Thursday, 16 September 2021

Senior WASH Technical Intern at SNV

Company Description   SNV is a not-for-profit international development organization founded in the Netherlands nearly 50 years ago. SNV has built a long-term, local presence in 38 of the poorest countries in Asia, Africa and Latin America. SNV works with local based development partners, other civil society organizations, government institutions and businesses to develop the […]

This post Senior WASH Technical Intern at SNV has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Job Opportunity at SNV, Implementing Partners for The Opportunities for Youth Employment Project Second Phase (OYE 2) in Singida and Morogoro Regions of Tanzania

Company Description   1.0. Introduction SNV Netherlands Development Organization, funded by DANIDA and the Swiss Agency for Development and Cooperation (SDC), is planning to implement the Opportunities for Youth Employment (OYE) project – second phase in Tanzania for the period of three years commencing April 2021 to March 2024. The OYE project has a strong […]

This post Job Opportunity at SNV, Implementing Partners for The Opportunities for Youth Employment Project Second Phase (OYE 2) in Singida and Morogoro Regions of Tanzania has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Wednesday, 15 September 2021

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO ALHAMIS SEPTEMBA 16,2021















Share:

SERIKALI KUINUA VIKUNDI VYA WANAWAKE WANAOLIMA MWANI



Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega (katikati) akipatiwa maelezo na Mkurugenzi Msaidizi, Ukuzaji Viumbe Maji, Dkt. Hamisi Nikuli (kushoto) kuhusu uchakataji wa zao la Mwani unaofanywa na Kiwanda cha kuchaka Mwani, Mwani Mariculture Kilichopo Wilayani Kilwa, Mkoani Lindi. Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Kilwa, Zainab Kawawa. 

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega akiwasalimia Wakinamamawanaojishughulisha na Kilimo cha zao Mwani muda mfupi baada ya kufika kutembelea kiwanda cha kuchakata zao la mwani cha Mwani Mariculture kilichopo Wilayani Kilwa, Mkoani Lindi.  


Na Mbaraka Kambona,


NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega amesema Serikali imedhamiria kuviwezesha vikundi vya kina mama wanaojishughulisha na kilimo cha zao la Mwani ili waweze kuboresha uzalishaji wa zao hilo  na kuinuka kiuchumi.

Ulega alisema hayo alipotembelea Kiwanda cha kuchakata Mwani cha Mwani Mariculture na kukutana na wakina mama wanaojishughulisha na ukulima wa mwani Wilayani Kilwa, Mkoani Lindi hivi karibuni. 

Alisema katika bajeti ya mwaka huu 2021/2022 Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imetenga bajeti maalum kwa ajili ya kuviwezesha vikundi hivyo ili waweze kuboresha shughuli zao.

“Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan  imetenga pesa kwa ajili ya kusaidia vikundi vya kina mama wanaojishughulisha na shughuli za uvuvi na ukulima wa mwani, na kikundi chenu  kitakuwa cha mwanzoni kuzipata pesa hizo,”alisema Ulega.

Aliongeza kuwa kupitia pesa hizo vikundi vitapatiwa vifaa mbalimbali vitakavyowasaidia kufanya kazi zao kwa ufanisi huku akitaja vifaa hivyo vikiwemo kamba, vichanja na mashine za  kukaushia zao hilo baada ya kuvunwa ili mchanga usipoteze ubora wake.

Aidha, kuhusu changamoto ya masoko na bei ya zao hilo, Waziri Ulega aliwaelekeza wataalam kutoka wizarani na Mkurugenzi wa Wilaya ya Kilwa kuwapatia wakulima hao mbegu bora ambayo inakubalika katika soko la dunia ili wakulima hao waweze kuondokana na changamoto hizo na kukuza kipato chao.

Awali, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Ushirika cha Kilwa Masoko, Bakari Bakari alieleza kuwa changamoto kubwa wanayoipata ni uhaba wa vifaa vya kufanyia kazi zao za ukulima wa mwani, masoko na bei ndogo.

“Mheshimiwa Naibu Waziri hawa wote kina mama hapa wanalima zao la mwani lakini wakivuna wanalazimika kukaa nao ndani miezi miwili hadi mitatu ndio wauze, jambo hilo linafanya dhiki iwe palepale, tunakuomba utusaidie kupata masoko mengine ili tuweze kujikimu kimaisha,”alisema Bakari.

Naye, Msimamizi wa Kampuni ya Mwani Mariculture ambayo inanunua na kuchakata mwani, Roger Morre alisema kuwa wao wapo tayari kushirikiana na wakulima hao kupata mbegu nzuri itakayosaidia kuboresha uzalishaji wa zao hilo nchini. 

Share:

BONDE LA WAMI/RUVU:MAJI YA MTO RUVU YAMEPUNGUA , VIBALI VYA UVUNAJI MAJI VYASITISHWA.


Kaimu Mkurugenzi wa Bodi ya Bonde la Wami Ruvu Elibariki Mmasi akizungumza na waandishi wa habari katika Daraja la Ruvu baada kwenda kuangalia kupungua kwa maji na kutoa tahadhari juu shughuli kibinadamu katika Mto huo.

Sehemu ambayo Dawasa inachukua maji ambapo ni Lita 5000 kwa sekunde kutokana na maji hayo kupungua

Sehemu maji katika Mto Ruvu yanavyoonyesha kupungua kwa mwaka huu.

***********************************

Na Mwandishi Wetu

Bodi ya Bonde la Wami/Ruvu imesema kuwa kwa kipindi hiki imesitisha vibali vyote vya uvunaji maji katika Mto Ruvu pamoja na kuwataka wananchi kuacha shughuli za kibidamu katika mto huo.

Hayo yamesemwa na Kaimu Mkurugenzi wa Bonde la Wami/Ruvu Elibariki Mmasi wakati akizungumza na waandishi wa habari katika Daraja la Mto Ruvu mkoani Pwani,Mmasi amesema kuwa kina cha maji kimepungua ikilinganishwa na Septemba 14 ya mwaka jana iliyokuwa na Kina cha mita 12500 hadi kufikia mita 7500 ambapo Mamlaka ya Mazingira na Maji Safi na Maji taka (DAWASA) katika kidakio cha Ruvu Juu inachukua milimita 5000 kwa sekunde.

Mmasi amesema kupungua kwa kina hicho kwa kuendelea shughuli zingine za binadamu kinaweza kiendelea kupungua na kuleta adha kwa watumiaji maji majumbani.

Mmasi amesema Bodi ya Bonde la Wami/Ruv haiwezi kuruhusu kuendelea shughuli za kibinadamu wakati mazingira ya kulinda vyanzo vya maji vimewekwa kwa kuweka shughuli za kibindamu ikiwemo ufugaji nyuki pamoja kuwachimbia visima.

Aidha amesema wanachoombea mvua zianze kunyesha mapema kuchelewa kwa mvua hizo kunaweza kufanya wananchi wa mkoa wa Dar es Salaam kupata maji kidogo.

Amesema kuwa kutokana na hali hiyo wameendelea kudhibiti maji vyanzo kwa maeneo baadhi ya mito maji ya yamechepuka hovyo wanarudisha pamoja na ujenzi wa bwawa Dunda ambapo maji yakipungua Bwawa ndilo litakuwa linatumiika.

Hata hivyo amesema utunzaji wa vyanzo vya maji la wote kwani kuacha vynzo hivyo vitatumika kiholela madhara yake ni makubwa sana.

Mmasi amesema kuwa kuna faini zipo kutokana na sheria zilizowekwa katika utunzaji wa vyanzo maji kuanzia laki tatu hadi sh.milioni 50 na baada ya hapo kufungulia mashitaka.

Aidha Mmasi amesema kazi vyanzo vya maji viangaliwe kwa macho mawili kukosekana kwa maji madhara yake ni makubwa hivyo kila jamii iliyopo katika vyanzo hivyo kuwa na wajibu huo.
Share:

RAIS SAMIA ATANGAZA KUGOMBEA URAIS 2025


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
**
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa anawashangaa wale wanaosema kwamba yeye hawezi kugombea urais na kusisitiza kwamba mwaka 2025 Rais mwanamke ataingia madarakani.

Kauli hiyo ameitoa hii leo Septemba 15, 2021, Jijini Dar es Salaam, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Demokrasia Duniani.


"Wameanza kutuchokoza kuandika kwenye vigazeti Samia hatasimama nani kawaambia. 

Wanawake bado hatujaweka Rais mwanamke, rais huyu amekaa kwa sababu ya kudra ya Mungu na matakwa ya katiba, tulichochangia sisi na dada zetu na mama zetu ni ile kusukuma hadi mwanamke akawa makamu wa Rais ule ndio mchango mkubwa tulioufanya wanawake, lakini kufika hapa kama isingekuwa kudra ya Mungu ingekuwa ngumu sana",amesema Rais Samia

“Sasa ndugu zangu Rais mwanamke tutamuweka 2025, tukifanya vitu vyetu vizuri tukishikamana tukimweka rais wetu tutakutana hapa kwa furaha kubwa sana",ameongeza

Samia aliapishwa kuwa Rais Machi 19, 2021 baada ya kifo cha aliyekuwa Rais wa awamu ya tano, John Magufuli. Kabla ya kupokea kijiti hicho, Samia alikuwa makamu wa Rais wa Tanzania.
Share:

DC HANANG AWAOMBA VIONGOZI WA DINI KUSIMAMIA MALEZI NA MAKUZI YA VIJANA

Mkuu wa Wilaya ya Hanang  Janeth Mayanja.akizungumza kwenye  mkutano wa 45 wa  Mwaka wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania  (KKKT) Dayosisi ya Mbulu uliofanyika wilayani hapo jana. Katikati (mwenye barakoa nyeusi) ni Baba Askofu  Michael Adam wa Dayosisi ya Mara.


   Baba Askofu  Nicolaus Nzangazelu wa  Kanisa hilo Dayosisi  ya Mbulu akizungumza kwenye mkutano huo. Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Hanang  Janeth Mayanja.

Watumishi wa Mungu wa kanisa hilo wakiwa kwenye mkutano huo.
Mkutano huo ukiendelea. 



Na Mwandishi Wetu, Hanang.


MKUU wa Wilaya ya Hanang mkoani Manyara Janeth Mayanja amewaomba viongozi wa dini wilayani hapa  kuendelea kusimamia malezi na makuzi ya vijana ili kuwa na Taifa lenye hofu ya Mungu, uadilifu na uzalendo.

Mayanja Amametoa ombi hilo jana wakati akizungumza kwenye  mkutano wa 45 wa  Mwaka wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania  (KKKT) Dayosisi ya Mbulu uliofanyika wilayani hapo jana.

Mayanja alitumia nafasi hiyo kulishukuru kanisa hilo kwa kuunga jitihada za Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan  kwa kutoa huduma nzuri kwa jamii.

"Niwapongeze kwa shughuli mbalimbali mnazozitoa kwa wananchi hasa  katika sekta ya Afya na Elimu kwani mnaunga jitihada za  Selikali kwa vitendo". alisema Mayanja.

Aidha amelihakikishia  kanisa hilo kuwa Serikali  wilayani humo  itaendele kutoa ushirikiano kwa Dayosisi hiyo  ili kufikia malengo yao ya kukuza uchumi na utoaji wa huduma za kiroho.

Baba Askofu  Nicolaus Nzangazelu wa  Kanisa hilo Dayosisi  ya Mbulu  amemshukuru mkuu wa wilaya hiyo  kwa kushiriki katika mkutano huo na ameahidi kushirikiana na Selikali katika kuimairisha huduma za jamii.

Mkutano huo uliongozwa na Baba Askofu  Nzangazelu  na kusimamiwa na Baba Askofu  Michael Adam wa Dayosisi ya Mara na kuhudhuriwa na watumishi wa Mungu zaidi ya 300 kutoka Wilaya za Mbulu, Hanang, Babati Vijijjni na wilaya za jirani.

Share:

Relationship Manager:insurance at NBC

NBC is the oldest serving bank in Tanzania with over five decades of experience. We offer a range of retail, business, corporate and investment banking, wealth management products and services.   Job Summary Programme Manager – Sexual and Reproductive Health and Nutrition at Embassy of Ireland… The Relationship Manager –Insurance is responsible for assisting the […]

This post Relationship Manager:insurance at NBC has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Customs Liaison Officer at TotalEnergies

About the job Description Du Poste HSEQ:   Application of Safety Managements Systems. Quality Control of products to be within Tanzania quality specifications as per TBS. Taxes and whaffages- Ensure that All TAXES for fuel are processed on time, Manifest comparisons and whaffage are processed and paid on time to avoid penalty for late payments […]

This post Customs Liaison Officer at TotalEnergies has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

National Coordinator (GEF-SGP) at UNDP

Background   The Global Environment Facility (GEF) Small Grants Programme (SGP) is implemented by UNDP’s Local Action Cluster of the Nature, Climate and Energy unit of BPPS on behalf of the GEF Partnership. It is executed by UNOPS. The SGP forms a central part of the UNDP Local Action Cluster of NCE. SGP grantmaking supports […]

This post National Coordinator (GEF-SGP) at UNDP has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Advocacy Officer – ECSA at Sightsavers

Title: Advocacy Officer (East, Central and Southern Africa)   Location: This role will ideally be based in Tanzania or Zambia, but qualified individuals with the Right to Work in other Sightsavers programmatic countries within the East, Central and Southern Africa regions are welcome to apply Salary: Local terms and conditions apply Contract: Two year fixed term contract Sightsavers have […]

This post Advocacy Officer – ECSA at Sightsavers has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

MTOTO WA MIAKA MINNE ABAKWA KATAVI


Picha haihusiani na habari hapa chini

Na Neema Hussein Katavi
Mtoto mwenye umri wa miaka minne ambaye jina lake limehifadhiwa amebakwa na kijana aliyetambulika kwa jina moja la George, huko katika Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi. 

Kwa maelezo ya mtoto huyo amesema kijana huyo alimchukua kwa lengo la kumpeleka dukani kumnunulia pipi na kisha kutokomea naye porini na kumfanyia ukatili huo.

Amesema baada ya kutekeleza ukatili huo alimrudisha mpaka maeneo ya jirani na nyumbani kisha kumwambia mtoto aende nyumbani na mhusika kukimbia kusikojulikana.

Akizungumza na Nipashe mama mdogo wa mtoto huyo (Jina linahifadhiwa), amesema mtoto huyo alipotea mazingira ya nyumbani baada ya kuulizia aliambiwa ameondoka na kijana huyo.

Amesema kijana huyo ni rafiki wa karibu na marehemu kaka yao hivyo alikuwa akienda mara kwa mara katika mji huo na walimchukulia kama mtoto katika familia hiyo.

Amesema baada ya mtoto huyo kurudi nyumbani alionekana kukosa raha na pia alikuwa amechoka sana alivyo taka kumuogesha ndipo aligundua baada ya kumuona sehemu yake ya haja kubwa ina kinyesi na damu.

Familia ya mtoto huyo wameliomba Jeshi la Polisi kumtafuta na kumchukulia hatua kijana aliefanya ukatili huo.

Kwa upande wao baadi ya majirani akiwemo, wamesema tukio hilo wamelisikia na kuiomba jamii iwalinde na kuwaangalia kwa ukaribu watoto wao ili kuepukana na vitendo hivyo.

Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo Katibu wa Hospitali ya Rufaa mkoani Katavi Dk. Boniface Lyimo, amekiri kumpokea mtoto huyo na baada ya kumfanyia vipimo waligundua ni kweli ameingiliwa kinyume na maumbile baada ya kuona mabaki ya mbegu za kiume.

Chanzo - Nipashe
    Share:

    Chief Executive Officer at Ubongo

    About Ubongo   Ubongo is a non-profit social enterprise with the mission of using top quality, localized edutainment to help Africa’s 500 million kids learn, and leverage their learning to change their lives. Over 17 million families learn with Ubongo weekly on TV, radio and web, and the organization is growing rapidly with the goal […]

    This post Chief Executive Officer at Ubongo has been posted by Udahiliportaldaily

    Get more post by visiting Udahiliportal.com

    know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

    This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

     

    Share:

    Brand Ambassador at Sokowatch

    Share:

    Senior AML Analyst – Gov & Regulatory at Vodacom

     Senior AML Analyst – Gov & Regulatory   At Vodacom, we’re working hard to build a better future. A more connected, inclusive and sustainable world. As a dynamic global community, it’s our human spirit, together with technology, that empowers us to achieve this. We challenge and innovate in order to connect people, businesses, and communities […]

    This post Senior AML Analyst – Gov & Regulatory at Vodacom has been posted by Udahiliportaldaily

    Get more post by visiting Udahiliportal.com

    know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

    This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

     

    Share:

    UJENZI BOMBA LA MAFUTA GHAFI WAFUNGUA FURSA ZA KIUCHUMI SINGIDA


    Mkuu wa Mkoa wa SingidaDkt. Binilith Mahenge  akifungua mkutano wa wadau wa kujadili fursa  za mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta ghafi la Afrika Mashariki (EACOP).
    Mtendaji tathmini na ufuatiliaji  kutoka Shirika la Maendeleo la Petroli Tanzania (TPDC) Sefiel Msovu  akielezea namna mradi utakavyotekelezwa.
    Katibu Tawala Mkoa wa Singida Dkt. Dorothy Mwaluko akimkaribisha Mkuu wa Mkoa  kufungua mkutano huo.
    Mkutano unaendelea

    Na Edina Malekela, Singida.

    Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Binilith Mahenge amewataka wananchi wa mkoa huo kuchangamkia fursa za kibiashara zinazokuja kutokana na Ujenzi wa Bomba la Mafuta linalotokea Hoima nchini Uganda hadi Chongerehani mkoani Tanga.

    Akifungua mkutano huo wa wadau mkoani Singida wa kujadili fursa za mradi wa ujenzi wa Bomba la Mafuta ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) Dkt. Mahenge alisema ni wakati sasa kwa wafanya biashara kuchangamkia fursa za kibiashara ili kuboresha maisha yao na taifa kwa ujumla.

    Aidha Mahenge alisema kuwa Serikali haiwezi kugawa fedha kwa kila mwananchi, isipokuwa inafungua fursa mbalimbali za kuwawezesha kwa kuziandaa ambazo wadau na wafanya biashara wanatakiwa kuzidaka na kuzitumia.

    "Sasa basi kwetu sisi nikuchangamkia fursa kwani kutakuwa na kambi kubwa hapa kwetu hivyo kutakuwa na mahitaji makubwa ya nyumba za kulala ,vyakula na mahitaji mengine mbalimbali", alisema Mahenge.

    Naye Mtendaji tathmini na ufuatiliaji kutoka shirika la maendeleo la Petroli Tanzania(TPDC ) Sefiel Msovu alisema kuwa mradi huo wenye jumla ya kilomita za mraba 1443. Huku kutoka Hoima hadi mpakani ni kilomita za mraba 296 na kutoka misenyi hadi Chongerehani kwa upande wa Tanzania ni kilomita za mraba 1147.

    Msovu alisema kuwa mradi huo unatekelezwa kwa gharama ya shilingi Tirioni nane sawa na zaidi ya milioni mia tatu Dola za kimarekani huku kiasi cha asilimia themanini kitabaki nchini kwa sababu shughuli kubwa kwa kiwango hicho kitakuwa kinafanyika nchini.

    Aliongeza kuwa kwa Mkoa wa Singida bomba hilo linapita kwenye wilaya tatu za Mkalama ,Iramba na Singida DC na katika Wilaya ya Singida DC kutajengwa kambi kubwa namba kumi na moja itakayo chukua wafanyakazi zaidi ya 1,000 ambapo itachochea zaidi kuongeza Uchumi wa Singida ikiwa wana Singida watachangamkia fursa hiyo.

    "Rai yangu kwa wana Singida ni kuchangamkia fursa moja kwa moja shughuli za mradi kwanza zimetengwa kwa ajili yao vilevile katika maeneo ambayo mradi unapita wananchi wa eneo husika watakuwa wanapata kipaumbele, Sisi watekelezaji wa mradi tunawaomba wananchi wachangamkie fursa ili kukuza kipato chao", alisema Msovu.

    Nao baadhi ya wananchi akiweko Ivani Kamugisha waliipongeza Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwaona zaidi wao na kuwapa kipaumbele watanzania katika ujenzi wa bomba la mafuta.

    Share:

    DC MBONEKO AKAGUA ENEO JIPYA LA KUUZIA MBAO MJINI SHINYANGA....WAUZA MBAO KAMBARAGE WOTE KUHAMIA CHAMAGUHA

     


    Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko, akiwa kwenye ziara eneo jipya la kuuza mbao, lililopo Chamaguha Manispaa ya Shinyanga.
    Na Marco Maduhu, Shinyanga

    Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko, amewataka wafanyabiashara wa kuuza mbao, ambao bado wapo kwenye Soko la Kambarage Manispaa ya Shinyanga, wahamie mara moja kwenye eneo ambalo wametengewa na Serikali lililopo Chamaguha, kabla ya kuwachukulia hatua.

    Mboneko alibainisha hayo jana, alipofanya ziara ya kutembelea kwenye eneo jipya la kuuza mbao lililopo Chamaguha na kupewa malalamiko kuwa kuna baadhi ya wafanyabiashara bado hawajahamia huko na kubaki Kambarage na kuombwa awaondoe ili wafanye biashara eneo moja.

    Alisema Serikali iliwaondoa wafanyabiashara kwenye soko hilo la Kambarage, ambalo lilikuwa finyu na siyo rafiki kwao kufanyabiashara hiyo ya kuuza Mbao, na kuwatengea eneo zuri la Chamaguha, na kuwataka wale ambao bado wapo Kambarage watii maagizo ya Serikali na kuhamia kwenye eneo hilo jipya.

    “Naagiza wale wafanyabiashara wa mbao ambao bado wapo huko Kambarage, waondoke mara moja, waje huku Chamaguha kwenye eneo lao, watii maagizo ya Serikali,”alisema Mboneko.

    Pia, aliwataka akina mama kuchangamkia fursa ya kuuza chakula kwenye eneo hilo jipya la kuuza mbao Chamaguha, ili wajipatie kipato na kuendesha maisha yao.

    Nao baadhi ya wafanyabiashara hao wa kuuza mbao ambao wamehamia kwenye eneo hilo jipya, walisema wanasikitika kuona wenzao bado wapo huko Kambarage wakifanya biashara, na kugoma kuhamia Chamaguha kwenye eneo ambalo limetengwa na Serikali kwa ajili ya biashara hiyo, na kumuomba Mkuu huyo wa wilaya awaondoe huko.

     
    Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko, akiwa kwenye Soko jipya la kuuza mbao lililopo Chamaguha Manispaa ya Shinyanga.

    Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko, akizungumza na wafanyabiashara wa kuuza mbao.

    Mfanyabiashara wa kuuza mbao Ernest Nangale, akitoa malalamiko kwa Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko, kuwa bado kuna wenzao wapo soko la Kambarage na kumuomba awaondoe huko.

    Wafanyabiashara wa kuuza mbao katika eneo jipya la Chamaguha wakiendelea na shughuli zao.

    Wafanyabiashara wa kuuza mbao katika eneo jipya la Chamaguha wakiendelea na shughuli zao.

    Wafanyabiashara wa kuuza mbao katika eneo jipya la Chamaguha wakiendelea na shughuli zao.

    Na Marco Maduhu- Shinyanga

    Share:
    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    Popular Posts

    Unordered List

    Pages

    Blog Archive


    Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger