Thursday, 16 September 2021

Data Entry Administration Assistan at AUMS

Data Entry Administration Assistan   African Underground Mining Services (AUMS) is an international leader in mechanised hard rock underground mining. AUMS is part of Perenti (Formerly the Ausdrill Group), an ASX 200 company and Australia’s second largest integrated mining services provider. We are a global leader in hard rock underground mining; together with Barminco we […]

This post Data Entry Administration Assistan at AUMS has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

RC MALIMA AITAKA TOC KUSHIRIKI MASHINDANO OLIMPIKI MWAKA 2024

 

Mkuu wa Mkoa wa Tanga Adam Malima akisistiza jambo wakati akifungua mafunzo ya walimu wa Mchezo wa Mpira wa Magongo yaliyoanza septemba 15 Jijini Tanga kwa kushirikisha washiriki kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania Bara na Visiwani yakiratibiwa na Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC)na Chama cha Mpira wa Magongo Tanzania (THA) wa kwanza kulia ni Katibu Mkuu wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) Filbert Bayi
Katibu Mkuu wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) Filbert Bayi akitoa hotuba yake wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo
Makamu wa Rais wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC), Henry Tandau akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo
Mwenyekiti wa Mchezo wa Mpira wa Magongo Tanzania Abdulrahman Syskes akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo 
Mkufunzi wa Kimataifa Maggid Muhamid Elati akieleza jambo
Mkufunzi wa Kimataifa Maggid Muhamid Elati akieleza jambo
Meza Kuu wakifuatilia matukio mbalimbali wakati wa mafunzo hayo
Picha ya Pamoja
Washiriki wakifuatilia mafunzo hayo

NA OSCAR ASSENGA, TANGA.

MKUU wa Mkoa wa Tanga Adam Malima ameitaka Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) kuhakikisha wanajiwekea malengo makubwa ya kuhakikisha timu ya Mpira wa Magongo inashiriki mashindano ya Olimpiki mwaka 2024 ili kutengeneza alama ya mchezo huo kama ilivyokuwa mengine.

Malima aliyasema hayo wakati akifungua mafunzo ya walimuwa Mchezo wa Mpira wa Magongo  yaliyoanza septemba 15 Jijini Tanga kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Nyumbani kwa kushirikisha washiriki kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania Bara na Visiwani yakiratibiwa na Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC)na Chama cha Mpira wa Magongo Tanzania (THA)

Alisema lazima watengeneze malengo ya lazima wajiwekee malengo makubwa yatakayokuwa na tija siku za usoni kwa kuhakikisha wanashiriki mashindano makubwa na wanafanya vizuri ili kuweza kuweka alama kubwa kupitia mchezo huo hapa nchini

“Ndugu zangu tuwe na malengo..Tujiwekee malengo makubwa ya kushiriki mashindano ya Olimpiki mwaka 2024 nafikria malengo ya muda mrefu na kati ni kushiriki huko na muda kufikiria ni sasa lazima mzingatie hilo na kuwa na maono ya mbali”Alisema

Alisema kwa sababu bila malengo itakuwa ni ndoto kuweza kufika huko hivyo ni lazima waweze kutengeneza alama kwenye mpira wa magogo kwani bila kufanya hivyo watakuwa wanapoteza muda lakini wakiutumia vizuri wanaweza kufika huko.

 “Lazima muanze kuota leo mpo Parisi bila malengo bila njozi tutapoteza muda mtafute kila mbinu ya kuwa walimu bora na hilo ndilo ambalo litatupa dira na mwanga mzuri wa kufikia kufikia malengo yetu ambao tunajiwekea ya kufika mbali”Alisema

Awali akizungumza wakati wa mafunzo hayo ambayo yatafanyika kwa siku 10 Jijini Tanga,Katibu Mkuu wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) Filbert Bayi alisema mafunzo hayo yalikuwa yafanyike mwaka jana lakini walilamika kuhairisha.

Alisema yalihairishwa kutokana na na taratibu za baadhi ya nchi waliona bado mapema kutoka nchi zao mfano Misri kumleta Mkufunzo wa Kimataifa Maggid Muhamid Elati kutokana na Covid 19 lakini walikubali baada ya chama kuwasailina nao nao wakakubali na mafunzo yaendelee.

Alisema mchezo wa Mpira wa Magongo ni mkongwe kwa sababu hakuna chama cha mchezo ambacho kimekwisha kushiriki mashindano olimpiki na timu pekee yenye wachezaji wengi kushiki olimipiki huku akieleza tokea mwaka 1980 mchezo huo umekuwa na mafanikio makubwa.

Katibu Mkuu huyo alisema kubwa ambalo hajalijua ni mashindano ya mikoa,vilabu ni muhimu sana lakini kwanini hakuna mashindano ya mkoa au vilabu kwa sababu zamani kulikuwa na vilabu vikubwa sana na nani atayayaleta mahindano ya Taifa na vilabu.

Alisema wameendesha kozi hiyo mwaka 2012 na  wameanza kufundisha kwenye uongozi wao tokea mwaka 2005 Zanzibar na 2021 wapo Jijini Tanga  ambayo ni mafunzo ya tatu hivyo kwa idadi kubwa ya walimu waliofundishwa TOC hivyo  wanategmea vyama husika Zanzibar na Bara vinawafuatilila na kuwatumia ipasavyo ili  kuinua kueneneza mchezo huo nchi nzima

“Badala ya mikoa michache tungependa mtakaporudi nyumbani vyama viendeleze na mkahakikisha mnashirikiana kwa lengo la kuhakikisha mchezo huo unaenea na kupendwa kutokana na ujuzi ambao mtakuwa mmeupata kwenye mafunzo hayo “Alisema Katibu huyo.

Aidha alisema idadi ya washiriki ni 30 walioiweka kutokana na gharama  na bajeti yao huku akieleza kwa muda mrefu TOC ,IOC imekuwa ikifadhili mafunzo ya michezo mbalimbali ya walimu wa vyama wanachama TOC ikwemo  Chama cha Mpira wa Magogo ambapo ni kati ya vyama vya michezo ambavyo vimefaidika na ufadhili huo .

Mwisho.

Share:

Finance Officer at KNCV

KNCV Tuberculosis Foundation is looking for a fulltime Finance Officer  Duty station: Dar es Salaam, Tanzania KNCV Tuberculosis Foundation KNCV Tuberculosis Foundation (KNCV) is one of the leading international non-profit organizations dedicated to fighting tuberculosis (TB) worldwide. We are an international center of expertise for TB control that stimulates effective, efficient and sustainable tuberculosis control […]

This post Finance Officer at KNCV has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Temporary Drivers at IMA World Health

TEMPORARY DRIVERS JOB DESCRIPTION Organization profile: IMA World Health (IMA) is a member of Corus International, a consortium of organizations working together to deliver holistic, durable solutions to the interconnected challenges of poverty, poor health outcomes, and climate change. Established in 1960, IMA has a long history of successfully collaborating with governments, faith-based organizations, national […]

This post Temporary Drivers at IMA World Health has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Project Coordinator at SolidarMed

Project Coordinator    We have an exciting position for an experienced professional to join our field team in Tanzania. Contract Type 100% one-year fixed contract with a possibility of an extension Place of Assignment Mahenge, Ulanga, Morogoro, Tanzania, with frequent travels in the district. Start of Contract – January 2022 Reporting to: Project Manager About […]

This post Project Coordinator at SolidarMed has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Procurement Officer at Asilia lodges and Camps Southern Tanzania Ltd

POSITION: PROCUREMENT OFFICER   DEPARTMENT:  CENTRAL MANAGEMENT LOCATION:  DAR – ES – SALAAM At Asilia we aim to be an organization that offers Better Experiences and Strong Positive Impact We give people joy and appreciation in iconic wildlife & wilderness areas in a way that makes a positive lasting impact on the environment and its people. […]

This post Procurement Officer at Asilia lodges and Camps Southern Tanzania Ltd has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Store Keeper at Raphael Logistics (T) LTD

Store Keeper    JOB DESCRIPTION.   Manage and coordinate all stores process and ensure availability of spares, and materials. Identifying potential problem areas such as stockouts and low stocks and plan for replenishment. Maintain and control stocks of materials to ensure efficient delivery and issues Produce monthly reports for Management planning and decision making in […]

This post Store Keeper at Raphael Logistics (T) LTD has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

General Services Manager at Peace Corps

General Services Manager  About the United States Peace Corps: The Peace Corps is an independent United States federal agency that has been working in Tanzania since 1961. Peace Corps Volunteers work with governments, schools, and communities in the areas of education, health, HIV/AIDS, information technology, agriculture, and the environment. About the General Services Manager Position: […]

This post General Services Manager at Peace Corps has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Operational Excellence Officer at AUMS

African Underground Mining Services (AUMS) is an international leader in mechanised hard rock underground mining. AUMS is part of Perenti (Formerly the Ausdrill Group), an ASX 200 company and Australia’s second largest integrated mining services provider. We are a global leader in hard rock underground mining; together with Barminco we operate across Africa in Tanzania, […]

This post Operational Excellence Officer at AUMS has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Airtel Money Manager : Alternative Deposits at Airtel

Airtel Money Manager : Alternative Deposits     About us Airtel Tanzania PLC is one of the leading providers of telecommunications and mobile money services with operations across Tanzania. Headquartered in Dar es Salaam, Airtel Tanzania ranks amongst the top 3 mobile services providers in Tanzania in terms of subscribers. Airtel Tanzania offers an integrated suite […]

This post Airtel Money Manager : Alternative Deposits at Airtel has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

IT Support Engineer at Airtel

IT Support Engineer   About us Airtel Tanzania PLC is one of the leading providers of telecommunications and mobile money services with operations across Tanzania. Headquartered in Dar es Salaam, Airtel Tanzania ranks amongst the top 3 mobile services providers in Tanzania in terms of subscribers. Airtel Tanzania offers an integrated suite of telecommunications solutions […]

This post IT Support Engineer at Airtel has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Programme Manager – Sexual and Reproductive Health and Nutrition at Embassy of Ireland

EMBASSY OF IRELAND   DAR ES SALAAM  The goal of the Embassy of Ireland is to promote Ireland’s values and interests in Tanzania and across the Great Lakes sub-region, in line with Ireland’s commitment to delivering the Sustainable Development Goals. Through the promotion of Ireland’s values, the Embassy seeks to contribute to a fairer, more […]

This post Programme Manager – Sexual and Reproductive Health and Nutrition at Embassy of Ireland has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Samia ataka wanawake wajipange Urais 2025

Rais Samia Suluhu Hassan amewataka wanawake kujipanga kuhakikisha wanaweka Rais mwanamke katika Uchaguzi Mkuu ujao.

Vilevile, amehoji kilichoandikwa na moja ya gazeti nchi kwamba hana nia ya kuwania urais mwaka 2025, akiuliza 'nani kawaambia?'

Rais Samia alitoa kauli hiyo jana jijini Dar es Salaam katika maadhimisho ya Siku ya Demokrasia Duniani yaliyohudhuriwa na taasisi mbalimbali na wasichana 50 ambao waliokolewa kwenye biashara ya usafirishaji wa binadamu.
 
Katika maadhimisho hayo, Rais Samia alikabidhiwa tuzo tatu, moja ikitolewa na Mwenyekiti wa Azaki ya Wanawake Tanzania (Ulingo), Anna Abdallah, ya pili kutoka kwa watoto waliookolewa katika udhalilishaji wa kimaisha na nyingine kutoka kwa masista wa St. Joseph.
 
Akizungumza katika maadhimisho hayo, Rais Samia alisema, “Leo (jana) mmempa tuzo Rais wenu, Rais mwanamke, kwa bashasha na furaha kubwa, lakini ninataka niwaambie wanawake bado hatujaweka Rais mwanamke.
 
Rais Samia alifafanua kuwa Rais huyo mwanamke amekaa kwa sababu ya kudra ya Mwenyezi Mungu na matakwa ya Katiba.
 
“Tulichokichangia sisi na dada zetu na mama zetu na Mama Anna Abdallah ni ile kusukuma mpaka mwanamke akawa Makamu wa Rais, ule ndio mchango mkubwa ambao tumeufanya wanawake.
 
"Kama isingekuwa mpango wa Mungu, ingekuwa ngumu, tungefikia hapo kila mwaka tunakwenda ni hapo, ni hapo," alisema.
 
Rais Samia aliwaeleza kuwa Rais mwanamke watamweka mwaka 2025.
 
“Mwaka 2025 wanawake tukifanya vitu vyetu vizuri, kushikamana, tukimweka Rais wetu, tutakutana hapa kwa furaha kubwa sana. Wameanza kutuchokoza, wameanza kutuchokoza kuandika kwenye vigazeti 'Samia hatasimama', nani kawaambia?
 
“Fadhila za Mungu zikija mikononi kwako usiziachie, hizi ni fadhila za Mungu ndugu zangu, wanawake tumefanya kazi kubwa kuleta uhuru wa nchi hizi, wanawake tumefanya kazi kubwa kujenga siasa za nchi, tumebeba sana wanaume katika siasa za nchi hizi.
 
"Leo Mungu ametupa baraka mikononi, tukiiachia Mungu atatulaani," alisema huku ukumbi ukilipuka kwa shangwe.
 
Machi 19, mwaka huu, Samia ambaye alikuwa Makamu wa Rais, aliapishwa kuwa Rais wa nchi kutokana na kifo cha Rais wa Awamu ya Tano, Dk. John Magufuli, suala hilo lilifanyika kwa mujibu wa Katiba.


Share:

Naibu Waziri Dkt Mabula Ahimiza Uhakiki Kwa Wamiliki Wa Ardhi

 Na Munir Shemweta, BUKOMBE
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amewataka wamiliki wa wa ardhi kujitokeza katika zoezi la uhakiki linaloendelea katika ofisi zote za ardhi nchini.

Alisema, uamuzi wa wizara yake kufanya uhakiki wa wamiliki wa ardhi ni kutaka kuwatambua wamiliki kwa majina yanayosomeka kwenye vitambulisho vya NIDA.

‘’Tumachotaka ni kukutambua kama wewe ni mmiliki wa kiwanja kilichopo Bukombe au Sumbawanga kwa majina yale yale yanayosomeka katika kitambulisho cha NIDA’’ alisema Dkt Mabula.

Akizungumza na viongozi pamoja na watumishi wa sekta ya ardhi katika wilaya ya Bukombe  mkoani Geita tarehe 15 Sept 2021 Naibu Waziri Mabula alisema, hatua ya kufanya uhakiki itaisaidia Wizara ya Ardhi kama serikali kupata kumbukumbu nzuri za watanzania wanaomiliki ardhi na kusisitiza kuwa hakuna ukomo kwenye umiliki na mtu mmoja anaweza kumiliki viwanja zaidi ya ishirini.

Kwa mujibu wa Dkt Mabula, kumekuwa na sintofahamu kuhusiana na zoezi hilo la uhakiki ambao baadhi ya watu wanasita na kufikiri serikali inataka kuwanyang’anya viwanja ambapo alisisitiza kuwa, lengo ni kutaka kuwatambua wamiliki kwa majina yao.  na kubainisha kwamba kama kuna majina ya watoto basi yatatenganishwa  vya kwako na vya watoto

‘’Tunachotaka ni kuondoa wamiliki bandia ambao hata ukiwatafuta huwapati kwa kuwa jina aliloandika siyo la kwake, na kama kuna majina ya watoto basi yatenganishwe na ya kwako’’ Dkt Mabula

Aidha,  alisema kuwa uhakiki unaoendelea utasadia pia kwenye masuala mazima ya mirathi hasa pale mmiliki atakapofariki huku akiwa hakutumia majina yake kwenye umiliki wa viwanja vyake na kuongeza kuwa, ikitokea mmiliki amefarikia basi familia yake ijue rasilimali zake.

Kwa upande wake Mkuu wa wilaya ya Bukombe mkoani Geita Said Nkumba alimshukuru Naibu Waziri wa Ardhi Dkt Angeline Mabula kwa kuitembelea wilaya hiyo na kukutana na viongozi pamoja na watumishi wa sekta ya ardhi ambapo alisema ujio wake utasiadia sana wilaya yake kujipanga katika masuala mazima ya ardhi hasa kwenyematumizi bora ya ardhi.

Nkumba pia aliunga mkono wazo la Naibu Waziri wa Ardhi kutaka halmashauri ya wilaya ya Bukombe kuangalia namna ya kuwakopesha viwanja watumishi wa serikali waliopo kwenye wilaya hiyo ili waweze kujikwamua katika masuala ya makazi.

‘’Kama huwezi kukopa basi hata kukopa kiwanja? Na nafikiri suala la kukopa viwanja ni jambo jema na ni vizuri tukaanza na watumishi kwa kuwa unalipa kidogokidogo na huwezi kujua unaweza kukaa hapa Bukombe mpaka unastaafu na sisi tunaona ni jambo jema’’ alisema Mkumba.




Share:

Waziri Gwajima Azindua Mfumo Wa Kidigitali Wa Usimamizi Shirikishi Wa Utoaji Huduma Za Afya(Afyass)

 WAZIRI wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima amezindua mfumo wa kidigitali wa usimamizi shirikishi katika utoaji wa huduma za afya (AfyaSS), ili kuwezesha upatikanaji wa taarifa sahihi na kwa wakati muafaka.

Akizindua mfumo huko jana Jijini Dodoma,Dkt. Gwajima amesema mfumo huo utasaidia kuboresha utoaji wa huduma za afya nchini na hivyo kufikia dhamira ya Rais Samia Suluhu Hassan.

Akitoa ufafanuzi juu ya mfumo huo Mkuu wa Kitengo kidogo cha Usimamizi Shirikishi kutoka Wizara ya Afya Dkt. Chrisogone German amesema mfumo huo umetengenezwa ili kutatua changamoto mbalimbali zilizopo katika sekta hiyo ikiwemo uratibu kwenye usimamizi na upatikanaji wa taarifa kwa wakati.

“Awali ilikuwa ni changamoto sana kumfuatilia mtu lakini sasa imerahisisha,lakini pia itasaidia kwenye matumizi ya rasilimali, kabla ya mfumo huu tulikuwa tunatumia rasilimali nyingi lakini kwa sasa kutakuwa na uratibu mzuri,upatikanaji wa taarifa kutoka kwenye vituo katika ngazi zote utakuwepo na hivyo tutapunguza gharama katika usimamizi,”alisema.

Alisema tayari wametoa elimu kwa watu mbalimbali kuanzia ngazi ya Taifa hadi wilaya juu ya matumizi ya mfumo huo.

“Ili kurahisha ufanisi wake wamenunua vishkwambi 900 ambavyo vitagaiwa kwa wadau mbalimbali,vishwakmbi hivi tutavitoa vitatu kwa kila mkoa na kwenye halmashauri pia watapata vitatu,”alisema.

Mfumo huo umetengenezwa na Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais TAMISEMI na Shirika lisilo la kiserikali la Path kupitia mradi wake wa ‘Data UsePertnership’ ambao umesaidia kuanzia hatua za awali za utengenezaji wa mfumo tangu mwaka 2017 hadi sasa.



Share:

Serikali Yatoa Bilioni 3 Kulipa Watumishi Wa Afya Walioshiriki Katika Mapambano Dhidi Ya Uviko-19

Na WAMJW – Kibaha, PWANI.
Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Mhe Samia Suluhu Hassani imepitisha fedha kiasi cha Shilingi Bilioni 3 kwa ajili ya malipo kwa watumishi wa sekta ya afya waliosWayuhiriki katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa UVIKO-19.

Hayo yamesemwa jana na Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel alipokuwa akizungumza na watumishi wa afya katika Hospitali ya Rufaa ya Tumbi Mkoa wa Pwani alipoenda kufanya ziara ya kikazi na kukagua hali ya utoaji huduma Hospitalini hapo.

“Watumishi hapa wamezungumzia suala la fedha zao wakati wanapambana na suala la UVIKO-19, tayari Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan ametoa Bilioni tatu kwa ajili ya watumishi waliokuwa wanadai kwa kufanya kazi mbalimbali katika kuwahudumia wagonjwa waliopata ugonjwa wa corona” amesema Dkt. Godwin Mollel.

Dkt. Mollel amesema kuwa ndani ya muda wa wiki mbili watumishi wote halali wanaopaswa kulipwa fedha hizo watakuwa wameshapata malipo yao.

Aidha katika mapambano zaidi ya ugonjwa wa corona, Dkt. Mollel amesema kuwa Serikali imetenga kiasi cha shilingi Bilioni 187 kwa ajili ya ujenzi wa kiwanda cha kutengeneza chanjo za magonjwa mbalimbali ikiwemo ugonjwa wa corona.

Dkt. Mollel aliendelea kuelezea juhudi zinazoendela kufanywa na Serikali katika upatikanaji wa huduma za afya kwa wananchi wote na kusema kuwa Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Shilingi Bilioni 149.7 kwa ajili ya kugharamia watu masikini wasiojiweza kupata huduma za matibabu katika vituo vya kutolea huduma za afya nchini.

“Tunaenda kuwa na Bima ya Afya kwa watu wote, Watanzania wanaoweza kulipia watalipa na wale wasiojiweza Mheshimiwa Rais amekwisha walipia” ameelezea zaidi Dkt. Godwin Mollel.

Dkt. Mollel amesema kwa muda wa miaka nane sasa mchakato wa kuwasilisha muswada wa Bima ya Afya kwa wote umekuwa ukikabiliwa na changamoto mbalimbali na hivyo sasa Serikali imejipanga kuwasilisha kuwa Sheria katika Mkutano wa Bunge wa Mwezi Novemba.

Naye Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani Mhe. Hawa Mchafu Chakoma ameipongeza Serikali kwa juhudi inazozifanya kuhakikisha wananchi wanaendelea kupata huduma bora za matibabu huku ikitilia msisitizo upatikanaji wa huduma za matibabu kwa wananchi wote kupitia Bima ya Afya.

Mhe. Hawa ametoa wito kwa watumishi wa Serikali kuboresha zaidi huduma za matibabu kwa kuzingatia utu ili pindi Bima ya Afya wa wote itakapo kuwa rasmi vituo vya kutolea huduma viendelee kupata wateja.

“Nawaasa watumishi wa Serikali kuacha kufanya kazi kwa mazoea, Bima ya Afya kwa wote itawakosesha wateja, mwananchi ana uwezo wa kuchagua pa kwenda kupata huduma za matibabu akiwa na bima hiyo hiyo aidha aende kituo cha Serikali au binafsi, hivyo tuboreshe huduma zetu zaidi” amesisitiza Mhe. Hawa Mchafu.

Mwisho.



Share:

Senior WASH Technical Intern at SNV

Company Description   SNV is a not-for-profit international development organization founded in the Netherlands nearly 50 years ago. SNV has built a long-term, local presence in 38 of the poorest countries in Asia, Africa and Latin America. SNV works with local based development partners, other civil society organizations, government institutions and businesses to develop the […]

This post Senior WASH Technical Intern at SNV has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger