Afisa  Madini Mkazi Mkoa wa Singida,Chone Malembo akizungumza na wananchi katika mkutano huo.
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Jerry Muro akizungumza na wananchi katika mkutano huo.
Naibu Waziri wa Madini Profesa Shukuru Manya (wa nne kulia)akizungumza na wachimbaji wadogo wa mgodi wa dhahabu wa Kijiji cha Matongo wakati akikagua maduara ya uchimbaji.
Wachimbaji wadogo wa mgodi huo wakiwa mkutanoni.
Mchimbaji Abdulkheri Abdulkadir kutoka Geita, akizungumza kero zinazo wasibu wachimbaji kwenye mgodi huo.
Mchimbaji  kutoka Mkoa wa Iringa Geita, akizungumza kero zinazo wasibu wachimbaji kwenye mgodi huo.
Mmiliki wa mgodi huo Richard Lyamuya akizungumza katika mkutano huo
Mbia wa mgodi huo Helena Mtaturu akizungumza  katika mkutano huo


Na Dotto Mwaibale, Ikungi Singida


NAIBU Waziri  Wizara ya Madini Profesa Shukuru Manya katika hali ambayo haikutegemewa na wengi ametumia masaa mawili sawa na dakika 120 kumaliza mgogoro wa muda mrefu wa umilikaji mgodi wa uchimbaji dhahabu katika machimbo ya Kijiji cha Matongo yaliyopo wilayani Ikungi mkoani hapa.

Mgogoro huo ambao umemalizwa na Profesa Manya ulikuwa ukimuhusisha mmiliki halali wa mgodi huo Richard Lyamuya na wabia wenzake Israel Njiku na Helena Mtaturu ambaye alikuwa mlalamikaji na mmiliki wa eneo hilo la mgodi lenye ekari 70 ambalo alidai lilichukuliwa na Lyamuya bila ya kufuata taratibu kwa kumuhusisha Mtaturu na ndugu zake.

Kutoka na madai hayo  Mtaturu ambaye ni mjane alimuandikia barua Waziri Wizara ya madini akidai kuwa kwa kificho bila yeye kujua mmiliki wa mgodi huo Richard Lyamuya ambaye ni mkazi wa Singida Mji alikwenda ofisi za madini Mkoa wa Singida ili apewe kibali cha kuchimba dhahabu kwenye eneo lake bila ya kushirikishwa.

Baada ya barua hiyo kufika katika wizara hiyo na kufanyiwa uchunguzi ndipo jana Naibu Waziri Wizara ya Madini Profesa Shukuru Manya alipofika kwenye mgodi huo na kufanya mkutano wa hadhara uliowahusisha wadau wa uchimbaji, Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Jerry Muro, Viongozi wa Serikali na Chama cha Mapinduzi  (CCM) wananchi na wamiliki wa mgodi huo ambao baadhi yao waliweza kuelezea walivyokuwa wakielewa jinsi mmiliki wa mgodi huo alivyopata eneo hilo kwa kufuata sheria za uchimbaji wa madini kwa kumshirikisha Helena Njiku na kuweka kumbukumbu za makubaliano kwa maandishi na kutiliana saini.

Mmoja wa viongozi wa Umoja wa wachimba madini katika wilaya hiyo  (SIREMA) Seleman Omari alisema mbele ya Naibu Waziri Wizara ya Madini kuwa anaujua mchakato mzima wa uanzishwaji wa mgodi huo na kuwa hakukuwa na udanganyifu wowote na wabia hao waliwekeana namna ya kulipana ambapo Mtaturu aliachiwa asilimia 40 huku Richard Lyamuya na Israel Njiku wakichukua asilimia 30 kila mmoja.

Mbali ya Omari kuyasema hayo Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Jerry Muro alisema suala hilo alilikuta ofisini kwake baada ya kusikizwa na mtangulizi wake Edward Mpogolo ambaye amehamishiwa Wilaya ya Same ambapo nyaraka zote zinaonesha umiliki wa mgodi huo ni wa watu hao watatu na tayari Serikali imekwisha wapa leseni ya uchimbaji na si vinginevyo.

Baada ya watu mbalimbali kutoa maelezo yao na kubaini kuwa Mtaturu aliandika barua ya madai ambayo sio ya kweli Naibu Waziri Profesa Manya alimwambia asirudie tena kufanya jambo hilo.

Profesa Manya alitumia nafasi hiyo kuwaomba wachimbaji hao kufanya kazi zao kwa upendo na kufuata sheria za uchimbaji.

Mkuu wa wilaya hiyo Jerry Muro aliwaomba wachimbaji hao kudumisha amani na kujikinga na magonjwa ya Corona na ukimwi kutokana na mwingiliano mkubwa wa watu katika eneo hilo.

Share:

Driver at Colleges and Institutes Canada (CICan)

DRIVER – EMPOWERMENT THROUGH SKILLS PROGRAM (ESP)   Colleges and Institutes Canada (CICan) invites eligible candidates to indicate their interest in employment as a Driver to the Empowerment through Skills Program (ESP) in Tanzania, implemented by CICan in close collaboration with the Ministry of Education, Science and Technology (MOEST) through the Department of Technical and […]

This post Driver at Colleges and Institutes Canada (CICan) has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Research, Registration and Development Officer at TMHS

Job Title : Research, Registration and Development Officer Department : Marketing and Corporate Relations Department   Reports to : Marketing and Corporate Relations Manager   Date :25 September, 2021   Job Summary RRD Officer generally is responsible for market research, registering new products and assist business development of the newly registered products. He/she supposed to deeply understand the dynamics […]

This post Research, Registration and Development Officer at TMHS has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Production Manager at TMHS

Job Title : Production Manager    Department : Production Department Reports to : Managing Director Deadline : 25th September 2021  Job Summary:  Production manager plan, coordinate and control manufacturing processes so that products are  delivered on time and within budget. Responsibilities    Production manager, shall make sure goods and services are produced safely, cost effectively and on time and […]

This post Production Manager at TMHS has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Information Technology Assistant, (Service Desk), G-5 at IRMCT

Temporary Job Opening (Duration until 31 March 2022) Information Technology Assistant, (Service Desk), G-5   DEADLINE FOR APPLICATIONS: 03 October 2021 DATE OF ISSUANCE: 20 September 2021 OFFICE : Registry/ Information Technology Services Section LOCATION : Arusha JOB OPENING NUMBER  :  2021/TJO/IRMCT/REG/ITSS/123-GS United Nations Core Values: Integrity, Professionalism, Respect for Diversity Organizational setting and Reporting: This position is […]

This post Information Technology Assistant, (Service Desk), G-5 at IRMCT has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Associate Legal Officer, P2 at IRMCT

Job Opening   Posting Title: ASSOCIATE LEGAL OFFICER, P2 Job Code Title: ASSOCIATE LEGAL OFFICER Department/Office: International Residual Mechanism for Criminal Tribunals Duty Station: ARUSHA Posting Period: 20 September 2021 – 19 October 2021 Job Opening Number: 21-Legal Affairs-RMT-163695-R-Arusha (R) Staffing Exercise N/A United Nations Core Values: Integrity, Professionalism, Respect for Diversity Apply Now Org. Setting and […]

This post Associate Legal Officer, P2 at IRMCT has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Judicial Records Assistant, FS4 at IRMCT

Job Opening   Posting Title: Judicial Records Assistant, FS4 Job Code Title: Documents Management Assistant Department/Office: International Residual Mechanism for Criminal Tribunals Duty Station: ARUSHA Posting Period: 20 September 2021 – 19 October 2021 Job Opening Number: 21-Conference Services-RMT-163638-R-Arusha (R) Staffing Exercise N/A United Nations Core Values: Integrity, Professionalism, Respect for Diversity Apply Now Org. Setting […]

This post Judicial Records Assistant, FS4 at IRMCT has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger