Thursday, 9 September 2021

Occupational Hygienist at North Mara Gold Mine / Barrick

North Mara Gold Mine Limited is seeking to recruit one (01) Occupational Hygienist to join OHS Team. The successful candidate for this position will carry out assigned industrial hygiene tasks within the guidelines of Company Standard Operating Procedures and tradesman Best Practice as well as other assigned tasks within the range of competencies. The Occupational […]

This post Occupational Hygienist at North Mara Gold Mine / Barrick has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

ERT Officer at North Mara Gold Mine

North Mara Gold Mine Limited is seeking to recruit one (01) ERT Officer to join ERT Team. The successful candidate for this position will carry out assigned ERT tasks within the guidelines of Company Standard Operating Procedures and tradesman Best Practice as well as other assigned tasks within the range of competencies. The ERT Officer […]

This post ERT Officer at North Mara Gold Mine has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

WAKANDARASI WASISITIZWA KUHESHIMU MIKATABA


Ujumbe wa Bodi ya Nishati Vijijini ukikagua utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini katika Kijiji cha Igalula wilayani Uyui, Mkoa wa Tabora


Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB) Wakili Julius Kalolo (kushoto) akizungumza na Mwenyekiti wa Kijiji cha Igalula wilayani Uyui, Mkoa wa Tabora Athumani Ramadhani, wakati wa ziara ya Bodi hiyo mkoani humo, Septemba 8, 2021 kukagua maendeleo ya utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini.


Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB) Wakili Julius Kalolo (katikati) na Ujumbe wake, wakikagua maendeleo ya utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini katika kijiji cha Igalula, wilayani Uyui, Mkoa wa Tabora wakati wa ziara ya Bodi mkoani humo,


Mwenyekiti wa Kijiji cha Kigwa wilayani Uyui, Mkoa wa Tabora, Hussein Kigwa (wa pili-kushoto) akizungumza na Ujumbe wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB) wakati wa ziara ya Bodi kukagua maendeleo ya utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini, Septemba 8, 2021. Kulia ni Mwenyekiti wa Bodi, Wakili Julius Kalolo na kushoto ni Mjumbe wa Bodi, Oswald Urassa.


Mjumbe wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Oswald Urassa akishuhudia vibarua wa Mkandarasi Kampuni ya Sengerema Engineering Group Limited, anayetekeleza Mradi wa Umeme wa Ujazilizi wilayani Uyui, Mkoa wa Tabora, wakiendelea na kazi ya kutandaza miundombinu husika katika kijiji cha Kigwa. Bodi ilikuwa katika ziara ya kazi.


Ujumbe wa Bodi ya Nishati Vijijini ukikagua utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini katika Kijiji cha Kigwa, wilayani Uyui, Mkoa wa Tabora.


Msimamizi wa Miradi ya Umeme Vijijini Kanda ya Magharibi, Mhandisi Oscar Migani akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa miradi hiyo katika Kanda yake kwa Ujumbe wa Bodi ya Nishati Vijijini (hawapo pichani), wakati wa ziara ya Bodi mkoani Tabora.


Kutoka kushoto ni Mjumbe wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB) Oswald Urassa, Mwenyekiti wa Bodi, Wakili Julius Kalolo na Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi Amos Maganga, wakiwa kwenye kikao pamoja na Wakandarasi wanaotekeleza miradi ya umeme vijijini, Mkoa wa Tabora, Septemba 8, 2021. Bodi ilikuwa katika ziara ya kazi.

..............................................................................

Veronica Simba – Tabora

Serikali imewataka Wakandarasi wanaotekeleza miradi ya umeme vijijini nchini kote kuheshimu makubaliano ya utendaji kazi yaliyoafikiwa baina ya pande hizo mbili kupitia mikataba waliyosaini.

Wito huo ulitolewa na Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Wakili Julius Kalolo wakati akizungumza na Wakandarasi wanaotekeleza miradi hiyo Mkoa wa Tabora, Septemba 8 mwaka huu.

Kikao hicho kilikuwa ni sehemu ya ziara ya Bodi mkoani humo kukagua maendeleo ya utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini.

Wakili Kalolo aliyasema hayo baada ya kupokea taarifa ya utekelezaji wa miradi husika iliyobainisha kuwa baadhi ya Wakandarasi wanasuasua hivyo kuchelewesha kukamilika kwake, jambo lililo kinyume na mikataba yao ya kazi.

Akisisitiza, alisema Serikali kamwe haitamvumilia Mkandarasi yeyote mwenye utendaji kazi duni unaokwamisha miradi hiyo na kuwakosesha wananchi fursa ya kuboresha maisha yao kutokana na nishati ya umeme.

“Kitendo cha kukwamisha kwa kuchelewesha Mradi au kwa namna nyingine yoyote ni uhujumu uchumi. Naomba muelewe Serikali haitakubali hivyo hatutasita kuchukua hatua kwa yeyote atakayekwenda kinyume na Mkataba,” alisisitiza.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti, Mjumbe wa Bodi Oswald Urassa na Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi Amos Maganga walitoa onyo kwa Wakandarasi wanaozembea kuheshimu Serikali ya Tanzania kwani iko thabiti na haina mzaha katika kusimamia miradi ya kuwaletea maendeleo wananchi.

Katika hatua nyingine, Ujumbe huo wa Bodi ulitembelea maeneo mbalimbali mkoani humo ambako utekelezaji wa miradi ya umeme unaendelea na kuzungumza na viongozi wa vijiji na vitongoji ili kusikia maoni yao.

Akitoa maoni kwa Bodi, Mwenyekiti wa Kijiji cha Igalula wilayani Uyui, Athumani Ramadhani alisema wananchi katika eneo hilo wameupokea Mradi wa Umeme Vijijini kwa furaha na matumaini.

“Wananchi wameanzisha miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo mashine za kusaga. Pia tunashukuru maana umeme huu haukatiki-katiki. Ombi langu kwa Serikali wananchi wote wafikishiwe nishati hii,” alisema.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Kijiji cha Kigwa wilayani Uyui, Hussein Maganga aliishukuru Serikali kwa kubuni miradi ya umeme vijijini akiielezea kuwa imekuwa yenye manufaa makubwa kwa wananchi kwani imechangia kuboresha maisha yao.

Bodi ya Nishati Vijijini inaendelea na ziara katika Mikoa mbalimbali nchini kukagua maendeleo ya utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini.

Bodi hiyo ikiwa mkoani Mwanza Septemba 6 mwaka huu, iliagiza Mkandarasi Sagemcom anayetekeleza Mradi wa Ujazilizi Fungu la Pili A, kuandikiwa barua ya kumtaka akamilishe kazi kwa wakati vinginevyo hatua za kuvunja Mkataba wake zitachukuliwa.
Share:

WAFANYABIASHARA MKOANI LINDI WAPATA MWAMKO WA KUTHIBITISHA UBORA WA BIDHAA ZAO


Afisa wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) akikagua baadhi ya maduka ya vyakula na vipodozi,pamoja na viwanda vya wajasiriamali mkoani Lindi. TBS imefanya kampeni ya kutoa elimu kwa wajasiriamali na wenye viwanda juu ya umuhimu wa kupata alama ya ubora ,kutoa elimu kwa taasisi za umma juu ya umuhimu wa kutumia bidhaa zenye ubora hususani vipodozi na kukagua na kusajili maduka ya vyakula na vipodozi kwa wilaya za Liwale, Nachingwea na Lindi .

Afisa wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) akikagua baadhi ya maduka ya vyakula na vipodozi,pamoja na viwanda vya wajasiriamali mkoani Lindi. TBS imefanya kampeni ya kutoa elimu kwa wajasiriamali na wenye viwanda juu ya umuhimu wa kupata alama ya ubora ,kutoa elimu kwa taasisi za umma juu ya umuhimu wa kutumia bidhaa zenye ubora hususani vipodozi na kukagua na kusajili maduka ya vyakula na vipodozi kwa wilaya za Liwale, Nachingwea na Lindi .

Afisa usalama wa chakula (TBS) Bw.Barnabas Jacob akitoa elimu kuhusu madhara ya vipodozi vyenye viambata sumu kwa watumishi wa umma. Elimu hiyo itawawezesha watumishi hao kuwa mabalozi wazuri ndani ya jamii na familia zao kwa ujumla kupinga matumizi ya bidhaa hizo. TBS iliwafikia watumishi hao katika wilaya ya Nachingwea na Lindi.

****************************

Na Mwandishi Wetu, Lindi

WAFANYABIASHARA na wajasiriamali mkoani Lindi wamepata mwamko wa kuthibitisha ubora wa bidhaa zao pamoja na kusajili majengo ya chakula na vipodozi kupitia elimu ambayo imetolewa na maofisa wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kuanzia Agosti 31 hadi Septemba 6, mwaka huu.

Akizungumza na waandishi wa habari mjini Lindi kuhusiana na majumuisha ya kazi ambayo maofisa wa shirika hilo wamefanya katika wilaya tatu za Mkoa huo, Afisa Usalama wa Chakula wa TBS, Barnabas Jacob, alisema wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa kwa sababu wamefikia walengwa wengi.

"Tumeweza kufikia welengwa wengi tuliokuwa tukiwatarajia katika wilaya za Liwale, Nachingwea na Lindi na wameahidi kujitokeza kuthibitisha ubora wa bidhaa zao pamoja na kusajili majengo ya chakula na vipodozi ili waweze kuendesha shughuli zao kwa mujibu wa sheria," alisema Jacob.

Jacob alisema katika wilaya hizo wamefanya ukaguzi kwenye maduka ya vyakula na vipodozi, kutembelea wajasiriamali wadogo wanaofanya uzalishaji wa bidhaa ili kuwahamasisha kupata alama ya ubora.

Alisema katika Wilaya ya Lindi wajasiriamali 18 wameahidi kuanza mchakato wa kuthibitisha ubora zao.

Alisema wilayani Lindi wametoa elimu kwa umma kwa watumishi la Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) kuhusu madhara ya matumizi ya bidhaa hafifu, hususani vipodozi ambavyo vimekatazwa kutumika nchini kutokana na kuwa na viambata sumu vyenye madhara kwa afya za watumiaji

Kwa upande wa Wilaya ya Nachingwea watumishi waliopatiwa elimu hiyo ni wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), TRA, Benki ya Biashara Tanzania (TCB), TTCL na wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA).

Jacob alifafanua kwamba elimu hiyo itawawezesha watumishi hao kuwa mabalozi wazuri ndani ya jamii na familia zao kwa ujumla.

Alisema elimu hii imelenga taasisi za umma ikiwa ni mwendelezo wa shirika kutoa elimu kwa umma kuhusiana na madhara ya vipodozi na vyakula vilivyopigwa marufuku," alisema Jacob na kuongeza;

"Watumishi katika taasisi ambazo tumetoa elimu wamepata mwamko mkubwa na wametuahidi kuwa mabalozi kwa watu wengine ikiwemo familia na jumuiya zinazowazunguka kuhusiana na madhara ya vipodozi hivyo," alisema Jacob.

Kama ilivyo kuwa kwa Wilaya ya Lindi, Jacob alisema na Nachingwea walitembelea viwanda ambavyo vimethibitishwa na TBS ili kuangalia kama vinaendelea kuzalisha bidhaa kwa mujibu wa viwango walivyopewa.

"Kimsingi tumetoa elimu ya kutosha kwa wazalishaji wa bidhaa ili waweze kufanya usajili wa majengo yao ya bidhaa za vyakula na vipodozi na kuhamasisha wajasiriamali ili waje kupata alama ya ubora kwa kupitia SIDO," alisema Jacob.

Kwa upande wa Liwale, Jacob alisema mbali na kutoa elimu kwa wajasiriamali na wafanyabiashara, walifanya ukaguzi wa awali kwa wenye viwanda ambavyo wazalishaji wake wanataka kupata alama ya ubora.

Alitaja miongoni mwa viwanda ambavyo maofisa hao wa TBS wamefanya ukaguzi na kuhamasisha kujitokeza kupata alama ya ubora kuwa ni pamoja na vile vinavyokamua mafuta ya alizeti, viwanda vya kubangua korosho, kwenye mashine za kusaga unga pamoja na kiwanda cha uzalishaji wa bidhaa za mikate.

"Wote hao tumewafikia na kuwahamasisha kuja kupata alama ya ubora TBS" alisema Jacob.

Aidha, alitaja kazi nyingine ambayo wameifanya wilayani humo kuwa ni pamoja na kukagua na kusajili maduka ya vipodozi na chakula ili kuwawezesha kufanya shughuli zao kwa kukidhi matakwa ya sheria za nchi na kulinda afya za walaji.
Share:

Superintendent – Underground Long Term Planning Engineer at North Mara Gold Mine Limited / Barrick

North Mara Gold Mine Limited is seeking to recruit One (01) Superintendent – Underground Long Term Planning Engineer to join North Mara team. The successful candidates for this position will carry out assigned Processing tasks within the guidelines of Company Standard Operating Procedures and Best Practice as well as other assigned tasks within the range […]

This post Superintendent – Underground Long Term Planning Engineer at North Mara Gold Mine Limited / Barrick has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Superintendent – Open Cast Mining at North Mara Gold Mine Limited / Barrick

North Mara Gold Mine Limited is seeking to recruit One (01) Superintendent – Open Cast Mining to join North Mara team. The successful candidates for this position will carry out assigned Processing tasks within the guidelines of Company Standard Operating Procedures and Best Practice as well as other assigned tasks within the range of competencies. […]

This post Superintendent – Open Cast Mining at North Mara Gold Mine Limited / Barrick has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Shift boss at North Mara Gold Mine Limited / Barrick

North Mara Gold Mine Limited is seeking to recruit Two (02) Shift boss  to join Underground Mining Production team. The successful candidate will be responsible for supervision of the mine crews, to ensure safety is managed, and overall performance is monitored and efficient. Ensure that any non-conforming items (Quality and quantity) are immediately isolated and […]

This post Shift boss at North Mara Gold Mine Limited / Barrick has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Septemba 9



Share:

Gubali Secondary School

About Gubali Secondary School Gubali Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S2479 – Known as Shule ya Sekondari Gubali Secondary School Gubali Secondary is a public secondary school. This school is flagged as “Operational”, this institution is government owned. Gubali Secondary School Facilities […]

This post Gubali Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Msense Secondary School

About Msense Secondary School Msense Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S2478 – Known as Shule ya Sekondari Msense Secondary School Msense Secondary School is located at Mbeya. Msense Secondary School is boys and girls school and it is doing well in Kiswahili, […]

This post Msense Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Mbagala Secondary School

About Mbagala Secondary School Mbagala Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S2476 – Known as Shule ya Sekondari Mbagala Secondary School Mbagala Secondary School is located at Dar es salaam. Mbagala Secondary School is boys and girls school and it is doing well […]

This post Mbagala Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Malinyi Secondary School

About Malinyi Secondary School Malinyi Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S2475 – Known as Shule ya Sekondari Malinyi Secondary School Malinyi Secondary School is located at Morogoro. Malinyi Secondary School is boys and girls school and it is doing well in History, […]

This post Malinyi Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Usangule Secondary School

About Usangule Secondary School Usangule Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S2474 – Known as Shule ya Sekondari Usangule Secondary School Usangule Secondary School is located at Morogoro. Usangule Secondary School is boys and girls school and it is doing well in Kiswahili, […]

This post Usangule Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Itete Secondary School

About Itete Secondary School Itete Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S2473 – Known as Shule ya Sekondari Itete Secondary School Itete Secondary School is located at Morogoro. Itete Secondary School is boys and girls school and it is doing well in Kiswahili, […]

This post Itete Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO ALHAMISI SEPTEMBA 9, 2021



















Share:

Wednesday, 8 September 2021

DC HANANG AUNGANA NA WANANCHI KUTATUA KERO YA MAJI

Mkuu wa Wilaya ya Hanang.Janeth Mayanja (kulia) akishiriki kubeba matofali na wananchi wa Kijiji cha Lambo Kata ya Masakta mkoani Manyara wakati wakichimba mifereji jana kwa ajili ya kupitisha bomba za maji zitazoelekea katika kijiji hicho na kijiji cha jirani.
Mkuu wa Wilaya ya Hanang.Janeth Mayanja (katikati) akiwa na wakina mama wakati wa kazi hiyo ya kuchimba mifereji.
Mkuu wa Wilaya ya Hanang.Janeth Mayanja akichimba mifereji.
Mkuu wa Wilaya ya Hanang.Janeth Mayanja (katikati) akiwa na wakina baba wakati wa kazi hiyo ya kuchimba mifereji.
Kazi ikiendelea.
Mkuu wa Wilaya ya Hanang.Janeth Mayanja akichimba mifereji.


Na Mwandishi Wetu, Hanang.


 CHANGAMOTO  ya ukosefu wa maji iliyodumu kwa muda mrefu katika Kijiji cha Lambo Kata ya Masakta wilayani Hanang mkoani Manyara ina kwenda kukoma baada ya mkuu wa wilaya hiyo, Janeth Mayanja kuungana na wananchi wa kijiji hicho kuchimba mifereji kwa ajili ya kupitisha bomba za maji zitazoelekea katika kijiji hicho na kijiji cha jirani.

Wanakijiji wa eneo hilo wamemshukuru Mkuu wa Wilaya ya Hanang.Janeth Mayanja kwa kuamua kuungana nao kwa ajili ya kuhakikisha.maji yanapatikana ndani ya muda mfupi katika kijiji hicho kwani tangu kuanzishwa kwa kijiji hicho huduma ya maji ilikua inapatikana kwa tabu hadi kufikia wanakijiji kushindwa kupata huduma ya maji kwa ukaribu.

Akizungumza katika zoezi hilo Mayanja alisema kuwa  usambazaji wa maji katika eneo hilo lipo chini ya Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira ( RUWASA) Wilaya ya Hanang ambapo alimtaka mkandarasi ahakikishe ndani ya miezi minne kijiji hicho kiwe kimepata maji.

Aidha Meneja wa RUWASA Wilaya ya Hanang Mhandisi Herbert Kijazi amewahakikishia wana kijiji wa eneo hilo pamoja na mkuu wilaya kuwa Ruwasa itahakikisha wanafanya kazi usiku na mchana na ndani ya miezi minne maji yatakuwa yanapatikana katika eneo hilo.

Share:

MTANDAO WA MISITU AFRIKA 'AFF' WAFANYA MKUTANO WA KUBADILISHANA UZOEFU


Kaimu Mkuu wa chuo SUA Profesa Raphael Chibunda

Mtandao wa Misitu Afrika – AFF umefanya mkutano wa kubadilishana uzoefu kuhusu utekelezaji wa mkataba Paris uliotaka kuimarishwa kwa usimamizi wa misitu ili kupunguza madhara yaletwayo na mabadiliko ya tabia nchi.

Mkutano huo uliofanyika kwa njia ya mtandao na kushirikisha nchi nne za Afrika umefunguliwa rasmi na Kaimu mkuu wa chuo kikuu cha Kilimo cha SOKOINE – SUA Profesa Raphael Chibunda katika hotuba yake iliyosomwa na Profesa Esron Karimuribo wa SUA.

Katika hotuba yake Profesa Chibunda amepongeza waandaaji wa mkutano huo kwa kuweza kutumia teknolojia ambayo imewezesha washiriki zaidi ya 200 kukutana na kujadili kuhusu masuala ya misitu na biasahara ya utomvu (gum) ambayo ni zao majawapo la misitu.

Profesa Chibunda amesema majadiliano ya kubadilisha uzoefu na maarifa kuhusu masuala ya misitu ni njia sahaihi ya kuobersha hatua za kukabiliana na adhari za mabadiliko ya tabianchi na hatimaye na kuboresha Maisha ya jamii zinazomiliki misitu hiyo.

Kundi la washiriki wa Tanzania lilikutana katika kituo cha kitaifa cha kufuatilia hewa ukaa – NCMC katika katika chuo kikuu cha Kilimo cha SOKOINE – SUA mkoani MOROGORO.

Nchi zilizoungana na kundi la Tanzania ni Gambia, Botswana na Kenya.

Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger