Tuesday, 14 September 2021

MWANAMKE AKIRI KUMCHINJA MMEWE,KISHA KUMTUPA JALALANI



KWA hali ilivyo kwenye ndoa nyingi, itoshe tu kusema sasa tumefika pabaya! Ndivyo unavyoweza kusema baada kusikia kisa hiki cha kutisha kinachomhusu mama aitwaye Nancy Majonhi mwenye umri wa miaka 42.

Nancy ambaye ni mwanamke wa nchini Zimbabwe amekiri kumuua kwa kumchinja mumewe mwenye umri wa miaka 44 aitwaye Prosper Chipungare; tukio ambalo lilijiri nyumbani kwao mwaka 2015 katika Kijiji cha Ledig jimboni Sun City, Afrika Kusini walikokuwa wakiishi kabla ya mwanamke huyo kurejea kwao, Zimbambwe.

Nancy anasema kuwa, amefikia hatua ya kukiri kwa Jeshi la Polisi nchini humo baada ya kuchoshwa kuandamwa na mzimu wa mume wake huyo ambapo amekuwa hata usingizi hapati kwa miaka minne sasa.

Kwa mujibu wa Nancy alimmua mumewe huyo kwa kumpiga na nyundo kisha kumkatakata vipandevipande na kwenda kutupa maiti yake kwenye majalala matatu ya chemba za choo baada ya kutokea kutokuelewana kati yao akimtuhumu kwa matumizi mabaya ya pesa za familia.

Nancy anasema kuwa, baada ya kumuua, alijitahidi kupoteza kabisa ushahidi wote kisha kwenda Polisi kuwaambia mume wake amepotea.

Taarifa zinaeleza kwamba, Polisi walifuatilia suala hilo kwa namna zote walizojua wao, lakini hawakufanikiwa hivyo walikata tamaa.

Hata hivyo, inaelezwa kwamba, miezi kadhaa baadaye, Nancy alirudi nyumbani kwao, Zimbabwe kisha aliwajulisha ndugu zake kuwa mume huyo ambaye alikuwa mchimbaji wa madini alipotea.

Inasimuliwa na vyombo vya habari nchini Zimbabwe kwamba, licha ya kujikausha kwa muda mrefu, lakini sasa amenyoosha mikono kutokana na dhahama anayokutana nayo kutoka kwa mumewe huyo.

Nancy amewaambia Polisi na familia yake mkasa mzima ambapo mwanzo walidhani labda amepatwa na kichaa.
Hata hivyo, mwenyewe aliwaambia ni mzima wa akili isipokuwa kwa miaka minne sasa halali kwani muda mwingi mzimu wa mume wake unamuandama, unamtokea na unamwambia akakiri kumuua ndipo atapata amani.

Inaelezwa kwamba, ndugu zake wamekuwa wakishirikiana na Polisi ambapo walisafiri pamoja hadi Afrika Kusini ili Nancy akatoe ushahidi.

Wakiwa Afrika Kusini, Polisi na mtuhumiwa huyo na ndugu zake walikwenda eneo husika ambapo alionesha alipoyatupa mabaki ya mwili wa mumewe, lakini walikuta vyoo vilishabomolewa.

Polisi walichimba eneo hilo na kukuta mabaki ya binadamu ambapo DNA zilitakiwa kufanywa na kesi hiyo bado inaendelea mahakamani.

Kwa mujibu wa kaka wa Nancy aitwaye Andrew, dada yake alikiri kumuua mumewe baada ya kuwaambia kuwa alikuwa anawindwa na mzimu wake.

Kwa upande wake, mwanaume aliyewapangisha wanandoa hao nyumba mwaka 2013, Theo Sedumedi alisema alishtushwa na habari hizo kwani walihangaika wote kumtafuta mumewe bila mafanikio.
Nancy anatarajiwa kufikishwa mahakamani siku ya Septemba 21, mwaka huu akituhumiwa kwa kesi ya mauaji ya mumewe.
Share:

MFANYABIASHARA AUAWA KWA KUPIGWA RISASI



Mfanyabiashara wa Rwanda amepigwa risasi na kuuawa katika manispaa ya Matola, kilomita chache kutoka mji mkuu wa Msumbiji, Maputo.

Levocat Karemangingo alipigwa risasi takribani mita 50 kutoka kwenye makazi yake yaliyopo katika makazi ya Liberdade, Jumatatu asubuhi.

Imedaiwa kuwa uhalifu huo ulifanywa na majambazi waliokuwa katika magari matatu ambao walilizuia gari lake kabla ya kummiminia risasi.

Wauaji hao hadi sasa hawajajulikana, jambo lililoitikisa jamii ya Wanyarwanda wanaoishi Msumbiji.

 Polisi walikuwa kwenye eneo la tukio kufanya uchunguzi wa mwili wake na mwili wake ulipelekwa kwenye hospitali ya jimbo.

Baadhi ya Wanyarwanda wamewaambia waandishi wa habari kuwa uhalifu huo uliwalenga raia wanaopinga serikali ya sasa ya Rwanda na kudai kuwa watu wengi wanalengwa.

Wanyarwanda walioko Msumbiji wameiomba serikali kuwapatia ulinzi zaidi. Mwaka 2019, Mnyarwanda mwingine, Louis Baziga, aliuawa kwa risasi katika kitongoji cha Maputo baada ya watu wenye gari kuzuia gari lao. Alifahamika kuunga mkono serikali ya Rwanda.
Share:

Lecturer in Translation and Interpretation ,Field: Arabic at School Of Kiswahili and Foreign Languages (SKFL) SUZA

The State University of Zanzibar (SUZA) is the only Public University in Zanzibar established by Act No. 8 of the House of Representatives of 1999 which was amended by Act No. 11 of 2009, and further re-amended by Act No. 7 of 2016, Act No 1 Part 4 of 2019 and Act No. 13 of […]

This post Lecturer in Translation and Interpretation ,Field: Arabic at School Of Kiswahili and Foreign Languages (SKFL) SUZA has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Assistant Lecturer/Lecturer in Literature at School Of Kiswahili and Foreign Languages (SKFL) SUZA

The State University of Zanzibar (SUZA) is the only Public University in Zanzibar established by Act No. 8 of the House of Representatives of 1999 which was amended by Act No. 11 of 2009, and further re-amended by Act No. 7 of 2016, Act No 1 Part 4 of 2019 and Act No. 13 of […]

This post Assistant Lecturer/Lecturer in Literature at School Of Kiswahili and Foreign Languages (SKFL) SUZA has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Assistant Lecturer/Lecturer in Linguistics at School Of Kiswahili and Foreign Languages (SKFL) SUZA

The State University of Zanzibar (SUZA) is the only Public University in Zanzibar established by Act No. 8 of the House of Representatives of 1999 which was amended by Act No. 11 of 2009, and further re-amended by Act No. 7 of 2016, Act No 1 Part 4 of 2019 and Act No. 13 of […]

This post Assistant Lecturer/Lecturer in Linguistics at School Of Kiswahili and Foreign Languages (SKFL) SUZA has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Tutorial Assistant/Assistant Lecturer/Lecturer in Aquaculture at School Of Agriculture (SoA) SUZA

The State University of Zanzibar (SUZA) is the only Public University in Zanzibar established by Act No. 8 of the House of Representatives of 1999 which was amended by Act No. 11 of 2009, and further re-amended by Act No. 7 of 2016, Act No 1 Part 4 of 2019 and Act No. 13 of […]

This post Tutorial Assistant/Assistant Lecturer/Lecturer in Aquaculture at School Of Agriculture (SoA) SUZA has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Assistant Lecturer/Lecturer in General Agriculture at School Of Agriculture (SoA) SUZA

The State University of Zanzibar (SUZA) is the only Public University in Zanzibar established by Act No. 8 of the House of Representatives of 1999 which was amended by Act No. 11 of 2009, and further re-amended by Act No. 7 of 2016, Act No 1 Part 4 of 2019 and Act No. 13 of […]

This post Assistant Lecturer/Lecturer in General Agriculture at School Of Agriculture (SoA) SUZA has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Tutorial Assistant/Assistant Lecturer/Lecturer in Animal Science at School Of Agriculture (SoA) SUZA

The State University of Zanzibar (SUZA) is the only Public University in Zanzibar established by Act No. 8 of the House of Representatives of 1999 which was amended by Act No. 11 of 2009, and further re-amended by Act No. 7 of 2016, Act No 1 Part 4 of 2019 and Act No. 13 of […]

This post Tutorial Assistant/Assistant Lecturer/Lecturer in Animal Science at School Of Agriculture (SoA) SUZA has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

KARIBU GVEN WEAR KWA HUDUMA ZA KUFUA NA KUNYOOSHA NGUO AINA ZOTE

 

Share:

JITIBU TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME KWA KUTUMIA FULL POWER.. UUME MDOGO ZAT 50 NDIYO SULUHISHO



Zati 50


Full Power



Sababu za upungufu wa nguvu za kiume na maumbile madogo ya uume:

⇒Ngiri,


⇒Henia


⇒Kisukari


⇒Tumbo kujaa gesi

⇒Kutopata choo vizuri


⇒Utumiaji madawa kwa muda mrefu


⇒Unywaji wa pombe kupita kiasi


⇒Msongo wa mawazo 

⇮⇒Haya yote hupelekea mwili kutokuzalisha homoni ya gesrtogine au kuwa chache na kushindwa kupata mzunguko mzuri wa damu na vichocheo vingine kama madini ya zinki ambayo hukufanya kuwa na msisimko  na kufanya kuwa na muda  mrefu na nguvu za kutosha.

ZAT 50

⇨ Inarutubisha maumbile ya uume  na kunenepesha urefu nchi 6,unene sentimita 4

⇨Dawa hii ni ya kutibu kabisa tatizo hilo.


FULL POWER

⇨Ni dawa ya vidonge ya miti shamba inaongeza nguvu za kiume na kutibu kabisa tatizo hilo.

⇨Inaongeza hamu ya tendo la ndoa
⇨Inakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya Dakika 30 na kurudia tendo zaidi ya mara nne na zaidi.

Pia tunatibu Magonjwa mengine Kama

Matatizo ya pumu,Bawasiri, vidonga vya tumbo,Kisukari,Magonjwa sugu ya zinaaa,Kaswende,U.T.I , kiuno,miguu kuwaka moto, Fangasi sehemu za Siri, kupunguza unene wa mwili,tumbo kuunguruma,kujaa gesi, matatizo ya uzazi kwa wanawake, kurutubisha mbegu za uzazi kwa akina baba, matatizo ya meno tunatibu bila kungoa

Kliniki yetu inapatikana Zanzibar, Dar es salaam na Shinyanga.

Wasiliana nasi kwa simu namba 071770 22 27
Share:

ULEGA AAGIZA ZIUNDWE KAMATI ZA USULUHISHI MIGOGORO YA WAKULIMA,WAFUGAJI

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega  akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Nanjilinji kwenye mkutano uliofanyika katika Kijiji hicho Kilichopo Wilayani Kilwa, mkoani Lindi jana, akiwa katika mkutano huo aliwasiliana kwa njia ya simu na Mwenyekiti wa Chama cha Wafugaji  Tanzania ili aende kujadiliana kwa pamoja wakiwemo wafugaji na viongozi wa Kijiji hicho ili kuzipatia ufumbuzi kero zao.
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega (kulia) akiteta jambo na Mkuu wa Wilaya ya Kilwa, Zainab Kawawa muda mfupi kabla ya kuanza ziara ya kutembelea Vijiji vya Nakiu na Nanjilinji vilivyopo wilayani humo jana.

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega (kulia) akitoa maelekezo kwa Watendaji wa Serikali katika Mkutano uliofanyika katika Kijiji cha Nakiu Kilichopo Wilayani Kilwa, mkoani Lindi jana.Ulega alifanya ziara Wilayani humo kwa lengo la kusikiliza na kutatua kero za Wakulima na Wafugaji ambapo baada ya kusikiliza kero hizo  aliagiza kuundwa kwa kamati za maridhiano zitakzaokuwa zinashughulika migogoro hiyo mapema inapojitokeza. 


Na Mbaraka Kambona, Kilwa.


NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega amewataka viongozi wa  Serikali kuanzia ngazi za Vitongoji, Vijiji, Kata na Wilaya kuhakikisha wanaunda kamati za maridhiano kwa ajili ya kusuluhisha migogoro ya wakulima na wafugaji ambayo imekuwa ikijitokeza katika baadhi ya maeneo  na kuleta madhara kwa jamii.

Ulega alitoa agizo hilo kwenye ziara aliyoifanya katika Kijiji cha Nakiu Kilichopo Wilayani Kilwa, Mkoani Lindi jana baada ya kupokea kero zilizohusu migogoro mingi iliyoanza kujitokeza katika Wilaya hiyo inayowahusisha wakulima na wafugaji.

Katika Mkutano huo wananchi wa Kijiji hicho walililalamikia Jeshi la  Polisi katika Wilaya hiyo kwa  kutochukua hatua za haraka pale wanapopelekewa taarifa za wafugaji wanaolisha mifugo yao katika mashamba ya wakulima.

Wakulima hao walisema kuwa wafugaji wanaofanya vitendo hivyo wengi ni wahamiaji katika maeneo hayo na hivyo wamekuwa wakiwasababishia matatizo makubwa ikiwemo kuharibiwa kwa mazao yao na wanapotaka kufanya jitihada za kulinda mazao yao wanaishia kupata kipigo.

Kufuatia malalamiko hayo yaliyotolewa na sehemu kubwa ya wakulima hao, Waziri Ulega alitoa maelekezo kwa Watendaji wa Serikali kuanzia ngazi za chini kuanzisha kamati za usuluhishi ili ziwe zinashughulika na migogoro hiyo mapema kabla haijakuwa mikubwa na kuleta madhara.

Aliongeza pia kwa kulitaka Jeshi la Polisi Wilayani humo kuhakikisha wanatenda haki kwa kila mtu na kwa usawa ili kuondoka lawama zinazowakabili za kuonekana wanawapendelea wafugaji kuliko wakulima.

Vilevile,  aliwaekeza watendaji wa wilayani humo kuwa katika kamati hizo watakazoziunda waandae mpango mzuri wa kuweka njia kwa ajili ya kupitishia mifugo ili isiwe inapita katika mashamba ya wakulima.

Aidha, Waziri Ulega alitumia ziara hiyo pia kukemea vitendo vya kujichukulia Sheria mkononi vinavyofanywa na wakulima pamoja na wafugaji akisema kuwa kufanya hivyo ni kosa na ni miongoni mwa vitendo vinavyochangia uvunjifu wa amani. 

Naye, Mkuu wa Wilaya ya Kilwa, Zainab Kawawa katika kuhakikisha maelekezo hayo ya Naibu Waziri yanafanyiwa kazi kwa haraka aliwaagiza Watendaji wake kuhakikisha kamati hizo zinaundwa ndani ya wiki moja.

kuhusu suala la kuweka njia za mifugo, Kawawa alitoa mwezi mmoja kwa wataalam mifugo kwa kushirikiana na wafugaji na wakulima kuhakikisha njia hizo zinawekwa ili kupunguza usumbufu wa mifugo katika mashamba ya wakulima.

Aidha, Mkuu wa Wilaya huyo pia aliwataka wafugaji kuchimba mabwawa ya maji kwa ajili ya mifugo yao na kwa kufanya hivyo kutasaidia kupunguza  migogoro ya mara kwa mara na wakulima.

Kabla ya ziara hiyo ya Waziri Ulega Wilayani humo, siku chache zilizopita wafugaji waliuwawa kutokana na migogoro hiyo hiyo ya wakulima na wafugaji katika Kijiji cha Nanjilinji.

Share:

Assistant Lecturer/Lecturer in Software Development at School Of Computing, Communications and Media Studies (SCCMS) SUZA

The State University of Zanzibar (SUZA) is the only Public University in Zanzibar established by Act No. 8 of the House of Representatives of 1999 which was amended by Act No. 11 of 2009, and further re-amended by Act No. 7 of 2016, Act No 1 Part 4 of 2019 and Act No. 13 of […]

This post Assistant Lecturer/Lecturer in Software Development at School Of Computing, Communications and Media Studies (SCCMS) SUZA has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Assistant Lecturer/Lecturer in Artificial Intelligence at School Of Computing, Communications and Media Studies (SCCMS) SUZA

The State University of Zanzibar (SUZA) is the only Public University in Zanzibar established by Act No. 8 of the House of Representatives of 1999 which was amended by Act No. 11 of 2009, and further re-amended by Act No. 7 of 2016, Act No 1 Part 4 of 2019 and Act No. 13 of […]

This post Assistant Lecturer/Lecturer in Artificial Intelligence at School Of Computing, Communications and Media Studies (SCCMS) SUZA has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Assistant Lecturer/Lecturer in Network Security at School Of Computing, Communications and Media Studies (SCCMS) SUZ

The State University of Zanzibar (SUZA) is the only Public University in Zanzibar established by Act No. 8 of the House of Representatives of 1999 which was amended by Act No. 11 of 2009, and further re-amended by Act No. 7 of 2016, Act No 1 Part 4 of 2019 and Act No. 13 of […]

This post Assistant Lecturer/Lecturer in Network Security at School Of Computing, Communications and Media Studies (SCCMS) SUZ has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

VICTOR THOBIAS AONGOZA KURA ZA MAONI CCM UCHAGUZI UDIWANI NDEMBEZI...CHIFU ABDALLAH SUBE APITISHWA KUGOMBEA KUPITIA DEMOKRASIA MAKINI


Katibu wa Siasa na Uenezi CCM wilaya ya Shinyanga Mjini, Saidi Ahmedi Bwanga

Na Mapuli Misalaba, Shinyanga
Uchaguzi wa kura za Maoni kumpata mgombea atakayepeperusha Bendera ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi mdogo wa nafasi ya udiwani katika kata ya Ndembezi Manispaa ya Shinyanga umefanyika leo ambapo ,Victor Thobias  ameongoza dhidi ya wagombea wenzake sita.

Victor amepata kura 41 kati ya kura 78 zilizopigwa akifuatiwa na  Bi. Pendo Sawa  ambaye amepata kura 28.

Akitangaza matokeo hayo katibu mwenezi wa CCM Wilaya ya Shinyanga Mjini , Said Bwanga amesema nafasi ya tatu imeshikwa na Bwana Solomon Najulwa ambaye amepata kura tatu,na kwamba nafasi ya Nne wamegongana watu watatu ambao ni Dotto Joshua, Samwel Jackson na Hamis Hamis ambapo kila mmoja amepata kura mbili, huku nafasi ya tano ikishikwa na  Gelewa Njelo ambaye amepata 0.

Bwanga amesema mchakato wa kumpata mteule atakayepeperusha bendera ya CCM katika Uchaguzi huo mdogo atapatikana kupitia mchujo wa vikao vya ngazi ya Wilaya na Mkoa.

Wakati huo huo Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia Makini Wilaya ya Shinyanga Mjini imemteua Bwana Chifu Abdallah Issa Sube kuingia kwenye kinyang’anyiro cha kugombea nafasi ya udiwani wa kata ya Ndembezi Manispaa ya Shinyanga

Mteule huyo ambaye pia ndiye Mwenyekiti na msemaji wa Chama cha Demokrasia Makini Mkoa wa Shinyanga, ameeleza kuwa vikao vinavyohusika na uteuzi vimemthibitisha kuwa ndiye mwakilishi atakayeingia kwenye kinyang’anyiro hicho na wagombea wa vyama vingine vya siasa.

“Nimechukua fomu leo hii ya kugombea nafasi ya udiwani kata ya Ndembezi nimechukua peke yangu sikuwa na mpinzani chama kimeniamini mchakato yatari umefanyika sehemu zote hakuonekana mtu yeyote kusimama basi jina langu likapitishwa”

Mchakato huo wa uchaguzi unafuatia aliyekuwa Diwani wa kata ya Ndembezi Manispaa ya Shinyanga David Nkulila kufariki dunia hivi karibuni ambaye pia alikuwa meya wa Manispaa ya Shinyanga.
Share:

Monday, 13 September 2021

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMANNE SEPTEMBA 14,2021

Share:

NABII EVELYIN JOSHUA AKABIDHIWA MIKOBA YA TB JOSHUA


Kanisa la Sinagogi, SCOAN limemteua mke wa TB Joshua, Nabii Evelyn Joshua kuwa kiongozi mpya wa kanisa hilo.

Kanisa limesema katika taarifa yake kwenye ukurasa wa Facebook kuwa programu nzima ya kanisa itakuwa chini ya uongozi wa Mungu kwa maelekezo ya Evely Joshua.

Kwa mujibu wa chapisho hilo, wakati ulikuwa sahihi, na wafuasi wa kanisa waliombwa wasali kwa ajili ya Utukufu wa Mungu.

Awali kulikuwa na tetesi kuhusu nani atakayeongoza kanisa baada ya mwanzilishi wa kanisa TB Joshua kuaga dunia mwezi Mei 2021.

 Mabishano hayo yalisababisha kufukuzwa hivi karibuni kwa baadhi ya wafuasi wa TB Joshua kanisani.

Huduma ya TB Joshua ilitangaza kuwa mwanzilishi wa kanisa hilo na nabii mkuu wa Nigeria, Temitope Balogun Joshua amejiuzulu kwenye ukurasa wake wa Facebook, Jumamosi Juni 5, 2021.
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger